Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

Hapo umeongea fact,tukijaribu kutrace kwa generation tatu tu,hata yule anayejiona mtanganyika pure atajikuta asilia yake ni malawi😀😀 ila kwa kuwa watanganyika ni wajinga hawazi mbali wacha tuwainjoyi
Tena hao Wamalawi ndiyo wengi ajabu, amani tukiwaita Wanyasa. na wengine waliojaa walikuwa Warundi ndiyo hawa siku hizi wanaitwa waha.

Mbeya yote mpaka ufike Dar kulijaa wanyasa, walikuwa wakija kutafuta kazi za kulima na za ndani. Sasa hivi huwezi kabisa kuwatofautisha na Tanzania. Kizazi kimoja au viwili tu nyuma.

Morogoro na Tanga walijaa amanamba wa Burundi na wanyasa. Mashamba ya mikonge yote walikuwa wao na wamakonde.
 

Katika hizo nchi ni mkimbizi gani kawahi kupewa nafasi nyeti bila kuwa naturalized? Mtu akipata uraia wa nchi ni raia wa hiyo nchi fully kama raia wengine wote.

Arnold alikuwa governor California, UK wana PM mhindi, nani alipiga kelele? Bongo kwa inferiority complex na ujinga mngeita hao wakimbizi kila siku.

CDF anaposema kuna wakimbizi wamepewa nafasi nyeti anamaanisha hao watu bado status zao ni ukimbizi au ni raia tayari? Mtu akiwa naturalized hakuna sababu za kubring up ukimbizi wake kila dakika. Huko ni kunyanyapaa na inferiority complex kuwasumbua. Kama mnawapa watu ambao bado sio raia nafasi nyeti huo ni mfumo wenu mbovu.
 
kinachoongelewa hapa ni namna walivyo pata huo uraia, wameupata kwan
kudanganya ni watanzania wazawa na si wakimbizi ndio maana wanaficha asili zao kwa kusema ni wasukuma,
Waha, wahaya.
Mkunda kasema wazi wamekaa na kujichanganya na wazawa na kisa kusema ni wazawa.
Mtu aliyepata uraia kwa kudanganya ndio ahesabiwe mtanzania!?
Hao ulio wataja wameupata uraia kwa njia za haki na taratibu zinazo kubalika.
Yule waziri simbachawene 2022 alisema hata kuwa na NIDA sio kigezo cha kuwa mtanzania
kwa sababu tunajua hata hizo NIDA ni pesa zako tu unapata.
Lastly usilinganishe nchi mifumo ya marekani iliyo imara na nchi zetu
ambazo kwa 50000 tu unanunua uraia.
Mimi nimesoma na mtu ni Mkenya anapokea boom na alipo maliza akarudi kwao kenya.
Nimekuwa na demu mrwanda status zote anampost kagame japoana uraia wa bongo.
Waalimu wa English medium wengi wakenya na wana uraia wa bongo.
Na huo uraia waliupata kwa njia zisizo halali kuhonga, kujichanganya na wazawa au kufoji
taarifa zao.
 
Ni wakombizi walio pata uraia kwa magumashi
 
FAIZAFOXY nilidhani umeenda shule na kwamba nilikuwa nadhani unafahamu kwamba haki ya kuongelea kitu au taarifa yo yote inakwenda sambamba na ujuzi au ufahamu sahiihi wa eneo hilo. Faiza hufahamu chochote kuhusu jamii ya Kigoma . Hivyo acha kupotosha
 
Ingelikuwa busara na salama kama wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wakiongozwa na CDF, watengeneze Task Force. Itakayopewa jukumu la kuwasakanya kimya kimya, kuwabaini mahali walipo, shughuli wanazojihusisha nazo na status zao ktk jamii.

Kw wale walio jipenyeza iwe kwa nia njema au ovu, jambo ni moja tu (kuwafuta juu ya uso wa dunia), Kwan wana taarifa nyingi za ndani na nzito za Taifa hili (nzuri na mbaya).

Kwa wale ambao ni wafanyabiashara wakubwa na wakulima, waachwe wafanye shughuli zao kwan wanashiriki moja kwa moja ktk kuujenga uchumi wa nchi Yetu.

Tukifanya hvyo, kwa wale wanaokuja kuchota taarifa na kuihujumu nchi watapata funzo ya kuwa TZ ni mahali hatar sn kw pandikizi kujipenyeza km ilivyo kwao.
 
Na kwenye chama tawala wamejaa tokea chipukizi,UVCCM mpaka wazazi..Wao kwao vyeo jambo muhimu..Wapo tayari kuua kupata vyeo..Wamejaa kwenye mabenki yetu,NGO ,Multinational Companies na UN..

Wame lobby kuoa na kuolewa na Cream ya wenye nguvu kisiasa na kiuchumi..Lango lao kuu ni Dodoma kupitia ujasusi wa ukahaba..Viongozi wengi waandamizi wameanguka ktk mtego wa Warembo wanaotegeshwa kama Malaya/makahaba..
 
Nani ajuae kwamba hata alichosema mkuu kapenyezewa bila kujua Kwa sababu maalumu?

Kama mnasema wao wamejaa kwenye system, je haiwezekani kwamba ni wao wenyewe wameamua kupenyeza hiyo mada Ili mjue kwamba sasa hamuwezi kuwatoa?

Je? Haiwezekani kwamba wamejionesha Ili mshindwe kuingilia migogoro ya nchi jirani Kwa kuhofia waliopo ndani wanaweza kuwamaliza?

Je? Haiwezekani kwamba wameamua kuvujisha Ili munyukane wenyewe Kwa wenyewe ndani ya system wakati wao hawapo Kwa idadi inayodhaniwa?


Mbona kwetu wapo wahaya ambao ni watu wa majigambo sana lakini hawajaamua kututawala? Iweje kabila lile ngeni linalojiona ni super liamue kutaka kutawala wengine?

Je kama lengo lao ni kutawala, je wanahakika wataweza kuleta amani ya kudumu kipindi Cha utawala wao bila kuwepo na mauaji ya raia?

All in all kauli code zote za kijasusi zinatakiwa kufunguliwa kijasusi na Mimi kama mfuasi wa aman nimejaribu kufungua code
 
Nguvu wanayotumia wageni kupata madaraka makubwa ya nchi ni kubwa mnoo ..Lengo lao ni kutimiza maslahi yao kiuchumi…

Wanaingilia chaguzi za ndani ya vyama,Wanatumia mabilioni kufanya Propaganda kuwanadi raia wao wanaojifanya Watanzania..Wanatumia vema udhaifu wa mfumo ktk masuala ya rushwa kisiasa..Vyeo vya kisiasa hakuna kisichouzwa..Wajumbe wanatajirika wakati wa uchaguzi na kufirisika baada ya michakato ya uchaguzi
 
Hii nchi watu wanajiingilia hovyo hovyo tu bila kufuata taratibu.
Kabla ya kuanza kufukuza hao wageni hakikisheni Takukuru na PCCCB zinafanya kazi kwa ufanisi at 100% rate. Vinginevyo mtakuwa mnapambana kulijaza kapu maji.
 
Hawa watu wameanza kuingia tangu kipindi cha JK na sasa wanaitawala 50% ya Tanzania. Ni vigumu sana kuwaong'oa kwa kutumia TPDF tu. Inabidi tuombe msaada kutoka nje.
Kwamba serikali ikiamua itashindwa? Wanapigwa sumu tu mmoja baada ya mwengine na wanachakaa. Kama Circle yote ya mwendazake plus yeye ilipigwa Pollonium unadhani nini kinashindikana.
 
Kwamba serikali ikiamua itashindwa? Wanapigwa sumu tu mmoja baada ya mwengine na wanachakaa. Kama Circle yote ya mwendazake plus yeye ilipigwa Pollonium unadhani nini kinashindikana.
Hii inawezekana lakini kwa msaada wa Marekani. Sirikali tu haiwezi kufanya hili jambo aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…