mwakyindi
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,599
- 2,192
Ajaweka bado. Nichai ya Asalihajaweka tu bado?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajaweka bado. Nichai ya Asalihajaweka tu bado?
Punguza hasira na kukata tamaa then uandike vizuri.Anafanya vzr,hatuna wivu nae,lakini wapo ma injinia wenye mpunga mrefu,wasafi wanasubili,
Mmiriki wa molel electrical,ndie anaemiriki majengo zilipo ofc za voda na Tigo,ndie mwenye kiwanda Cha kutengeneza nguzo za zege,
Mond utajiri wake ni bilioni 23.3!!
Molel electrical ana mara kumi ya hizo,
Je umemsikia Yule kijana wa Tanzania,asimwe kabunga aliyewekeza bilioni 90+!,kwenye kiwanda Cha madini!!?
Wasomi wapo wengi tu wenye pesa ndefu,
Avumae baharini ni papa,lakini wengine wapo,Umemsikia Fernandes wa NARA?
Je Yule kijana anayemiriki kampuni ya IT,iliyoajiri CEO kutoka Kenya?
Usisahau mmiriki wa huu mtandao,JF,ni msomi sana,Tena injinia,
Kwa kijana kutoka "tandale"kutoka kwenye maisha ni long game,acha kabisa, wako wapi Juma nature,dudu bata,tmk wanaume,Marrow,Mr nice,twenty percent,YP na Ydash,sister P,Rah P,ZeY B,
Ila kwa msomi,unakuwa umepewa ngazi ya kuanzia.
Umekulia Mwandinga sio 😂Mimi nilipozaliwa na kukulia matusi ni kama mafuta ya kujipaka yani ndio sehemu ya maisha kwahio ukinitukana unajisumbua tuu 🤣
Mi nikajua ana fleet ya ndege at least 5 au 10 kumbe ni moja?
Mond hawezi nunua dege la bil 13 afu akawa na utajir wa bil 23Anafanya vzr,hatuna wivu nae,lakini wapo ma injinia wenye mpunga mrefu,wasafi wanasubili,
Mmiriki wa molel electrical,ndie anaemiriki majengo zilipo ofc za voda na Tigo,ndie mwenye kiwanda Cha kutengeneza nguzo za zege,
Mond utajiri wake ni bilioni 23.3!!
Molel electrical ana mara kumi ya hizo,
Je umemsikia Yule kijana wa Tanzania,asimwe kabunga aliyewekeza bilioni 90+!,kwenye kiwanda Cha madini!!?
Wasomi wapo wengi tu wenye pesa ndefu,
Avumae baharini ni papa,lakini wengine wapo,Umemsikia Fernandes wa NARA?
Je Yule kijana anayemiriki kampuni ya IT,iliyoajiri CEO kutoka Kenya?
Usisahau mmiriki wa huu mtandao,JF,ni msomi sana,Tena injinia,
Kwa kijana kutoka "tandale"kutoka kwenye maisha ni long game,acha kabisa, wako wapi Juma nature,dudu bata,tmk wanaume,Marrow,Mr nice,twenty percent,YP na Ydash,sister P,Rah P,ZeY B,
Ila kwa msomi,unakuwa umepewa ngazi ya kuanzia.
Hata uko sawa tuUmekulia Mwandinga sio 😂
Basi itakuwa ni ujiji 😂Hata uko sawa tu
Wengi wenye maneno ya shombo kama haya,ni wale wanaoamini kwa vile katokea kijana kutoka uswazi Kawa tajiri na mfanyabishara mkubwa basi usomi hauna maana,kwa vile tu wameajiliwa kwenye kampuni ya mtoto wa uswazi!!Kaa hapo hapo utazame show ya mtoto wa Tandale. Si mlisema hawezi nunua ndege sasa kaleta ndege na helicopter mbili na huu ni mwanzo tu.
Chakufanya mkuu edit CV yako yenye GPA first class nikuconnect ukale shavu kwa Chibu. Hasira hazijawai kuwa dawa.
Hapendi show offHata kiba anayo ila ile ya kiba ni kubwa kidogo
Mkuu tafuta pesa hakuna anaeshtuka na vyeti vyako siku hizi, pesa inapunguza kujieleza sana.Wengi wenye maneno ya shombo kama haya,ni wale wanaoamini kwa vile katokea kijana kutoka uswazi Kawa tajiri na mfanyabishara mkubwa basi usomi hauna maana,kwa vile tu wameajiliwa kwenye kampuni ya mtoto wa uswazi!!
Sasa ndugu zangu,kati ya watu milioni 60 bongo,Kuna vijana wangapi hao wa "tandale"wenye mkwanja mrefu kiasi kwamba wasomi wanaonekanq kama takataka?Unajua kwa wasomi kuwa tajiri sio jambo la kishangaza ni given,ila kwa kijana wa "tandale"ku ukwaa ukwasi ni ajabu ndio maana machawa wa kusifia wanakuwa wengi,
Vunjabei nae ni mtoto wa "tandale"?
Kama kuwa "mtoto"wa" tandale "ndio kupata ukwasi,wapo wapi kina Juma nature na tmk!mabaga fresh,Daz nundaz?
Acheni mbwembwe,usicheze na Elimu wewe
Dah Mlolongo amelikeB levo fundi majumba ana hela kuliko ukoo wenu wote kwa sababu ya jina linaitwa Diamond Platnumz.
Raila kaangukia pua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thread Imeanzishwa Na Chawa Sasa Anafikiria Watu Wote Humu Hawana Uelewa Kuhusu Masuala Ya AviationSasa ndege moja ndio itaanzisha Airlines😂😂😂 hebu acheni upuuzi jamani. Hio ndege yeye auzie sura tu basi inatosha
Chawa akili zao finyu sanaThread Imeanzishwa Na Chawa Sasa Anafikiria Watu Wote Humu Hawana Uelewa Kuhusu Masuala Ya Aviation
kama kawaida yetuMasikini wameaamka sasa