Hongera Dkt. Dorothy Gwajima, The Primary HealthCare Iron Lady

Hongera Dkt. Dorothy Gwajima, The Primary HealthCare Iron Lady

zipo hospitali kama K.C.MC zina uwezo wa kutengeneza jiulize kwa nini Muhimbili anunue maji*WATER FOR INJECTION kutoka UGANDA ??
C'MON FIELD MARSHALL MOVE ON AND QUICKLY!!
Umesahau kuwa hata sukari ya kuagiza nje ni ya bei nafuu kuliko sukari ya Mtibwa..
 
Kuna hospitali ya DDH ( St Francis) ndio inatoa huduma zote.
Kuhusu hospitali ya wilaya ni kweli hospitali kubwa ilijengwa.Lengo ni iwe ya wilaya...
Nilikuwa nakutambulishia tu ...how i now hii sekta and therefore how I know the people with character to change the sector!!
Karibu kwa mjadala!!
 
Uzi mzuri ila matumizi ya:

1. Primary healthcare= una maanisha ngazi ya Dispensaries & Healthcare Centres au Kwa sababu ktk sekta ya Afya kuna Level za Primary, Secondary, Tertiary.

2. Hardware na Software sio matumizi sahii labda ungetumia Physical Infrastructures
Primary Health Care ni ngazi ya Hospitali za wilaya(sometimes unaweza kuzijumuisha hospitali za mikoa)
Huku ndipo wananchi wengi walipo na wanahitaji kufikiwa na huduma za afya ya msingi.na ndio sehemu yenye malalamiko mengi.

KUHUSU HARDWARE/SOFTWARE chukulia kama lugha ya picha.
 
Mbona zipo clips za uhamasishaji wa Chf tena nyingi zilitoka miaka miwili au mitatu ....akiwa hapo TAMISEMI....?

Fursa ya kutengeneza maslahi ipo mikononi mwao watumishi ila hawakuwahi kuitumia naamini sasa wataitumia vyema.
Ukiona msomaji anashabikia ICHIF kuwa ni bima inayoweza kumsaidia mwananchi halafu anajisifu Kuwa anaifaham vizuri wizara ya afya naaza kutilia shaka elimo yake
 
Alikuwepo Kangi Lugola, na nakumbuka kada mwenzangu jingalao ulikuwa unamsifia Sana, lakini sote tunakumbuka mwisho wake. Huyu mama atulie, aweke misingi imara ya utoaji wa huduma za afya.

Pia, atambue kuwa kwa Sasa ni waziri, sio naibu Katibu Mkuu Tena. Mambo haya yalimpa umaarufu Sana Wakati akiwa naibu Katibu lakini kwa cheo Cha Uwaziri, anajishusha Sana.

Kwanza ieleweke, wezi wa dawa hawawezi kuisha. Pili, hakuna Daktari ambae hajawahi kula CCD akiwemo yeye mwenyewe enzi anapractise.

Style yake ya Uongozi itamjengea maadui wengi zaidi wizarani, inashusha morali ya wafanyakaz wa wizara na Idara zake, matokeo yake, wizara itaonekana inazingua mwisho atatumbuliwa.

Akae chini, ajenge team work nzuri. Ataacha legacy nzuri.
You said it all stay blessed
 
Ukiona msomaji anashabikia ICHIF kuwa ni bima inayoweza kumsaidia mwananchi halafu anajisifu Kuwa anaifaham vizuri wizara ya afya naaza kutilia shaka elimo yake
una study yoyote ya kusupport fikra zako kwamba Ichf sio mkombozi?
 
Mkuu naona upo nyuma sana.

Kazi ya waziri sio kuhamasisha bali kuja na mikakati ya kuwawezesha watu woote kupata bima.

Pili wananchi waweze kufaidika na bima hizo ( Ama CHF ama NHIF) kupata huduma za kibingwa.

NHIF imeanza vifurushi vipya( Mfano Najali na Timiza) ambavyo mtu hawezi kupata huduma za kibingwa kama dialysis na tiba za saratani.Na kumbuka asilimia 80 ya watanzania hawana kabisa uwezo wa kugharamia tiba.

Haya ndio mambo ya msingi.Na hakuna hata moja lilifanyika

StAY Tuned
Sasa mtu kaja juzi unataka afanye hayo yote, hana ata mwaka kazini
 
una study yoyote ya kusupport fikra zako kwamba Ichf sio mkombozi?
Hata haina Haja ya study ni simple observations tu , ichif kammwe hospitali zinazijiulewa wala hawapokei hawa wagonjwa maana mfumo wao wa Malipo hauelewaki.pili enrollment ya ichif ni kwa wagonjwa wale wa NCD na mara nyingi uhamsishaji inafanyikia mahospitalin maana yake bima inasajili wagonjwa ambao Tayari kwa kila mwezi matumizi yao ni zaidi ya 40000 kwa mwezi
Sasa mfuko unaosajili wagonjwa pekee unajiendeshaje ikis mtu anachangia 30000 kwa mwezi huku matumizi yake kwa kila mwezi ni zaidi ya 40000 .na nibima gani inayosajili wagonjwa tena kwa 30000 katika dunia hii ya utandawazi
 
ANAFANYA KAZI VIZURI LAKINI APUNGUZE DRAMA HASA KWENYE KAMERA .....WAANDISHI WANAKUINUA NA HAO HAO WANAKUDONDOSHA
 
Hivi inakuaje Kuna baraza la wafamasia halafu halijawahi kuja na resolution ya kutengeneza Maji ya IV FLUIDS (NaCL,Dextrose 10%)badala yake tunaimport kutoka UGANDA?

How come P.O.P(CaCO3) (chokaa) tunaimport kutoka nje??

Iweje hadi nguo za kuvaa madaktari/manesi zitoke nje??
Ni aibu kwakwel...na hayo maji ni muhimu saaaan katika sekta hii
 
Dr Gwajima anasifika kwa kuchapa kazi.

Hata hivyo Kuwaita watumishi wezi, waongo, wazushi, matapeli, wasio wazalendo kisha hachukui hatua za kinidhamu dhidi yao inatia doa utendaji wake.
Watumishi wa Afya wako kiajabu ndio maana anatumia lugha ya kuwafikisha kwenye mamlaka zao. Kuna walioko Tamisemi wengine Wizara ya Afya, Wengine Ulinzi,
 
Hivi inakuaje Kuna baraza la wafamasia halafu halijawahi kuja na resolution ya kutengeneza Maji ya IV FLUIDS (NaCL,Dextrose 10%)badala yake tunaimport kutoka UGANDA?

How come P.O.P(CaCO3) (chokaa) tunaimport kutoka nje??

Iweje hadi nguo za kuvaa madaktari/manesi zitoke nje??
Elimu ya kukariri ni mbaya sana. Mtaani mtu anaona sifa kujiita Daktari, Mfamasia, ama Mwanasayansi wakati hajuwi lolote.....jina tu. Ni haibu kukubali vyeo kama hivi.
 
Back
Top Bottom