Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Sijui hata nacheka nini [emoji23][emoji23]
Ndege na Helicopter mbili my ribs
Ndege na Helicopter mbili my ribs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitoto vya shule au mitaani vinazurura na vibegi migongoni ndio hivi sasaYaani wewe Chawa unaongea utafikiri watu wote humu unawajua maisha yao,
Endelea kua chawa wa Mwanaume mwenzako,unajibishana na watu humu kisa Mwanaume mwenzako! Nina mashaka na utimamu wako aisee.
Mimi nilipozaliwa na kukulia matusi ni kama mafuta ya kujipaka yani ndio sehemu ya maisha kwahio ukinitukana unajisumbua tuu 🤣Unanichosha tu kmmmqo
Unasema kila mtu ana tabia zake halafu hapo hapo unadai unajua maisha ya wana JF wote....haya nenda ukampanguse makamasi bosi wako.Mtu mwenye maisha magumu hajifichi kila mtu anatabia zake ukiwa masikini na una roho mbaya wala huwezi jificha.
ASIJE AKATULETEA POPO ATUDANGANYE KUWA NI NDEGENatoa pongezi kwa msanii namba moja Africa kwa sasa Diamond Platnumz kwa kununua vyombo vya anga. Biashara yake mpya anayokuja nayo ya Wasafi airlines itafungua milango ya ajira nyingi sana Tanzania na duniani kwa ujumla.
Watu tutaacha kupanda emirates na klm tutaanza kupanda ndege za kijana wa Tandale. Nitoe wito kwa vijana majobless kuanza kuandaa CV badala ya kushinda mnatukana mafanikio ya tajiri huyu mwenye umri kama wenu.
Hii biashara itaenda kuajiri marubani, hostess mpaka mainjinia mlio na madegree. Ili ni somo kwa vijana tuendelee kupambana kuzifikia ndoto zetu na tuheshimu talent. Hakuna kinachoshindikana. Hasira za kuyakosea maisha kuzishushia kwa Diamond wala sio dawa ya kutusogeza kimaisha.
Utafanyaje sasa utaishia kujihurumia tu maisha yako maana zaidi ya roho mbaya na chuki hakuna unachomiliki kwenye hii duniaSijui hata nacheka nini [emoji23][emoji23]
Ndege na Helicopter mbili my ribs
😂😂😂 chai ya limaoUmeniwahi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Juma lokole unahangaika sana kumpamba Mwanaume mwenzio ili mradi tu upate tonge...Lini unaleta tena thd ya kumponda Rayvanny ambaye ulikua unashinda na kulala humu kwa kumsifia?
Anyway habari za tajiri muulize masikini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui hata nacheka nini [emoji23][emoji23]
Ndege na Helicopter mbili my ribs
Jamaa anakejeri Wala hamaanishi alichoandikaSasa ndege moja ndio itaanzisha Airlines😂😂😂 hebu acheni upuuzi jamani. Hio ndege yeye auzie sura tu basi inatosha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utafanyaje sasa utaishia kujihurumia tu maisha yako maana zaidi ya roho mbaya na chuki hakuna unachomiliki kwenye hii dunia
Na Mungu alivyofundi kakupa sura mbaya unyooke vizuri mtoto wa kike [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anatamani Mondi amjue walau apate hata ukaribu nae,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] punguza presha mwayaaa, utakufa na kihoro, hizo picha za ndege na helicopter ziko wapi???
Peleka huko bang zako,kwa ndege moja na helicopter moja uanzishe kampini ya usafirisha kiasi tuache kupanda emirate yenye ndenge kubwa tuje tupande ndege ya abiria 12?,mmeifanya jf kua facebook?Natoa pongezi kwa msanii namba moja Africa kwa sasa Diamond Platnumz kwa kununua vyombo vya anga. Biashara yake mpya anayokuja nayo ya Wasafi airlines itafungua milango ya ajira nyingi sana Tanzania na duniani kwa ujumla.
Watu tutaacha kupanda emirates na klm tutaanza kupanda ndege za kijana wa Tandale. Nitoe wito kwa vijana majobless kuanza kuandaa CV badala ya kushinda mnatukana mafanikio ya tajiri huyu mwenye umri kama wenu.
Hii biashara itaenda kuajiri marubani, hostess mpaka mainjinia mlio na madegree. Ili ni somo kwa vijana tuendelee kupambana kuzifikia ndoto zetu na tuheshimu talent. Hakuna kinachoshindikana. Hasira za kuyakosea maisha kuzishushia kwa Diamond wala sio dawa ya kutusogeza kimaisha.
Kumbe unaijua ya Kiba kua ni kubwa Eeh! One man down.Hata kiba anayo ila ile ya kiba ni kubwa kidogo