Watu wa, Kagera, karagwe,wana asili ya, Rwanda, Burundi, Uganda,
Wa Masai wa Arusha, wapo na Kenya, Wamakonde wapo na msumbiji, lakini wanaoogopwa na Wa kazi, wa kagera tu!
Tumewahi kuwa na Waziri mkuu Mmasai(sokoine), hakuiuza, nchi Kenya! Akaja Lowasa, hakuiuza Nchi Kenya!
Tukapata Waziri wa maliasili Kutoka singida!Nyarandu, akaingia mikataba ya, kijinga na kenya!
Ila watu wanawachukia wahaya tu!
Wa Kikuyu wa, Kenya, ndio wachaga wa bongo, na wachaga wapo kila sekta nchini, hapo utasikia watu wakisema aaah hawa sio raia, lakini, watu wakisikia mtu anaitwa Kamazima, au, Ruta!watu, makalio yanaanza kupiga kelele! Aaah hawa ni warundi? Wajaluo wapo Kenya, wapo Tanzania! Huwezi, kusikia wananyanyapaliwa!
Odinga wa Kenya ni majaluo,kama wajaluo wa Tanzania, je amekuwa spy wa bongo, anatuuzia Siri za Kenya, kwa vile tu, kabila lake hata bongo lipo?
Wanaobagua wengine Kutoka na n asili Yao, ni makaburu meusi tu, na wengi wao, ni, watu maskini wa vipato, elimu,