Hongera Dida

na wanaojitoa muhanga kuoa manamake ya style hii wana moyo....I am sure ni jobless and hopeless minded men.
 
kwa hiyo K yake ishaota sugu aisee
 
Ukiwa na stress we fungua Jf tena CELEBRITY FORUM! kuna mtu kanivuja mbavu humu eti nyie wanaume mnaopaka vikarolait hamtakiwi wanaotakiwa ni wapaka mikorogo kama hao mahazibandi wa bi shost!jamani unaweza paliwa kama unakula!
 
hongera dida lakini utulie huyu awe wamwisho kwani, uko ndoo maana kukaitwa sehemu za siri anaona mmoja tu wakizidi wa tatu sio sehemu za siri tena inakuwa sehemu ya wazi.
 
na wanaojitoa muhanga kuoa manamake ya style hii wana moyo....I am sure ni jobless and hopeless minded men.

umekosea sana kusema hopeless na jobless! mwanaume ni mfanyakazi... sema na yeye ni wa aina hiyohiyo ya dida. kwani ndege wenye mbawa za kufanana huruka pamoja lolest!
 
Huyo jamaa ni jembe sana kwenye career yake,nilikuwa namfatilia sana alipokuwa Kiss kwenye kipindi chake cha KISS COLLABO SHOW,kwa nilivyokuwa namuona misimamo/itikadi zake sikudhani kama kwenye malovee anaweza akaangukia kwa shankupe

shankupe ndo mwenyewe kwa taarifa yako. hao wanaojidai decent huwa ndo vicheche balaa. aaf shankupe akikupenda mbona anatulia tuuli best!
 
 
Limwanamke lenyewe halina hata shepu, sijui watu wanashoboka nae kwa kipi?? infact mrs wangu mama koku is so beautiful

aliekwambia shepu ndo inat****mb*** nani? mambo iko kwenye mashine ya mtoto wa kitanga. wanawake wa kitanga oooo.....
 
hongera dida lakini utulie huyu awe wamwisho kwani, uko ndoo maana kukaitwa sehemu za siri anaona mmoja tu wakizidi wa tatu sio sehemu za siri tena inakuwa sehemu ya wazi.

sehemu ya siri gani wakati wa kuzaa manesi na madaktari wanacheza napo kuliko wewe ulieoa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…