Hongera CCM: Umelijenga Taifa imara Kwa vizazi vijavyo

Unatoa mifano mfu, tufanye umeshinda, tangu lini Katiba ikawa utashi wa MTU? You mean Utashi WA Rais ndio Katiba?? Basi wacha nikubali kushindwa!
 
B

Unatoa mifano mfu, tufanye umeshinda, tangu lini Katiba ikawa utashi wa MTU? You mean Utashi WA Rais ndio Katiba?? Basi wacha nikubali kushindwa!
Duuh! Bro umejichanganya sana ,nimekusoma mijadala ya hoja huiwezi wewe unaweza malumbano yasiyo na maana.

Umeamua kubadili kabisa nilichosema na ukanijaza maneno mdomoni mwangu. Nakushauri tu, usiwe unapaniki maana kufanya hivyo kunakuondolea utulivu
 
Kwakweli haina budi tuipongeze CCM imetutoa mbali, ila yote na yote ashukuriwe aliye juu maana kuna wengine hawana kabisa hata amani ktk nchi zao

Akili zenu BAVICHA mbona za kitoto sana? Yaani Bado na nukuu hiyo ya kwenye Biblia Takatifu bado unasema ni ya kihuni? Sio bure BAVICHA imelaaniwa
Usitafute huruma kwa Bavicha wala Biblia? hata shetani alimuuliza Yesu swali kwa kunukuu andiko ndani ya Biblia naye Yesu akamjibu, akamwambia, nenda zako shetani, maana imeandikwa usimjaribu BWANA Mungu wako, jibu hoja usiwajaribu Watanzania, Bavicha inahusika vipi.
 
Ni nchi ngapi zisizo na amani duniani Hadi uone Tanzania ina bahati sana? Nchi zenye vita hazifiki hata 10% ya nchi zote duniani, Sasa what so special kwa Tanzania kuwa na amani?
Tanzania hakuna amani kuna utulivu.
 
Mkuu umebweka wenyewe wamekusikia watakufikiria.
 
Sawa nimekubali, umeshinda
 
Nawaza sana kama na wewe pia ni kijana wa kuaminiwa hapo Ufipa unatoa mchango wa namna kukisaidia Chama maana Kwa mawazo haya safari ya upinzani ni ndefu sana .

Ilibidi urudi nyuma kwenye hiyo comment ili upate picha kubwa zaidi
 
Itakuwa umepigika kimaisha, itabidi usubili Lucas Mwashambwa aonekane kwanza ndipo wewe usogezwe kwenye benchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…