Hongera Dkt. Dorothy Gwajima, The Primary HealthCare Iron Lady

Ni rahisi kusema kuliko kutenda. Investment ya pharma products especially sterile ones ni multi million dollars projects.

Kwenye mazingira yenye unpredictable investemnt policy na high political risk kama Tanzania, nani yuko tayari kuweka mabilioni yake hapa?
 
Kwani huyu Waziri majungu wamemletea lini? Mbona ana muda mfupi sana ofsini? Naona ana shida ya kuwa NARCISSIST and EGOCENTRIC. Kwa nini kwanza anapenda kufanya kazi na media na kufokea watendaji?

Pili kwa nini anapenda kuchamba chamba kama vile hajasoma akina Mishi na Juma Lokole?
Tatu sisi kama wananchi hatuhitaji kujua CV yake as long as aliyemteua anaijua, sisi tunataka matokeo chanya kwenye sekta ya afya. Mtu anayependa kutaja taja CV yake na mafanikio yake ya zamani ni dalili kwamba HAJIAMINI kwenye nafasi hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…