Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #161
Utafikiwa usihofuMurugo Muhira Pure East African Citizen. Turi kumwe🤫
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafikiwa usihofuMurugo Muhira Pure East African Citizen. Turi kumwe🤫
Duh 🙄 !
Niko hapa Kasulu karibu sana Nzoga.Utafikiwa usihofu
Duh 🙄 !Duwani wa Lumala, Ilemela Mkoa wa Mwanza ni Mnyarwanda!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Watanzania ! Hadi Rais siyo mtanzania ni mzanzbari, anakotoka Rais mtanzania huruhusiwi hatakuwa mjumbe wa serikali za mitaa, achilia mbali kumiliki kipande cha ardhi. Tuanzie hapo kisha twende huko. Tanganyika lazima iongozwe na watanganyika. Tuanze kukataa hili huku kwingine tutaweza.Huwezi amini wanashika hadi nafasi za juu kabisa za maamuzi. Nchi yetu sijui ina nini hii?
Miaka 6 ni siku moja?Kwa siku moja?
Msaidizi wake ndo sio raia. Uwe unaelewa bc naweSasa majaliwa sio mtz personally ama ni kabila lake la kimwera ?
Ni aibu mkubwa sana mkuu kutoa kauli ile hadharani yani hata majirani wanaona kumbe Tanzania ulinzi hamna. Kajiabisha yeye na Amri Jeshi wake Mkuu.Upuuzi, mtupu, jwtz ile ya, zamani sawa, wakati wa brigadier Hashim Mbita, hii ya sasa hv, imejaa vilaza watupu na makada wa CCM,
Inawezekana vipi mkuu wa majeshi,aliyebobea, akasimama hadharani na kukili kuwa "kuna watu wameajiliwa na kuteuliwa serikalini ambao sio raia,"ni kuivua nchi nguo, hii, kitu sio ya kusema hadharani, yeye kama mkuu wa, jeshi, ilibidi azuie hii kitu, sasa
Inawezekana kbs kwn ccm imewakumbatia mnooKatika wahaya 10 watano Wana asili ya Rwanda hasa Karagwe...wamekuja Tz kwa kuolewa, kuhamia, kuoa wengine basi tu ni watutsi waliojikuta Tz na wanapiga kihaya ile mbaya...
NB. Zamani watutsi, wahaya, wanyankole,wahima nk walikuwa chini ya utawala maarufu sana ulioitwa Bunyoro-kitara ambayo uliangushwa baada ya Buganda kingdom kushirikiana na waingireza kuiangusha miaka ya 1800...
Hii mipaka tu imewekwa na wazungu ila wote ni ndugu kwa namna moja au nyingine
Bado wengi ikiwemo wahaya, wanyankole, wahima, wairu,wakiga,na watutsi wanaamini ipo siku Bunyoro-kitara kingdom itarudi kwenye glory yake..
Ndo maana ukikaa na muhaya vzr utagundua hawapo kiivyo Tz...watz wengi wanawaita wakabila na wabaguzi lakini huo ndo ukweli ipo siku Kagera na Bukoba itaungana na Rwanda na sehemu ya Uganda kuunda kingdom mpya..
Ndo maana Hadi Leo subchief ya kihaya Bado zinafanya kazi ikiwemo ile iliyotawala kyamutwara Bukoba ya sasa...ikulu yake Bado ipo...
Karagwe siku zote ilitawaliwa na wahima wakina king Rumanyika na ipo siku kingdom zitarudi...
Ndo maana watu wa Kagera hata kuuza ardhi wa watu Baki ni ngumu mno
Be take echo.Sikuelewi.
Kaongee na mnaofahamiana lugha.
We ought to be seriousNdiko tunakoelekea. Kuna wakubwa jeshini ambao ni wakimbizi ndio wanasimamia interviews za kuingiza vijana jeshini huku wakiwapa nafasi wenzao ndani ya jeshi letu. Siku kikiwaka tunaweza nyang'anywa taifa hili maana maeneo nyeti sana.
Diablo dibala ni yupi?Unauliza makofi polisi?
Hata msaidiz wa Diblo Dibala ni Team Bahima hapo Sijaweka msaidiz wa No 1.
Huyu waziri wa ulinzi alikuwa yupi? Au ni yule aliyefariki?Usiishi kwa kukariri. Tahadhali ni muhimu na kinga ni bora kuliko tiba.
Kama mliwekewa hadi Waziri wa Ulinzi na Katibu Mkuu Kiongozi sio raia mna uhakika gani na usalama wenu miaka ya mbele?
Nchi hii wanasiasa wengi huwa wanawachukia sana wazalendo ambao huwa wanahoji katika mambo yanayofanywa ndivyo sivyo !!Huwezi amini wanashika hadi nafasi za juu kabisa za maamuzi. Nchi yetu sijui ina nini hii?
Wewe kma huwewzi kuongea bila codes zako usinisumbuwe.Afro man. Mzee wa Luangwa
Acha kunisumbua bwana unajifanya hujui. Tafuta habari za msiba wa dada wa No. 2. uliofanyika tabora alafu linganisha majina yake na mchezaji wa Simba anaetokea Burundi
Alaska ProductsHuyu waziri wa ulinzi alikuwa yupi? Au ni yule aliyefariki?
Sasa nani kamfundisha mwenzake kunyaza ili tumpe Maua yake?NB. Zamani watutsi, wahaya, wanyankole,wahima nk walikuwa chini ya utawala maarufu sana ulioitwa Bunyoro-kitara ambayo uliangushwa baada ya Buganda kingdom kushirikiana na waingireza kuiangusha miaka ya 1800...
Hii mipaka tu imewekwa na wazungu ila wote ni ndugu kwa namna moja au nyingine
Yule aliyepinda mdomoHuyu waziri wa ulinzi alikuwa yupi? Au ni yule aliyefariki?