Hongera BAVICHA na BAWACHA mmefanya kazi nzuri matunda tunayaona

Hongera BAVICHA na BAWACHA mmefanya kazi nzuri matunda tunayaona

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Umoja wa vijana na umoja wa wanawake umeimarika na umetoa viongozi wengi wa leo na kesho wa Taifa hili.

BAWACHA nadhani ndio umoja wa wanawake wa vyama vya siasa uliowahi kusimamisha wanachama wengi kugombea Ubunge Afrika na hata Duniani. Lakini pia umoja huu si tu umetoa wagombea wanawake Bali umetoa wagombea ambao wamefika kwenye majimbo nakuonyesha uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kusimamia kuwazidi wanaume wanaopambana nao.

Umoja wa vijana BAWACHA una historia ya kutoa vijana wanaotumika na chama lakini pia vijana wengi waliotoka kwenye umoja huu wamesajiliwa na chama Tawala na wanafanya kazi nzuri mara dufu ya vijana waliotokea UVCCM.

Natumai kundi kubwa la vijana hawa na wakina mama wapo tayari kulivusha Taifa na wameonyesha dhamira baada ya chama tawala kumilikiwa na Mwenyekiti huku akisaidiwa na katibu kwa mbali na Mwenezi.

Hakuna mwanamama,mzee Wala kijana aliyeonyesha kukipigania chama tawala Hadi Sasa, wote wamegeuka watu wa matukio na kujipitisha kwa ajili ya uteuzi.

Taifa linahitaji BAWACHA NA BAVICHA KWA SASA....SOLIDARITY
 
Uv watasemajesasa maana wametoa wegi adi wengie wanazeekea kwy siasa
 
Nafurahi kusoma mnajipongeza.. kutiana moyo hata pale.. inajulikana ushindi sio wao.. ni kitu nzuri kusanaaaa..

Tabu munasahau.. kizuri haki_____.

Musubiri nane mbili.. picha mutaiwona.. ila 🤣🤣🤣.. muwanze 🤧🤧🤧
 
New song : Aiyaya Chadema - Taifa


Chama chetu cha Demokrasia na Maendeleo pia Jumuiya zake za BAVICHA na BAWACHA mwaka huu wa Uchaguzi Mkuu 2020 tunakwenda kuwapatia Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu makundi yote yenye maslahi bila ubaguzi wa aina yoyote yakiwemo hata CCM Mpya itapokuwa chama cha upinzani, kinamama, vijana, wazee na makundi yenye mahitaji maalum, wakulima, wavuvi, wafugaji, wawekezaji wa ndani na nje n.k
..............................................................................

Tundu Lissu, Uhuru, Haki, na Maendeleo ya Watu, Watanzania wamemkubali na kumuelewa maeneo yote ikiwemo hata Kagera Kyerwa
 
Una ushahidi wa unacho kiongea?
Halafu hao ndio wanatuhumu wengine,kwa uongo bila kujali haki,ikiwa ni pamoja na Ile ya kuheshimiwa,kwao wanaona nisawa na pengine ni Sera yao, pamoja na hayo yanazidi kuwapoteza njia . Mwisho wenu28/10/2020
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Halafu hao ndio wanatuhumu wengine,kwa uongo bila kujali haki,ikiwa ni pamoja na Ile ya kuheshimiwa,kwao wanaona nisawa na pengine ni Sera yao, pamoja na hayo yanazidi kuwapoteza njia . Mwisho wenu28/10/2020
Ukitaka ujue wanatunga kesi za kusadikika. Ukiomba ushahidi hawana. Yaan ni story za kusadikika
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
05 Oktoba 2020
Karagwe, Kagera

TAMKO LA KIFALSAFA LA ASKOFU BAGONZA KUHUSU KINACHOENDELEA UCHAGUZI MKUU TANZANIA 2020, AMGUSA TUNDU LISSU

Mitano kwanza vs Mitano Tena, Aliyekwisha fanya apewe shukrani.. Na anayeahidi kufanya apewe nafasi.

 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom