Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Siku Diamond akikuomba lazima utampa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unaijua ya Kiba kua ni kubwa Eeh! One man dowfresh m
One man down! Fresh mzee👊🏼Kumbe unaijua ya Kiba kua ni kubwa Eeh! One man down.
Airline ya ndege 1?Natoa pongezi kwa msanii namba moja Africa kwa sasa Diamond Platnumz kwa kununua vyombo vya anga. Biashara yake mpya anayokuja nayo ya Wasafi airlines itafungua milango ya ajira nyingi sana Tanzania na duniani kwa ujumla.
Watu tutaacha kupanda emirates na klm tutaanza kupanda ndege za kijana wa Tandale. Nitoe wito kwa vijana majobless kuanza kuandaa CV badala ya kushinda mnatukana mafanikio ya tajiri huyu mwenye umri kama wenu.
Hii biashara itaenda kuajiri marubani, hostess mpaka mainjinia mlio na madegree. Ili ni somo kwa vijana tuendelee kupambana kuzifikia ndoto zetu na tuheshimu talent. Hakuna kinachoshindikana. Hasira za kuyakosea maisha kuzishushia kwa Diamond wala sio dawa ya kutusogeza kimaisha.
Uzuri Diamond anajua kupigania ndoto zake. Kama Rollys Royce hater walikuwa wanasema hawezi, hatimae kapambana hadi katimiza ndoto, kaota ndegr kaipata.. Jamaa anaweza pigania ndotoSasa ndege moja ndio itaanzisha Airlines😂😂😂 hebu acheni upuuzi jamani. Hio ndege yeye auzie sura tu basi inatosha
Ni kweli kuipigania ndoto inawezekana ukiwa na vyanzo mkuu.Uzuri Diamond anajua kupigania ndoto zake. Kama Rollys Royce hater walikuwa wanasema hawezi, hatimae kapambana hadi katimiza ndoto, kaota ndegr kaipata.. Jamaa anaweza pigania ndoto
Diamond kawa chachu kwa wente ndoto, kaota ndoto nyingi kazipigani na kazitumiza. Mond hata akifa leo katendea kazi ndoto zake, anayo yafanya wengi hadi wanakufa wanaishia kuotaHuyu ni kijana wa kuigwa,sio kwa hustle hizo aisee,kila siku anafikiria jinsi ya kuongeza ukwasi wake tu,Allah ambariki sana
Hivyo vyanzia pia ni ndoto. Chanzi cha Mond ni kipaji chake kakitumia pasipo kukata tamaa, mika ya nyuma kabisa Mondi anakaa tandale hakuwa na chochoteNi kweli kuipigania ndoto inawezekana ukiwa na vyanzo mkuu.
Hii biashara itaenda kuajiri marubani, hostess mpaka mainjinia mlio na madegree. Ili ni somo kwa vijana tuendelee kupambana kuzifikia ndoto zetu na tuheshimu talent. Hakuna kinachoshindikana. Hasira za kuyakosea maisha kuzishushia kwa Diamond wala sio dawa ya kutusogeza kimaisha.
Ni kweli mkuu kipaji kukigeuza hela sio swala dogo.Hivyo vyanzia pia ni ndoto. Chanzi cha Mond ni kipaji chake kakitumia pasipo kukata tamaa, mika ya nyuma kabisa Mondi anakaa tandale hakuwa na chochote
Na sio kipaji tu focus muhimu zaidi, wasanii wengi kawakuta mond leo wako wapi ? Mwamba kapambani kombe haswaa hata akifa leo kaacha mark,Ni kweli mkuu kipaji kukigeuza hela sio swala dogo.
Focus kweli namsifu hasa baada ya kulipa kisasi kwa bongo movie wote waliomkataaga ameamua kuwa tajiri sasa Self Made riches.Na sio kipaji tu focus muhimu zaidi, wasanii wengi kawakuta mond leo wako wapi ? Mwamba kapambani kombe haswaa hata akifa leo kaacha mark,