Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Ndiyo maana nikasema roughly inaweza fika kiasi hicho kwa kuchukulia average minimal paymentWatazamaji wa kazi za Diamond...
1. Kenya.
2.Tanzania.
3. USA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana nikasema roughly inaweza fika kiasi hicho kwa kuchukulia average minimal paymentWatazamaji wa kazi za Diamond...
1. Kenya.
2.Tanzania.
3. USA
waambie hao washamba wa KigomaAli kiba alishafikisha hizo toka mwaka jana,sema tu hapendi showoffs
😰Kupiga mahesabu pesa za watu, lakini hesabu za serikali hatuzijui, ndio maana tunapigwa kodi zetu huku tunashangilia.
Doooooh....umeharibu mkuuKupiga mahesabu pesa za watu, lakini hesabu za serikali hatuzijui, ndio maana tunapigwa kodi zetu huku tunashangilia.
[emoji27]
Daah, kwakweli hii inachoma...inaumiza na inagusa
Aiseee nasi Millardi naye atafikisha 1bil mwezi ujao maana kabakiza 67000 tu
waambie hao washamba wa Kigoma
Huu ndo ukwelihaha
mkuu embu achana na stress za serikali utapata shida bureKupiga mahesabu pesa za watu, lakini hesabu za serikali hatuzijui, ndio maana tunapigwa kodi zetu huku tunashangilia.