Hivi inakuaje Kuna baraza la wafamasia halafu halijawahi kuja na resolution ya kutengeneza Maji ya IV FLUIDS (NaCL,Dextrose 10%)badala yake tunaimport kutoka UGANDA?
How come P.O.P(CaCO3) (chokaa) tunaimport kutoka nje??
Iweje hadi nguo za kuvaa madaktari/manesi zitoke nje??