Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Achana na takataka hiyo inakupotezea muda wako bure, ndio maana unaona thread yenyewe imepuuzwa na wadau...ccm kwa muda mrefu imekuwa ikitumia mapolisi, mahakama, na tume ya uchaguzi, kuvikandamiza vyama mbadala vya siasa.
..ukandamizaji huo ndio unaosababisha mgawanyiko unaozungumziwa, na kauli za msisitizo kwamba tofauti za kisiasa zimalizwe kwa mazungumzo.
Nimeleta ujumbe mzuri wa Christmas kutoka kwa Baba Askofu Shao siyo kutafuta 'like'. Wapo waliosoma kimya kimya ujumbe umefika. Hata wewe ni mdau tosha na ulisoma. ππππAchana na takataka hiyo inakupotezea muda wako bure, ndio maana unaona thread yenyewe imepuuzwa na wadau.
Hivi wewe ni Semtawa Ramadhani au ni Semtawa yupi? Maana ni mjinga sana.Nimeleta ujumbe mzuri wa Christmas kutoka kwa Baba Askofu Shao siyo kutafuta 'like'. Wapo waliosoma kimya kimya ujumbe umefika. Hata wewe ni mdau tosha na ulisoma. ππππ
Lilikuwa na sifa hiyo enzi za Nyerere lakini siyo leo.Leo watu wanakataa kulisoma hata wakinunuliwa.Matola, halafu tujenge utaratibu wa kujadili hoja. Hilo gazeti ukijadili heshima yake na mchango wake ktk nchi hii na ukombozi wa Afrika, huwezi kulitaja kirahisi hivyo. Unless knowledge yako iko Limited ktk historia ya hilo gazeti.
CHADEMA waliomba maridhiano muda mrefu sn tena mbele ya dikteta..ccm kwa muda mrefu imekuwa ikitumia mapolisi, mahakama, na tume ya uchaguzi, kuvikandamiza vyama mbadala vya siasa.
..ukandamizaji huo ndio unaosababisha mgawanyiko unaozungumziwa, na kauli za msisitizo kwamba tofauti za kisiasa zimalizwe kwa mazungumzo.
Swali zuri sn..aliyeligawa taifa ni nani, kiasi kwamba imembidi Rais Ssh kuliunganisha?
..nini mahusiano ya Ssh na uongozi ulioligawa taifa?