Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Wote ni walewaleCha kushangaza aliyepewa ujumbe anajibu mambo ya uchaguzi wa mitaa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote ni walewaleCha kushangaza aliyepewa ujumbe anajibu mambo ya uchaguzi wa mitaa tu.
Hapana usiwe na wasiwasi mimi simo kabisa humo wala sifanani nao completely 😂😂🙏🙏Naona unajitetea sana. Subiri utafikiwa. Utarudi tu kwenu🤣
Sio mbaya nikiuliza hasa hii issue inawahusu zaidi nani kati ya jeiwi na tithi ??!Tulia wewe. CDF hajakosea popote. Tulikuwa tumelala sana.
Mada nyingi sana zimeandikwa humu alafu bado wanasiasa wanaziba masikio kwa interest zao za kisiasa.
Tunawaona humu mnavyohamaki. Tena unavyojiita mzee wa shy iyo shy ndo shinyanga nini? Maana mmejaa kote huko mnajiita wasukumaHapana usiwe na wasiwasi mimi simo kabisa humo wala sifanani nao completely 😂😂🙏🙏
Bahima ??!Wote ni walewale
Hiiii iko kazi. ! 😅😅Tunawaona humu mnavyohamaki. Tena unavyojiita mzee wa shy iyo shy ndo shinyanga nini? Maana mmejaa kote huko mnajiita wasukuma
Tulia ukifikiwa ndo utajuaSio mbaya nikiuliza hasa hii issue inawahusu zaidi nani kati ya jeiwi na tithi ??!
tanzania sio kama congo wasijaribu kufanya uasi watapigika mpaka kwaoHii jamii ni hatari sana. Iliweza kupenetrate Uganda na sasa wanaitawala, ikaweza kuchukua Rwanda na sasa wanaitawala.
Baadhi walikimbia Congo Mashariki waka kaa kama wakimbizi alafu badae wakasema pale ni kwao.
Wa Congo waliposhtuka kusema waondoke wakagoma na sasa ndo wanaendesha vikundi vya waasi Congo Mashariki kwa faida ya ndugu zao waliopo Rwanda na Uganda
Kiusalama wa taifa hawa watu ni tishio sana na wanachotaka sasa ni kuimega Congo ili waiunganishe na Rwanda na baadae hata Uganda wataifanyia hivyo hivyo kupitia vikundi vyao kikiwemo M23
Inaonekana Intelejensia ya Jeshi letu ipo vizuri sana kuliko hawa TISS.
Kwa Tanzania mikoa ya Magharibi wamedominate wao kwa sehemu kubwa hasa Geita, Kigoma na Kagera. Hivi karibuni wameanza kuingia Katavi
Kesho wakilianzisha wakisema Kagera, Kigoma na Geita au Katavi ziwe sehemu ya empire yao msishangae.
Baadae wataanza kusema kwa kuwa hapa ni kwetu kama wanavyofanya Mashariki mwa Congo na kikundi cha M23Ukiwa mtumishi wa umma mikoa ya Rukwa,Katavi,Tabora,Kigoma,Kagera na Mara ndio utagundua ajira za umma zilivyochukuliwa na Raia wa nchi jirani kwa kigezo cha kuingiliana lugha na tamaduni.
HILI JAMBO NI KUBWA KULIKO TUNAVYODHANI NA MADHARA YAKE NI MAKUBWA NA LILIPOFIKIA KULISHUGHULIKIA BILA BUSARA LITALETA SHIDA KUBWA
tz ruvuma mkuu
Wanapatikana Mtwara wapo mpakani na msumbiji hivyo kuna wengine wako upande wa msumbiji.Ntwara TZ
Usiishi kwa kukariri. Tahadhali ni muhimu na kinga ni bora kuliko tiba.Tanzania ingekuwa legelege kama congo na uganda mipaka yake kuchezewa na waasi watakavyo ingeishavurugwa vibaya. Kagera na kigoma mpaka katavi ingekuwa ni eneo la waasi kutamba kuja mpaka kahama, mwanza, shinyanga na tabora. Wilaya za ngara, garagwe na misenyi ndio lango lao la kupenya. Tushukuru taifa letu si dhaifu kiulinzi katika mipaka yake kama congo. Kwetu mtu akianzisha harakati za kutaka kugawa wananchi kwa itikadi za kidini, kikabila na kikanda anashughulikiwa juu kwa juu.
Hii ni hatari kubwa sana kwa nchi. Viongozi wetu wa kisiasa wao wanawaza vyeo tu!Ndiko tunakoelekea. Kuna wakubwa jeshini ambao ni wakimbizi ndio wanasimamia interviews za kuingiza vijana jeshini huku wakiwapa nafasi wenzao ndani ya jeshi letu. Siku kikiwaka tunaweza nyang'anywa taifa hili maana maeneo nyeti sana.
Kwa siku moja?CDF amechelewa awamu ya 5 ndio ilileta Bahima empire.
Upuuzi mtupu, alifikaje hapo huyo mkubwa?Ndiko tunakoelekea. Kuna wakubwa jeshini ambao ni wakimbizi ndio wanasimamia interviews za kuingiza vijana jeshini huku wakiwapa nafasi wenzao ndani ya jeshi letu. Siku kikiwaka tunaweza nyang'anywa taifa hili maana maeneo nyeti sana.
Hapana sio siku mojaKwa siku moja?