Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

Umenena vema sana. Tena huko Congo hawakuwahi kupewa madaraka makubwa ndani ya Serikali kama ilivyo hapa kwetu.

Fikiria mpaka tuna Naibu Waziri Mkuu. Hivi kwa nafasi kama hiyo atafanya mangapi kwaajili ya ndugu zake?

Alikuwa tu Waziri wa madini, madudu aliyoyafanya kwaajili ya kuwanufaisha wanyarwanda wenzake yanatisha. Huyu mtu aliwanyang'anya vitalu vya uchimbaji dhahabu Watanzania na wawekezaji wa nje, na kuwagawia jamaa zake wanayarwanda. Kwa kumtumia jamaa yake aitwaye Evarii, amejitajirisha sana, na kutumia utajiri huo akawa anawahonga wafanya vetting wote na maafisi wa TISS ikulu. Sasa amepewa unaibu waziri mkuu na uwaziri wa nishati. Tunajua anafanya nini huko? Kwa kupitia hiyo nafasi, tunajua atawajaza wanyarwanda wangapi?
Geita na yule mzee wa bluecoast
 
Bashiru siyo Mnyarwanda yule?
Kuna watanzania ni raia wa US, Canada, UK na nchi nyingine, tukianza kutaja watu na asili zao ambao ni raia wa TZ itakuwa shida kubwa.

Sasa ongeza wengine kwenye list yako, Bashe ni msomali, .....
 
Ndio hivi hivi Watanganyika wanavyojipenyeza Kwa Kasi ZANZIBAR na hivi Sasa nafasi nyingi nyeti wanazikamata wao hivyo wazanzibar INAANZA kuwa ngumu kuajiriwa ZANZIBAR WATU kutoka Tanganyika wanapewa kipa umbele na ndugu zao ambao tayari wameshika hatamu ZANZIBAR
Mwinyi anapambania uchumi wa bluu.
 
Hii jamii ni hatari sana. Iliweza kupenetrate Uganda na sasa wanaitawala, ikaweza kuchukua Rwanda na sasa wanaitawala.

Baadhi walikimbia Congo Mashariki waka kaa kama wakimbizi alafu badae wakasema pale ni kwao.

Wa Congo waliposhtuka kusema waondoke wakagoma na sasa ndo wanaendesha vikundi vya waasi Congo Mashariki kwa faida ya ndugu zao waliopo Rwanda na Uganda

Kiusalama wa taifa hawa watu ni tishio sana na wanachotaka sasa ni kuimega Congo ili waiunganishe na Rwanda na baadae hata Uganda wataifanyia hivyo hivyo kupitia vikundi vyao kikiwemo M23

Inaonekana Intelejensia ya Jeshi letu ipo vizuri sana kuliko hawa TISS.

Kwa Tanzania mikoa ya Magharibi wamedominate wao kwa sehemu kubwa hasa Geita, Kigoma na Kagera. Hivi karibuni wameanza kuingia Katavi

Kesho wakilianzisha wakisema Kagera, Kigoma na Geita au Katavi ziwe sehemu ya empire yao msishangae.
Namfahamu jamaa mmoja tunakaa mtaa mmoja ni mnyaruanda kabisa hata muonekano wake ni kama kagame ila ni mfanyakazi wa serikali. Anajitambulisha kama nshomile
 
Hii jamii ni hatari sana. Iliweza kupenetrate Uganda na sasa wanaitawala, ikaweza kuchukua Rwanda na sasa wanaitawala.

Baadhi walikimbia Congo Mashariki waka kaa kama wakimbizi alafu badae wakasema pale ni kwao.

Wa Congo waliposhtuka kusema waondoke wakagoma na sasa ndo wanaendesha vikundi vya waasi Congo Mashariki kwa faida ya ndugu zao waliopo Rwanda na Uganda

Kiusalama wa taifa hawa watu ni tishio sana na wanachotaka sasa ni kuimega Congo ili waiunganishe na Rwanda na baadae hata Uganda wataifanyia hivyo hivyo kupitia vikundi vyao kikiwemo M23

Inaonekana Intelejensia ya Jeshi letu ipo vizuri sana kuliko hawa TISS.

Kwa Tanzania mikoa ya Magharibi wamedominate wao kwa sehemu kubwa hasa Geita, Kigoma na Kagera. Hivi karibuni wameanza kuingia Katavi

Kesho wakilianzisha wakisema Kagera, Kigoma na Geita au Katavi ziwe sehemu ya empire yao msishangae.
Mwenyekiti mstaafu wa ccm Rukwa ni MnyaRwanda na wako wengi sana Serikalini.

Sio Katavi tuu hata Rukwa wapo Kila sehemu kuanzia mwambao Hadi Mjini.

Mumeshachelewa sana na Wana documents na Wana pesa Sasa sijui mtawafanya nini Sasa.
 
Watu wa, Kagera, karagwe,wana asili ya, Rwanda, Burundi, Uganda,
Wa Masai wa Arusha, wapo na Kenya, Wamakonde wapo na msumbiji, lakini wanaoogopwa na Wa kazi, wa kagera tu!
Tumewahi kuwa na Waziri mkuu Mmasai(sokoine), hakuiuza, nchi Kenya! Akaja Lowasa, hakuiuza Nchi Kenya!
Tukapata Waziri wa maliasili Kutoka singida!Nyarandu, akaingia mikataba ya, kijinga na kenya!
Ila watu wanawachukia wahaya tu!
Wa Kikuyu wa, Kenya, ndio wachaga wa bongo, na wachaga wapo kila sekta nchini, hapo utasikia watu wakisema aaah hawa sio raia, lakini, watu wakisikia mtu anaitwa Kamazima, au, Ruta!watu, makalio yanaanza kupiga kelele! Aaah hawa ni warundi? Wajaluo wapo Kenya, wapo Tanzania! Huwezi, kusikia wananyanyapaliwa!
Odinga wa Kenya ni majaluo,kama wajaluo wa Tanzania, je amekuwa spy wa bongo, anatuuzia Siri za Kenya, kwa vile tu, kabila lake hata bongo lipo?
Wanaobagua wengine Kutoka na n asili Yao, ni makaburu meusi tu, na wengi wao, ni, watu maskini wa vipato, elimu,
Umemaliza hii nchi ina wapumbafu wengi sana
 
Mwenyekiti mstaafu wa ccm Rukwa ni MnyaRwanda na wako wengi sana Serikalini.

Sio Katavi tuu hata Rukwa wapo Kila sehemu kuanzia mwambao Hadi Mjini.

Mumeshachelewa sana na Wana documents na Wana pesa Sasa sijui mtawafanya nini Sasa.
Tunakujua na wewe pia.
 
Hii jamii ni hatari sana. Iliweza kupenetrate Uganda na sasa wanaitawala, ikaweza kuchukua Rwanda na sasa wanaitawala.

Baadhi walikimbia Congo Mashariki waka kaa kama wakimbizi alafu badae wakasema pale ni kwao.

Wa Congo waliposhtuka kusema waondoke wakagoma na sasa ndo wanaendesha vikundi vya waasi Congo Mashariki kwa faida ya ndugu zao waliopo Rwanda na Uganda

Kiusalama wa taifa hawa watu ni tishio sana na wanachotaka sasa ni kuimega Congo ili waiunganishe na Rwanda na baadae hata Uganda wataifanyia hivyo hivyo kupitia vikundi vyao kikiwemo M23

Inaonekana Intelejensia ya Jeshi letu ipo vizuri sana kuliko hawa TISS.

Kwa Tanzania mikoa ya Magharibi wamedominate wao kwa sehemu kubwa hasa Geita, Kigoma na Kagera. Hivi karibuni wameanza kuingia Katavi

Kesho wakilianzisha wakisema Kagera, Kigoma na Geita au Katavi ziwe sehemu ya empire yao msishangae.
Tumechelewa sanaa
 
I love Samia Suluhu, amepokea ushauri na sasa bajeti itengwe ya kuwarudisha kwao.
Mh Samia asante sana, mkuu wetu wa Majeshi ingefaa upewe pHD ya heshma, sijui kijeshi utapewa nini ila umeona mbali sana kwa niaba ya Watanganyika.
Hawa jamaa wamejipenyeza CCM na vyeo vikubwa, wanafadhili chama, wana biashara kubwa, wana NIDA na Uraia walioupata kwa ujanja ujanja na kupenyeza shekeli.
mkuu teuzi bado zipo..keep it up.
 
Back
Top Bottom