jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Napenda kumtia moyo Mama Dorothy Gwajima kwani wachache wa namna hii ni adimu kuwapata.
Mungu ampe nguvu Dkt. John Pombe Magufuli ili kuendelea kuibua na kuzilinda hizi hazina ambazo kutokana na ufisadi kutamalaki hazikuwahi kuonekana.
Tanzania inaweza kusimama katika afya bila kutegemea misaada ya kondomu,pedi na vidonge vya uzazi wa mpango.
Awamu ya Tano imesimika miundombinu ya huduma za Afya (HARDWARE)Awamu hii ni kuiweka sawa "SOFTWARE " ya kuhudumia yaani uadilifu na kurejea kwenye misingi ya maadili ya watoa huduma za afya.
Miaka kadhaa baada ya sekta ya afya kuwa ina urahisi wa kupata ajira pameibuka makanjanja wengi walioikimbilia sekta hii wakija na nia ya kupiga hela tu.
Hawa ni vichomi na kamwe hawawezi kumpenda "MD RUSSIA" ambaye amepanda kutoka ngazi ya usimamizi wa wodi hadi wizara(step by step....SIJUI UNAMDANGANYIA WAPI.
Anajua shida wanayopata wananchi,watumishi,viongozi wa afya,n.k
Anajua pa kuwachapa IMAGINE Kila siku tunasikia muuguzi kamfinya na kumdhihaki mjamzito lakini mwisho wa mwaka leseni yake anaipata kama kawa.
BARAZA LA WAUGUZI/ MADAKTARI Kazi kupiga hela za leseni tu. Mkiguswa hoo mama hajakaa kihaiba ya Gov Official.
SONGA MBELE UKAIFUFUE SEKTA YA AFYA NGAZI YA MSINGI.
SONGA MBELE GWAJIMA SONGA MBELE GWAJIMA SONGA MBELE GWAJIMA .
Ni miaka mitano tena ya MABADILIKO YA KWELI.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mungu ampe nguvu Dkt. John Pombe Magufuli ili kuendelea kuibua na kuzilinda hizi hazina ambazo kutokana na ufisadi kutamalaki hazikuwahi kuonekana.
Tanzania inaweza kusimama katika afya bila kutegemea misaada ya kondomu,pedi na vidonge vya uzazi wa mpango.
Awamu ya Tano imesimika miundombinu ya huduma za Afya (HARDWARE)Awamu hii ni kuiweka sawa "SOFTWARE " ya kuhudumia yaani uadilifu na kurejea kwenye misingi ya maadili ya watoa huduma za afya.
Miaka kadhaa baada ya sekta ya afya kuwa ina urahisi wa kupata ajira pameibuka makanjanja wengi walioikimbilia sekta hii wakija na nia ya kupiga hela tu.
Hawa ni vichomi na kamwe hawawezi kumpenda "MD RUSSIA" ambaye amepanda kutoka ngazi ya usimamizi wa wodi hadi wizara(step by step....SIJUI UNAMDANGANYIA WAPI.
Anajua shida wanayopata wananchi,watumishi,viongozi wa afya,n.k
Anajua pa kuwachapa IMAGINE Kila siku tunasikia muuguzi kamfinya na kumdhihaki mjamzito lakini mwisho wa mwaka leseni yake anaipata kama kawa.
BARAZA LA WAUGUZI/ MADAKTARI Kazi kupiga hela za leseni tu. Mkiguswa hoo mama hajakaa kihaiba ya Gov Official.
SONGA MBELE UKAIFUFUE SEKTA YA AFYA NGAZI YA MSINGI.
SONGA MBELE GWAJIMA SONGA MBELE GWAJIMA SONGA MBELE GWAJIMA .
Ni miaka mitano tena ya MABADILIKO YA KWELI.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!