Hongera Diamond kwa kununua ndege na helicopter. Wasafi Airlines itazalisha ajira

Hongera Diamond kwa kununua ndege na helicopter. Wasafi Airlines itazalisha ajira

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Natoa pongezi kwa msanii namba moja Afrika kwa sasa Diamond Platnumz kwa kununua vyombo vya anga. Biashara yake mpya anayokuja nayo ya Wasafi airlines itafungua milango ya ajira nyingi sana Tanzania na duniani kwa ujumla.

Watu tutaacha kupanda emirates na klm tutaanza kupanda ndege za kijana wa Tandale. Nitoe wito kwa vijana majobless kuanza kuandaa CV badala ya kushinda mnatukana mafanikio ya tajiri huyu mwenye umri kama wenu.

Hii biashara itaenda kuajiri marubani, hostess mpaka mainjinia mlio na madegree. Ili ni somo kwa vijana tuendelee kupambana kuzifikia ndoto zetu na tuheshimu talent. Hakuna kinachoshindikana. Hasira za kuyakosea maisha kuzishushia kwa Diamond wala sio dawa ya kutusogeza kimaisha.

1660376530741.png
 
Natoa pongezi kwa msanii namba moja Africa kwa sasa Diamond Platnumz kwa kununua vyombo vya anga.

Biashara yake mpya anayokuja nayo ya Wasafi airlines itafungua milango ya ajira nyingi sana Tanzania na duniani kwa
Sasa ndege moja ndio itaanzisha Airlines😂😂😂 hebu acheni upuuzi jamani. Hio ndege yeye auzie sura tu basi inatosha
 
Sasa ndege moja ndio itaanzisha Airlines😂😂😂 hebu acheni upuuzi jamani. Hio ndege yeye auzie sura tu basi inatosha
Kaa hapo hapo utazame show ya mtoto wa Tandale. Si mlisema hawezi nunua ndege sasa kaleta ndege na helicopter mbili na huu ni mwanzo tu.

Chakufanya mkuu edit CV yako yenye GPA first class nikuconnect ukale shavu kwa Chibu. Hasira hazijawai kuwa dawa.
 
Juma lokole unahangaika sana kumpamba Mwanaume mwenzio ili mradi tu upate tonge...Lini unaleta tena thd ya kumponda Rayvanny ambaye ulikua unashinda na kulala humu kwa kumsifia?

Anyway habari za tajiri muulize masikini.
 
Natoa pongezi kwa msanii namba moja Africa kwa sasa Diamond Platnumz kwa kununua vyombo vya anga. Biashara yake mpya anayokuja nayo ya Wasafi airlines itafungua milango ya ajira nyingi sana Tanzania na duniani kwa ujumla.

Watu tutaacha kupanda emirates na klm tutaanza kupanda ndege za kijana wa Tandale. Nitoe wito kwa vijana majobless kuanza kuandaa CV badala ya kushinda mnatukana mafanikio ya tajiri huyu mwenye umri kama wenu.

Hii biashara itaenda kuajiri marubani, hostess mpaka mainjinia mlio na madegree. Ili ni somo kwa vijana tuendelee kupambana kuzifikia ndoto zetu na tuheshimu talent. Hakuna kinachoshindikana. Hasira za kuyakosea maisha kuzishushia kwa Diamond wala sio dawa ya kutusogeza kimaisha.
Nimefungua sikuona picha au video. Sisomi uzi
 
Juma lokole unahangaika sana kumpamba Mwanaume mwenzio ili mradi tu upate tonge...Lini unaleta tena thd ya kumponda Rayvanny ambaye ulikua unashinda na kulala humu kwa kumsifia?

Anyway habari za tajiri muulize masikini.
Siku moja jaribu kupeleka tangazo moja kwenye page ya Juma Lokole alafu usikie atakuchaji kiasi gani alafu kaaa upige hesabu kwa siku anapost matangazo mangapi.

Ukishajua kwa siku anaingiza kiasi gani ndio uje hapa ulete dharau kwa Lokole.

Diamond kawapa watu maisha chuki zenu hazisaidii kubadilisha chochote kwake.
 
Kununua ni jambo moja kuziendesha, mishahara ya rubani, air hostesses, mafuta, kodi na ushuru wa viwanja plus vibali ni jambo lingine.

Ndio atajua hajui,

Mo na matajiri wengine hawana ndege sio kwamba hawawezi? Dogo hajafanya analysis ya running cost.
Kijana anataka kukuza jina tu na thamani ya show zake huko ng'ambo na si vinginevyo.

Helicopter ya Gwajima kuna mtu anajua ilipo?😅😅😅😅
 
Siku moja jaribu kupeleka tangazo moja kwenye page ya Juma Lokole alafu usikie atakuchaji kiasi gani alafu kaaa upige hesabu kwa siku anapost matangazo mangapi.

Ukishajua kwa siku anaingiza kiasi gani ndio uje hapa ulete dharau kwa Lokole.

Diamond kawapa watu maisha chuki zenu hazisaidii kubadilisha chochote kwake.
Yaani wewe Chawa unaongea utafikiri watu wote humu unawajua maisha yao,

Endelea kua chawa wa Mwanaume mwenzako,unajibishana na watu humu kisa Mwanaume mwenzako! Nina mashaka na utimamu wako aisee.
 
Yaani wewe Chawa unaongea utafikiri watu wote humu unawajua maisha yao,

Endelea kua chawa wa Mwanaume mwenzako,unajibishana na watu humu kisa Mwanaume mwenzako! Nina mashaka na utimamu wako aisee.
Mtu mwenye maisha magumu hajifichi kila mtu anatabia zake ukiwa masikini na una roho mbaya wala huwezi jificha.
 
Back
Top Bottom