Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

Kinachotuchanganya ni namna wanavyoifanya Congo. Linatupa wasiwasi sana
Congo haifanywi hivyo na hao unaowadhania....! Congo iko vile sababu wakubwa wa Dunia wameamua tu iwe hivyo, na hata wakiamua kuifanya tz wataifanya tu bila ya hao watutsi....! Mtu mweusi anapigana na adui asie sahihi, ngozi nyeusi inabaguana yenyewe baada ya kufitinishwa amkeni nyie maboya
 
Umeongea vyema kabisa mkuu...! Huyo mkuu wa majeshi kama kayazungumza hayo hakupaswa kuwa kwenye hiyo nafasi, anafanya uchochezi. Hii Dunia ni yote sote haijalishi uko wapi, Obama alikua Raisi ya marekani ilihali baba yake ni mkenya...! Mtoa mada na wengine wanaoshupalia hii mada ni watu wasiojiamini kabisa wanajiona duni mbele ya hao wanaowatuhumu, kama wameweza kujipenyeza na kuingia sehemu nyeti maana yapaswa tuwapongeze maana sio kazi rahisi eti, kama wameweza kuwa wafanyabiashara wakubwa na wanamiliki vituo vya radio, maana yake si ni faida hiyo kwa maendeleo ya nchi
Usilinganishe first world counties kama US uingereza zenye mifumo thabiti olio jengwa, Raisi yoyote hawezi kuifumua bila nguvu ya ummah, na nchi changa kama Tz , hapa mwendazake alibadili kila kitu ndani ya miaka mitano bila kulatazwa tuna shukuru tu Mungu.
 
Ila wa bongo akili zetu ndogo Sana, huwezi, kutumia jina LA mtu kujua utaifa wake,
Barack Obama, ni m Kenya au mmarekani!?
Kuna jamaa yangu anaitwa Clinton, mwingine Washington, kwahiyo wamekuwa wamarekani?
Akili, za, makalioni hz,
Unapata jina Kutoka na na asili yako,Moyo, wapo Mbeya, hata Zambia!
Mtoto wa, Odinga, aliitwa, Fidel Castro! Kwahiyo amekuwa raia wa CUBA!
Mi natoka ngara, siwezi kuitwa Lyimo,sherukindo, wala Chacha, nitatumia ntukamazima, ambayo hata Burundi yapo.
You fuckers, ndio maana Nchi hii inaibiwa,
Sasa ma CCM, yamefanya spinning ya hatari, wwnajua wa bongo, swala LA uraia, dini,mpira ni vitu wanavyojari Sana, wametoa kauli, sasa hv watu hawajadili sukari kuwa 5K kwa kilo, au maandamano ya chadema, ni kuongelea uraia tu
Habari ya Ngara mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina uhakika na Bashiru. Lakini lililo dhahiri kabisa Dotto Biteko siyo mtanzania. Na amepewa unaibu waziri mdogo. Pacha wake naye yumo ndani ya Serikali. Na jamaa ni mafia hasa. Licha ya madudu yake mengi lakini amemkamata Rais vibaya sana kwa mbinu mbalimbali chafu. Na Rais amedanganyika na kumwamini. Huyu ni hatari kuliko wote maana amefanikiwa kujipenyeza mpaka nafasi za juu kabisa.
Dotto
Bashiru
Nina mashaka nao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walipenetrate Uganda saivi Uganda wametawala wao. Aliyekuwa chief of Intelligence Uganda leo ndo Rais wa Rwanda.

Wakaisumbua Congo wakatengeneza muasi aliyefanikiwa hadi kuwa Rais wa nchi na alipofariki wakampa mtoto wake kuwa Rais wa Congo. Leo hii Congo ni kama failed state na wakifanikiwa wataenda kuyamega majimbo yake ya mashariki hasa miji ya Goma na Kivu

Wakifanikiwa Congo long plan ni hapa Tz na so far wameweza kushika nafasi zote nyeti hapa Tanzania so kwa kifupi wanaijua Tanzania inside out so haitawasumbua sana.

Kama waliweza hadi kumuweka Wazir wa Ulinzi na sasa wana Naibu Mtendaji Mkuu na kuna mmoja alikuwa hadi Katibu Mkuu Kiongoz na Katibu wa Chama wanashindwa nini kwa Tanzania?
Muda wote huo hao wateuaji walikuw hawajui?
 
Hii jamii ni hatari sana. Iliweza kupenetrate Uganda na sasa wanaitawala, ikaweza kuchukua Rwanda na sasa wanaitawala.

Baadhi walikimbia Congo Mashariki waka kaa kama wakimbizi alafu badae wakasema pale ni kwao.

Wa Congo waliposhtuka kusema waondoke wakagoma na sasa ndo wanaendesha vikundi vya waasi Congo Mashariki kwa faida ya ndugu zao waliopo Rwanda na Uganda

Kiusalama wa taifa hawa watu ni tishio sana na wanachotaka sasa ni kuimega Congo ili waiunganishe na Rwanda na baadae hata Uganda wataifanyia hivyo hivyo kupitia vikundi vyao kikiwemo M23

Inaonekana Intelejensia ya Jeshi letu ipo vizuri sana kuliko hawa TISS.

Kwa Tanzania mikoa ya Magharibi wamedominate wao kwa sehemu kubwa hasa Geita, Kigoma na Kagera. Hivi karibuni wameanza kuingia Katavi

Kesho wakilianzisha wakisema Kagera, Kigoma na Geita au Katavi ziwe sehemu ya empire yao msishangae.
Hawa watu wameanza kuingia tangu kipindi cha JK na sasa wanaitawala 50% ya Tanzania. Ni vigumu sana kuwaong'oa kwa kutumia TPDF tu. Inabidi tuombe msaada kutoka nje.
 
hili tatizo tena kubwa ndio mana hawana uchungu na nchi kazi ya kujinunulia mirol na mabus na kuwekeza nchi za wenzetu, juz kati kuna wazir kanunua roli semtrail aina ya HOWO karibu 150 na kumpa tajir mmoja wa mkoa flani, afu polis na wanajeshi wapo tu kama bender ya rangi saba, ukikaanao kichwan hakuna wanachoelewa kuhusu wao ni kupiga stor za mademu na starehe, yaan askari jwtz mwanaume anawaza kucheza vikoba hy nchi hapana kwakweri
CDF achukue nchi, mengine tutajua baadaye!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka 2014 nilikutana na konda stand anapiga debe,Mwanza

akaniambia kwao ni Rwanda ila Tz anaijua vizuri kazunguka sehemu nyingi na anapiga kiswahili vizuri tu,huezi fikiri kua ni mnyarwanda

Nikashangaa,kumbe Kuingia Tz ni rahisi hivi
Kuna m1 yuko Songea vijijini, ni mfanya biashara.
Palee mtaani kajenga na kaoa huku huku, ana familia pia.

Yaan huwezi amini km mnyarwanda,
 
Back
Top Bottom