Akili 7
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 731
- 1,424
Tatizo ni mifumo mibovu tu, hana jipya huyo, business as usual, ccm mmefeli sana kwenye mambo mengi zimebaki kelele nyingi tu.
Hii wizara alivyoingia Hamisi K mkasema sasa basi akaja mama wa Korona mkasema sasa afya imepata tiba eti "muharubaini ".
Sasa kaja msema hovyo gwajima mnasema wizara ilikuwa haifai mara wapiga dili nk, miaka yote mitano mlikuwa mnafanya nini? Kazi kutupigia kelele tu, amini nawaambi gwajima atapita kero za afya zitabaki pale pale mpaka mtakapo fanya utafiti wa kina kuhusu mambo mbalimbali yanayolisibu Taifa.
Hii wizara alivyoingia Hamisi K mkasema sasa basi akaja mama wa Korona mkasema sasa afya imepata tiba eti "muharubaini ".
Sasa kaja msema hovyo gwajima mnasema wizara ilikuwa haifai mara wapiga dili nk, miaka yote mitano mlikuwa mnafanya nini? Kazi kutupigia kelele tu, amini nawaambi gwajima atapita kero za afya zitabaki pale pale mpaka mtakapo fanya utafiti wa kina kuhusu mambo mbalimbali yanayolisibu Taifa.