Hongera daughter. Division 2 ya point 20 from Kayumba School

Amen πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
Ni wakati mzurii wa kumtengenezea future yake..... Najua ana plan zake lakini mueke au zungumza naye ujue anaenda kusoma nn ama kafaulu masomo yepi ? Na jee yupo tyr kwa combination husika!

Asifike fom six hajui asome nn chuoni it's a time now to decide for her next carrier..... Nafurah kuona madg wakifanya vzr hasa waliopita shule ya kata ama serikalini za kawaida.....

Pia mkuu Kuna issue siku hz kupangiwa chuo hata akiwa na two jee upo tyr mwanao kuanza diploma one ?
 
ajenda yake hujaielewa? Ana wivu na wazazi wanowekeza kielimu kwa watoto kwa kuwapa elimu bora ya gharama.
Elimu bora ni nini
Yeye mwenyewe anapenda kupiga 5 na 6 so atapiga 5 na 6
 
Nampa hongera binti nawe pia kama mzazi hongera najua jitihada zako pia zimefanya 2 ikapatikana.
 
NI ile inayoendana na wakati,

Kuendana na wakati ni nini? Wakati ni nini?
vitendea kazi bora:- majengo mazuri,maabara za kisasa,na uwiano bora kati ya walimu na wanafunzi,huduma bora kiafya,usafiri na chakula.

Kwa hiyo hata kama haina uwezo wa kusolve matatizo as long as watoto wanaenda shule na gari still bado itakuwa elimu bora kwako?
 
Nampa hongera binti nawe pia kama mzazi hongera najua jitihada zako pia zimefanya 2 ikapatikana.
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Kuendana na wakati ni nini? Wakati ni nini?


Kwa hiyo hata kama haina uwezo wa kusolve matatizo as long as watoto wanaenda shule na gari still bado itakuwa elimu bora kwako?
Kama hujaelewa kwaheri.. huna hoja ya maanaπŸ˜…πŸ˜…πŸ™Œ
 
I don't know.

But basing on what you post in here, I'm pretty sure it's very high.

You're vindictiveness towards EMS made me believe you'd make sure your child scores the very best just to prove your point.

But here we are.
You are a c student. You have failed my Class. This is not what I am preaching
 

Kwa cv ya Mwanao atafanikiwa kufika mpaka degree, ila atakuja kuleta usumbufu kwenye ndoa lazima, vijana na watoto wangu huyu ni Baba Mkwe wenu mtarajiwa na hivi ndivyo anamuelezea binti yake, kweli Malezi Hakuna siku hizi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…