Kiongozi wa dini ni kiungo cha jamii. Hapaswi kuwa mrengo wa kulia au kushoto (katika kujenga jamii moja). Hivyo ni muhimu mno kwa kiongozi wa dini atumie vema ulimi wake ili mwisho wa siku utoe matunda ya umoja, amani, utulivu, usalama na upendo katika jamii.
Ndivyo alivyofanya Baba Askofu Augustine shao. Ameitumia Christmas kukumbuka kuzaliwa Bwana Yesu Kristo, kwa kukumbusha wanasiasa umuhimu wa kupenda meza za mazungumzo kama ambavyo Mkuu wa nchi, Rais na Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu Hassan, alivyoonyesha pale alipokutana na viongozi wa Baraza la Vyama Vya Siasa. Mahubiri bora kabisa ya Christmas 2021. # Kiongozi wa dini hapaswi kurusha sumu mithili ya nyoka DRAGON bali kuunganisha jamii.
Ndivyo alivyofanya Baba Askofu Augustine shao. Ameitumia Christmas kukumbuka kuzaliwa Bwana Yesu Kristo, kwa kukumbusha wanasiasa umuhimu wa kupenda meza za mazungumzo kama ambavyo Mkuu wa nchi, Rais na Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu Hassan, alivyoonyesha pale alipokutana na viongozi wa Baraza la Vyama Vya Siasa. Mahubiri bora kabisa ya Christmas 2021. # Kiongozi wa dini hapaswi kurusha sumu mithili ya nyoka DRAGON bali kuunganisha jamii.