Umesahau kuwa hata sukari ya kuagiza nje ni ya bei nafuu kuliko sukari ya Mtibwa..zipo hospitali kama K.C.MC zina uwezo wa kutengeneza jiulize kwa nini Muhimbili anunue maji*WATER FOR INJECTION kutoka UGANDA ??
C'MON FIELD MARSHALL MOVE ON AND QUICKLY!!
Nilikuwa nakutambulishia tu ...how i now hii sekta and therefore how I know the people with character to change the sector!!Kuna hospitali ya DDH ( St Francis) ndio inatoa huduma zote.
Kuhusu hospitali ya wilaya ni kweli hospitali kubwa ilijengwa.Lengo ni iwe ya wilaya...
Mpaka tumalize kufungua vile viwanda 100@mkoa.lini mnaenda ICC?
Primary Health Care ni ngazi ya Hospitali za wilaya(sometimes unaweza kuzijumuisha hospitali za mikoa)Uzi mzuri ila matumizi ya:
1. Primary healthcare= una maanisha ngazi ya Dispensaries & Healthcare Centres au Kwa sababu ktk sekta ya Afya kuna Level za Primary, Secondary, Tertiary.
2. Hardware na Software sio matumizi sahii labda ungetumia Physical Infrastructures
Weka list ya vilivyoko hadi sasa, ili niwaagize vijana wasio na ajira wakaajiriwe.vinaendelea mkuu
Ukiona msomaji anashabikia ICHIF kuwa ni bima inayoweza kumsaidia mwananchi halafu anajisifu Kuwa anaifaham vizuri wizara ya afya naaza kutilia shaka elimo yakeMbona zipo clips za uhamasishaji wa Chf tena nyingi zilitoka miaka miwili au mitatu ....akiwa hapo TAMISEMI....?
Fursa ya kutengeneza maslahi ipo mikononi mwao watumishi ila hawakuwahi kuitumia naamini sasa wataitumia vyema.
You said it all stay blessedAlikuwepo Kangi Lugola, na nakumbuka kada mwenzangu jingalao ulikuwa unamsifia Sana, lakini sote tunakumbuka mwisho wake. Huyu mama atulie, aweke misingi imara ya utoaji wa huduma za afya.
Pia, atambue kuwa kwa Sasa ni waziri, sio naibu Katibu Mkuu Tena. Mambo haya yalimpa umaarufu Sana Wakati akiwa naibu Katibu lakini kwa cheo Cha Uwaziri, anajishusha Sana.
Kwanza ieleweke, wezi wa dawa hawawezi kuisha. Pili, hakuna Daktari ambae hajawahi kula CCD akiwemo yeye mwenyewe enzi anapractise.
Style yake ya Uongozi itamjengea maadui wengi zaidi wizarani, inashusha morali ya wafanyakaz wa wizara na Idara zake, matokeo yake, wizara itaonekana inazingua mwisho atatumbuliwa.
Akae chini, ajenge team work nzuri. Ataacha legacy nzuri.
Sasa mtu kaja juzi unataka afanye hayo yote, hana ata mwaka kaziniMkuu naona upo nyuma sana.
Kazi ya waziri sio kuhamasisha bali kuja na mikakati ya kuwawezesha watu woote kupata bima.
Pili wananchi waweze kufaidika na bima hizo ( Ama CHF ama NHIF) kupata huduma za kibingwa.
NHIF imeanza vifurushi vipya( Mfano Najali na Timiza) ambavyo mtu hawezi kupata huduma za kibingwa kama dialysis na tiba za saratani.Na kumbuka asilimia 80 ya watanzania hawana kabisa uwezo wa kugharamia tiba.
Haya ndio mambo ya msingi.Na hakuna hata moja lilifanyika
StAY Tuned
Hata haina Haja ya study ni simple observations tu , ichif kammwe hospitali zinazijiulewa wala hawapokei hawa wagonjwa maana mfumo wao wa Malipo hauelewaki.pili enrollment ya ichif ni kwa wagonjwa wale wa NCD na mara nyingi uhamsishaji inafanyikia mahospitalin maana yake bima inasajili wagonjwa ambao Tayari kwa kila mwezi matumizi yao ni zaidi ya 40000 kwa mweziuna study yoyote ya kusupport fikra zako kwamba Ichf sio mkombozi?
Kwani Kangi alianzaje??Na akaishia wapi?Sasa mtu kaja juzi unataka afanye hayo yote, hana ata mwaka kazini
nitakuwekea
Ni aibu kwakwel...na hayo maji ni muhimu saaaan katika sekta hiiHivi inakuaje Kuna baraza la wafamasia halafu halijawahi kuja na resolution ya kutengeneza Maji ya IV FLUIDS (NaCL,Dextrose 10%)badala yake tunaimport kutoka UGANDA?
How come P.O.P(CaCO3) (chokaa) tunaimport kutoka nje??
Iweje hadi nguo za kuvaa madaktari/manesi zitoke nje??
Watumishi wa Afya wako kiajabu ndio maana anatumia lugha ya kuwafikisha kwenye mamlaka zao. Kuna walioko Tamisemi wengine Wizara ya Afya, Wengine Ulinzi,Dr Gwajima anasifika kwa kuchapa kazi.
Hata hivyo Kuwaita watumishi wezi, waongo, wazushi, matapeli, wasio wazalendo kisha hachukui hatua za kinidhamu dhidi yao inatia doa utendaji wake.
Elimu ya kukariri ni mbaya sana. Mtaani mtu anaona sifa kujiita Daktari, Mfamasia, ama Mwanasayansi wakati hajuwi lolote.....jina tu. Ni haibu kukubali vyeo kama hivi.Hivi inakuaje Kuna baraza la wafamasia halafu halijawahi kuja na resolution ya kutengeneza Maji ya IV FLUIDS (NaCL,Dextrose 10%)badala yake tunaimport kutoka UGANDA?
How come P.O.P(CaCO3) (chokaa) tunaimport kutoka nje??
Iweje hadi nguo za kuvaa madaktari/manesi zitoke nje??
sijawahi?Ulishawahi kumuona Mwl Nyerere na Mzee Kawawa wamevaa hayo ma Skafu na ma tai ya bendera ya Taifa?