Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

Huwezi amini wanashika hadi nafasi za juu kabisa za maamuzi. Nchi yetu sijui ina nini hii?
Watanzania ! Hadi Rais siyo mtanzania ni mzanzbari, anakotoka Rais mtanzania huruhusiwi hatakuwa mjumbe wa serikali za mitaa, achilia mbali kumiliki kipande cha ardhi. Tuanzie hapo kisha twende huko. Tanganyika lazima iongozwe na watanganyika. Tuanze kukataa hili huku kwingine tutaweza.
 
Upuuzi, mtupu, jwtz ile ya, zamani sawa, wakati wa brigadier Hashim Mbita, hii ya sasa hv, imejaa vilaza watupu na makada wa CCM,
Inawezekana vipi mkuu wa majeshi,aliyebobea, akasimama hadharani na kukili kuwa "kuna watu wameajiliwa na kuteuliwa serikalini ambao sio raia,"ni kuivua nchi nguo, hii, kitu sio ya kusema hadharani, yeye kama mkuu wa, jeshi, ilibidi azuie hii kitu, sasa
Ni aibu mkubwa sana mkuu kutoa kauli ile hadharani yani hata majirani wanaona kumbe Tanzania ulinzi hamna. Kajiabisha yeye na Amri Jeshi wake Mkuu.
 
Katika wahaya 10 watano Wana asili ya Rwanda hasa Karagwe...wamekuja Tz kwa kuolewa, kuhamia, kuoa wengine basi tu ni watutsi waliojikuta Tz na wanapiga kihaya ile mbaya...

NB. Zamani watutsi, wahaya, wanyankole,wahima nk walikuwa chini ya utawala maarufu sana ulioitwa Bunyoro-kitara ambayo uliangushwa baada ya Buganda kingdom kushirikiana na waingireza kuiangusha miaka ya 1800...
Hii mipaka tu imewekwa na wazungu ila wote ni ndugu kwa namna moja au nyingine

Bado wengi ikiwemo wahaya, wanyankole, wahima, wairu,wakiga,na watutsi wanaamini ipo siku Bunyoro-kitara kingdom itarudi kwenye glory yake..
Ndo maana ukikaa na muhaya vzr utagundua hawapo kiivyo Tz...watz wengi wanawaita wakabila na wabaguzi lakini huo ndo ukweli ipo siku Kagera na Bukoba itaungana na Rwanda na sehemu ya Uganda kuunda kingdom mpya..
Ndo maana Hadi Leo subchief ya kihaya Bado zinafanya kazi ikiwemo ile iliyotawala kyamutwara Bukoba ya sasa...ikulu yake Bado ipo...
Karagwe siku zote ilitawaliwa na wahima wakina king Rumanyika na ipo siku kingdom zitarudi...
Ndo maana watu wa Kagera hata kuuza ardhi wa watu Baki ni ngumu mno
Inawezekana kbs kwn ccm imewakumbatia mnoo
 
Usiishi kwa kukariri. Tahadhali ni muhimu na kinga ni bora kuliko tiba.

Kama mliwekewa hadi Waziri wa Ulinzi na Katibu Mkuu Kiongozi sio raia mna uhakika gani na usalama wenu miaka ya mbele?
Huyu waziri wa ulinzi alikuwa yupi? Au ni yule aliyefariki?
 
Afro man. Mzee wa Luangwa

Acha kunisumbua bwana unajifanya hujui. Tafuta habari za msiba wa dada wa No. 2. uliofanyika tabora alafu linganisha majina yake na mchezaji wa Simba anaetokea Burundi
Wewe kma huwewzi kuongea bila codes zako usinisumbuwe.

Ukifatilia majina hata Kenya wapo akina nyerere, tena kwa wajaluo huko.

Silioni tatizo, ita maji "maji". Usiite mma.
 
NB. Zamani watutsi, wahaya, wanyankole,wahima nk walikuwa chini ya utawala maarufu sana ulioitwa Bunyoro-kitara ambayo uliangushwa baada ya Buganda kingdom kushirikiana na waingireza kuiangusha miaka ya 1800...
Hii mipaka tu imewekwa na wazungu ila wote ni ndugu kwa namna moja au nyingine
Sasa nani kamfundisha mwenzake kunyaza ili tumpe Maua yake?

Je ni Muhaya ndie mgunduzi halafu akawafunza wenzake au ni Mnyankole ndie mvumbuzi halafu akawafunza Wahima au ni Watutsi ndio wavumbuzi wakawafunza all the above👆

maxresdefault.jpg

download.jpeg.jpg

Ndakukunda Cyane.
 
Mnaongelea "infiltaration" za Kizayuni kabisa duniani.


Mshafikiria chini huku kwenye ngazi za kawaida ambazo siyyp za kisiasa wala nyadhifa kubwa za Kiserikali? Huku ndiyo wageni wamejaa, tukisema tuwachambuwe kwa kina tutajikuta Watanzania asilimia 80 ni wageni.

Tanzania inazungukwa na mipaka ya nchi nyingi sana, tena ipo wazi kabisa. Huwezi kuzuwia kabisa uwepo wa wageni wahamiaji, kihalali au kiharamu.

Unaemdhania siye kumbe ndiye.
 
Watanzania tazameni ramani halafu mnambie mtazuwia vipi wageni wa nchi zinazotuzunguka? Au utabaguwa, wageni hawa tunawataka, hawa hatuwataki?


Au fitina tayari za kuanza kuuwana?
 
Back
Top Bottom