Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

kuna mmoja humu alianzisha uzi kua anaiomba serikali iwatambue kama wao ni kabila huru wasitambuliwe kama n wahaya nashukuru memba humu nao walimpinga vikali
Mwalimu alisemaga Makabila yamebaki ni kwa ajili ya Matambiko tu. !!
Sisi tunachotaka ni Maendeleo !!
Tukianza kuchunguzana habari ya makabila ya hapa TZ unaweza ukakuta wote ni wahamiaji tu kutoka Zinazoitwa Nchi nyingine kwa hivi sasa!
Nani anajua Deustch Ostafrica ilikuwa Nchi gani ??!
 
Mwalimu alisemaga Makabila yamebaki ni kwa ajili ya Matambiko tu. !!
Sisi tunachotaka ni Maendeleo !!
Tukianza kuchunguzana habari ya makabila ya hapa TZ unaweza ukakuta wote ni wahamiaji tu kutoka Zinazoitwa Nchi nyingine kwa hivi sasa!
Nani anajua Deustch Ostafrica ilikuwa Nchi gani ??!
Shida sio kabila bali their hidden agenda
 
Naskia ngazi ya Makatibu Wakuu na Watendaji Wakuu wa Serikali wapo wengi saana. Alafu wanajiitaga waha, wahaya au wasukuma
hili tatizo tena kubwa ndio mana hawana uchungu na nchi kazi ya kujinunulia mirol na mabus na kuwekeza nchi za wenzetu, juz kati kuna wazir kanunua roli semtrail aina ya HOWO karibu 150 na kumpa tajir mmoja wa mkoa flani, afu polis na wanajeshi wapo tu kama bender ya rangi saba, ukikaanao kichwan hakuna wanachoelewa kuhusu wao ni kupiga stor za mademu na starehe, yaan askari jwtz mwanaume anawaza kucheza vikoba hy nchi hapana kwakweri
 
Hii jamii ni hatari sana. Iliweza kupenetrate Uganda na sasa wanaitawala, ikaweza kuchukua Rwanda na sasa wanaitawala.

Baadhi walikimbia Congo Mashariki waka kaa kama wakimbizi alafu badae wakasema pale ni kwao.

Wa Congo waliposhtuka kusema waondoke wakagoma na sasa ndo wanaendesha vikundi vya waasi Congo Mashariki kwa faida ya ndugu zao waliopo Rwanda na Uganda

Kiusalama wa taifa hawa watu ni tishio sana na wanachotaka sasa ni kuimega Congo ili waiunganishe na Rwanda na baadae hata Uganda wataifanyia hivyo hivyo kupitia vikundi vyao kikiwemo M23

Inaonekana Intelejensia ya Jeshi letu ipo vizuri sana kuliko hawa TISS.

Kwa Tanzania mikoa ya Magharibi wamedominate wao kwa sehemu kubwa hasa Geita, Kigoma na Kagera. Hivi karibuni wameanza kuingia Katavi

Kesho wakilianzisha wakisema Kagera, Kigoma na Geita au Katavi ziwe sehemu ya empire yao msishangae.
Ndio hivi hivi Watanganyika wanavyojipenyeza Kwa Kasi ZANZIBAR na hivi Sasa nafasi nyingi nyeti wanazikamata wao hivyo wazanzibar INAANZA kuwa ngumu kuajiriwa ZANZIBAR WATU kutoka Tanganyika wanapewa kipa umbele na ndugu zao ambao tayari wameshika hatamu ZANZIBAR
 
Hii jamii ni hatari sana. Iliweza kupenetrate Uganda na sasa wanaitawala, ikaweza kuchukua Rwanda na sasa wanaitawala.

Baadhi walikimbia Congo Mashariki waka kaa kama wakimbizi alafu badae wakasema pale ni kwao.

Wa Congo waliposhtuka kusema waondoke wakagoma na sasa ndo wanaendesha vikundi vya waasi Congo Mashariki kwa faida ya ndugu zao waliopo Rwanda na Uganda

Kiusalama wa taifa hawa watu ni tishio sana na wanachotaka sasa ni kuimega Congo ili waiunganishe na Rwanda na baadae hata Uganda wataifanyia hivyo hivyo kupitia vikundi vyao kikiwemo M23

Inaonekana Intelejensia ya Jeshi letu ipo vizuri sana kuliko hawa TISS.

Kwa Tanzania mikoa ya Magharibi wamedominate wao kwa sehemu kubwa hasa Geita, Kigoma na Kagera. Hivi karibuni wameanza kuingia Katavi

Kesho wakilianzisha wakisema Kagera, Kigoma na Geita au Katavi ziwe sehemu ya empire yao msishangae.
Katika wahaya 10 watano Wana asili ya Rwanda hasa Karagwe...wamekuja Tz kwa kuolewa, kuhamia, kuoa wengine basi tu ni watutsi waliojikuta Tz na wanapiga kihaya ile mbaya...

NB. Zamani watutsi, wahaya, wanyankole,wahima nk walikuwa chini ya utawala maarufu sana ulioitwa Bunyoro-kitara ambayo uliangushwa baada ya Buganda kingdom kushirikiana na waingireza kuiangusha miaka ya 1800...
Hii mipaka tu imewekwa na wazungu ila wote ni ndugu kwa namna moja au nyingine

Bado wengi ikiwemo wahaya, wanyankole, wahima, wairu,wakiga,na watutsi wanaamini ipo siku Bunyoro-kitara kingdom itarudi kwenye glory yake..
Ndo maana ukikaa na muhaya vzr utagundua hawapo kiivyo Tz...watz wengi wanawaita wakabila na wabaguzi lakini huo ndo ukweli ipo siku Kagera na Bukoba itaungana na Rwanda na sehemu ya Uganda kuunda kingdom mpya..
Ndo maana Hadi Leo subchief ya kihaya Bado zinafanya kazi ikiwemo ile iliyotawala kyamutwara Bukoba ya sasa...ikulu yake Bado ipo...
Karagwe siku zote ilitawaliwa na wahima wakina king Rumanyika na ipo siku kingdom zitarudi...
Ndo maana watu wa Kagera hata kuuza ardhi wa watu Baki ni ngumu mno
 
Katika wahaya 10 watano Wana asili ya Rwanda hasa Karagwe...wamekuja Tz kwa kuolewa, kuhamia, kuoa wengine basi tu ni watutsi waliojikuta Tz na wanapiga kihaya ile mbaya...

NB. Zamani watutsi, wahaya, wanyankole,wahima nk walikuwa chini ya utawala maarufu sana ulioitwa Bunyoro-kitara ambayo uliangushwa baada ya Buganda kingdom kushirikiana na waingireza kuiangusha miaka ya 1800...
Hii mipaka tu imewekwa na wazungu ila wote ni ndugu kwa namna moja au nyingine
That’s it !
 
Hii jamii ni hatari sana. Iliweza kupenetrate Uganda na sasa wanaitawala, ikaweza kuchukua Rwanda na sasa wanaitawala.

Baadhi walikimbia Congo Mashariki waka kaa kama wakimbizi alafu badae wakasema pale ni kwao.

Wa Congo waliposhtuka kusema waondoke wakagoma na sasa ndo wanaendesha vikundi vya waasi Congo Mashariki kwa faida ya ndugu zao waliopo Rwanda na Uganda

Kiusalama wa taifa hawa watu ni tishio sana na wanachotaka sasa ni kuimega Congo ili waiunganishe na Rwanda na baadae hata Uganda wataifanyia hivyo hivyo kupitia vikundi vyao kikiwemo M23

Inaonekana Intelejensia ya Jeshi letu ipo vizuri sana kuliko hawa TISS.

Kwa Tanzania mikoa ya Magharibi wamedominate wao kwa sehemu kubwa hasa Geita, Kigoma na Kagera. Hivi karibuni wameanza kuingia Katavi

Kesho wakilianzisha wakisema Kagera, Kigoma na Geita au Katavi ziwe sehemu ya empire yao msishangae.
Mwaka 2014 nilikutana na konda stand anapiga debe,Mwanza

akaniambia kwao ni Rwanda ila Tz anaijua vizuri kazunguka sehemu nyingi na anapiga kiswahili vizuri tu,huezi fikiri kua ni mnyarwanda

Nikashangaa,kumbe Kuingia Tz ni rahisi hivi
 
Hii jamii ni hatari sana. Iliweza kupenetrate Uganda na sasa wanaitawala, ikaweza kuchukua Rwanda na sasa wanaitawala.

Baadhi walikimbia Congo Mashariki waka kaa kama wakimbizi alafu badae wakasema pale ni kwao.

Wa Congo waliposhtuka kusema waondoke wakagoma na sasa ndo wanaendesha vikundi vya waasi Congo Mashariki kwa faida ya ndugu zao waliopo Rwanda na Uganda

Kiusalama wa taifa hawa watu ni tishio sana na wanachotaka sasa ni kuimega Congo ili waiunganishe na Rwanda na baadae hata Uganda wataifanyia hivyo hivyo kupitia vikundi vyao kikiwemo M23

Inaonekana Intelejensia ya Jeshi letu ipo vizuri sana kuliko hawa TISS.

Kwa Tanzania mikoa ya Magharibi wamedominate wao kwa sehemu kubwa hasa Geita, Kigoma na Kagera. Hivi karibuni wameanza kuingia Katavi

Kesho wakilianzisha wakisema Kagera, Kigoma na Geita au Katavi ziwe sehemu ya empire yao msishangae.
Upuuzi, mtupu, jwtz ile ya, zamani sawa, wakati wa brigadier Hashim Mbita, hii ya sasa hv, imejaa vilaza watupu na makada wa CCM,
Inawezekana vipi mkuu wa majeshi,aliyebobea, akasimama hadharani na kukili kuwa "kuna watu wameajiliwa na kuteuliwa serikalini ambao sio raia,"ni kuivua nchi nguo, hii, kitu sio ya kusema hadharani, yeye kama mkuu wa, jeshi, ilibidi azuie hii kitu, sasa
 
Mwaka 2014 nilikutana na konda stand anapiga debe,Mwanza

akaniambia kwao ni Rwanda ila Tz anaijua vizuri kazunguka sehemu nyingi na anapiga kiswahili vizuri tu,huezi fikiri kua ni mnyarwanda

Nikashangaa,kumbe Kuingia Tz ni rahisi hivi

Mwaka 2014 nilikutana na konda stand anapiga debe,Mwanza

akaniambia kwao ni Rwanda ila Tz anaijua vizuri kazunguka sehemu nyingi na anapiga kiswahili vizuri tu,huezi fikiri kua ni mnyarwanda

Nikashangaa,kumbe Kuingia Tz ni rahisi hivi
Ulikuwa hulijui hilo? Kalaghabao
 
Upuuzi, mtupu, jwtz ile ya, zamani sawa, wakati wa brigadier Hashim Mbita, hii ya sasa hv, imejaa vilaza watupu na makada wa CCM,
Inawezekana vipi mkuu wa majeshi,aliyebobea, akasimama hadharani na kukili kuwa "kuna watu wameajiliwa na kuteuliwa serikalini ambao sio raia,"ni kuivua nchi nguo, hii, kitu sio ya kusema hadharani, yeye kama mkuu wa, jeshi, ilibidi azuie hii kitu, sasa
Tulia wewe. CDF hajakosea popote. Tulikuwa tumelala sana.

Mada nyingi sana zimeandikwa humu alafu bado wanasiasa wanaziba masikio kwa interest zao za kisiasa.
 
Back
Top Bottom