KHM 1995
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 461
- 729
We siyo muhutu kweli??Aise. Hapa ndo watu wa TISS inatakiwa kufanya kazi sasa kama viongozi ni vipofu.
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We siyo muhutu kweli??Aise. Hapa ndo watu wa TISS inatakiwa kufanya kazi sasa kama viongozi ni vipofu.
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Hao wa Tz walioko USA hawawezi kufanya state damage. Hata akijichanganya tu kumnyanyasa mwanamke anawesa rudishwa bongo.Kuna watanzania ni raia wa US, Canada, UK na nchi nyingine, tukianza kutaja watu na asili zao ambao ni raia wa TZ itakuwa shida kubwa.
Sasa ongeza wengine kwenye list yako, Bashe ni msomali, .....
Marekani mpaka Trump aliwaza kujenga ukuta na Mexico sisiNi aibu mkubwa sana mkuu kutoa kauli ile hadharani yani hata majirani wanaona kumbe Tanzania ulinzi hamna. Kajiabisha yeye na Amri Jeshi wake Mkuu.
Wabongo tatizo ujinga umejaa,tena ujinga wa next level,maana unakuta mtu mwenyewe anayejiona ni mzawa asili,tukiingia maabara na tukatrace genes zake tunakuta zina resemble na genes za Koo fulani botswana,kweli watanganyika wajinga sana ,inferiority complex imewajaa sana
Hatutakiwi kuzuia kuja kwa wageni. Tunataka waje kwa kufuata sheria. Lkn hata kama watazamia sio mpaka kujiingiza katika system za uongozi/Jeshi huku ni kuangamiza Taifa.Watanzania tazameni ramani halafu mnambie mtazuwia vipi wageni wa nchi zinazotuzunguka? Au utabaguwa, wageni hawa tunawataka, hawa hatuwataki?
Au fitina tayari za kuanza kuuwana?
Ukiwaendekeza wataanza kua na umoja mara saccos mara vyam mwisho wa siku watataka kua na empireHuwezi kuwaita watu wakimbizi ambao waliingia nchini 1972 miaka 52 iliyopita,wamezaa hapa wamesoma ,wameoa na kuolewa Tz hao ni raia wa Tz tatizo serikali ya ccm labda haijawapa uraia,wanastahir na kuwaita ni wakimbizi ni roho mbaya na kuwadharirika
Sasa kama Dotto Biteko ile sura na pua ile utabisha kuwa huyu ni Mnyarwanda.Asipotumia majina ataangalia pua, ubaguzi haujawahi acha mtu salama
Lord Denning tafadhali soma hiyo pdf file ujifunze kuhusu lugha ya kinyarwanda kirundi na kiha(Giha)Hakuna anayekuwa victimised. Taratibu zifuatwe tu kama sio watanzania waombe uraia wa Tanzania ili wajulikane rasmi. Sio kutuingilia kwa kificho. Hapo ndo tunahoji wana ajenda gani maana wanayoyafanya Congo yanajulikana
Trump alikuwa anawaza kujenga ukuta na Mexico, tusemeWana inferiority complex ya hali ya juu. Wanaogopa kila kitu. Hawaamini uwezo wao wanaona wao ni watu wa kuibiwa na kuendeshwa tu. Hao watu wanaowagopa wana akili kiasi gani na uwezo kiasi gani hadi wapenye kwenu na nyie mshindwe kupenya kwao? Mbongo haamini kabisa kama anaweza kushindana na mtu kutoka nchi yeyote ile ya nje hii ni kuanzia ngazi za familia hadi viongozi wa nchi. Hii statement ya CDF binafsi naona ni the weakest statement ever from someone of his stature.
Na bila kupepesa wa kuondolewa ni mteuzi anayeteua Watutsi kwenye nafasi za maamuzi.CDF anacho fanya ni ku alert jamii. Kwa sababu hao viongozi wenu wameahaambiwa hawataki kuchukua hatua.
CDF akichukua hatua tunajua kua tayari ni mapinduzi kitu ambacho bado hatujafika huko.
Wakuchukua hatua sasa ni sisi raia kwa kuondoa viongozi ambao wanafumbia macho haya mambo kwa interest zao
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Nikwambie nilipo ilì uje bila chupi?Ndio ninyi twawataka
Hataki warudishwe nyumbani? [emoji16][emoji16]Leo Kagame kahutubia kasema kuna nchi zinapanga kurudisha watusi Rwanda kwa kuwa Kagame ni mtusi,hatakubali na atakayejaribu kufanya hivyo atashikishwa adabu
Mbona nasikia ni Senior Kipenyo pia, walimwingizaje huko?Alichaguliwa mmoja kuwa Waziri wa Ulinzi. Ñ bahima mtupu
Sahihi on the 1994Nenda rwanda uone kama utapewa hata kibustani cha nyany ulime. Ila huku shamba la Bibi wanaishi na kutesa wenyeji. Those people ndio maana waliuawa in 1994 ni tatizo.
Kweli mnyarwanda Biteko ni wa kuwa Naibu Waziri Mkuu? Lawama zote kwa mteuzi.Hakuna anayekuwa victimised. Taratibu zifuatwe tu kama sio watanzania waombe uraia wa Tanzania ili wajulikane rasmi. Sio kutuingilia kwa kificho. Hapo ndo tunahoji wana ajenda gani maana wanayoyafanya Congo yanajulikana
Mkuu umenifanya nicheke kwa uchungu, hawazii kabisa usalama wa taifa hili yeye anawazia ikulu tu binadamu yule.Cha kushangaza aliyepewa ujumbe anajibu mambo ya uchaguzi wa mitaa tu.
Ndiyo muwashike wasiofata sheria. Kama kuna mapungufu ya watu kupewa Uraia, idara ya uhamiaji kuna matatizo. Tena huko rushwa nasikia ndiyo kwao.Hatutakiwi kuzuia kuja kwa wageni. Tunataka waje kwa kufuata sheria. Lkn hata kama watazamia sio mpaka kujiingiza katika system za uongozi/Jeshi huku ni kuangamiza Taifa.
Swala la uhamiaji sio shida Tanzania hata nchi zilizo endelea kama Marekani ni shida sna. Ila atleast wao hao wahamiaji sio tishio kwa usalama wa Taifa.
Wakijichanganya sana wanaishia kua wauza unga tu na kuuawa na polisi
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Na ndio maana kuna watu wanapigia debe suala la uraia pachaHii jamii ni hatari sana. Iliweza kupenetrate Uganda na sasa wanaitawala, ikaweza kuchukua Rwanda na sasa wanaitawala.
Baadhi walikimbia Congo Mashariki waka kaa kama wakimbizi alafu badae wakasema pale ni kwao.
Wa Congo waliposhtuka kusema waondoke wakagoma na sasa ndo wanaendesha vikundi vya waasi Congo Mashariki kwa faida ya ndugu zao waliopo Rwanda na Uganda
Kiusalama wa taifa hawa watu ni tishio sana na wanachotaka sasa ni kuimega Congo ili waiunganishe na Rwanda na baadae hata Uganda wataifanyia hivyo hivyo kupitia vikundi vyao kikiwemo M23
Inaonekana Intelejensia ya Jeshi letu ipo vizuri sana kuliko hawa TISS.
Kwa Tanzania mikoa ya Magharibi wamedominate wao kwa sehemu kubwa hasa Geita, Kigoma na Kagera. Hivi karibuni wameanza kuingia Katavi
Kesho wakilianzisha wakisema Kagera, Kigoma na Geita au Katavi ziwe sehemu ya empire yao msishangae.