LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Hongera sana Haji Manara kwa nafasi hiyo adhwimu.God bless!!!
Aliyepewa kapewa.
Itoshe kusema kwamba Mganga wa Haji sio tapeli.
---
Kupitia Ukurasa wake rasmi wa Instagram HajiManara anathibitisha kupata usemaji wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo. Katika kulieleza hili Haji Manara anaandika:
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻
Unadhani mimi ni hodari sana kiasi cha kuendelea kupata hizi deals za Makampuni? Hapana ni Mungu tu anaeniangazia na pengine kuuvaa uhusika nnapokabidhiwa jukumu na wao au Taasisi nnazofanya nao kazi.
Kuisemea Kampuni kubwa kama hii hususan katika kipindi hiki cha Holiday na kwa namna walivyojipanga na hizi Zawadi kubwa kubwa ni zaidi ya Mipango ya Mungu, na ni heshma kwetu ndugu zangu.
Sisi tumetoka Uswahilini huko kuja kupewa fursa kama hizi ni ushindi kwa Mahaslers wote.
@tigo_tanzania mmepata Semaji, Mmepata Mwanamme hasa anaejua kazi yake, Mtaenjoy mwaka huu.
Aliyepewa kapewa.
Itoshe kusema kwamba Mganga wa Haji sio tapeli.
---
Kupitia Ukurasa wake rasmi wa Instagram HajiManara anathibitisha kupata usemaji wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo. Katika kulieleza hili Haji Manara anaandika:
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻
Unadhani mimi ni hodari sana kiasi cha kuendelea kupata hizi deals za Makampuni? Hapana ni Mungu tu anaeniangazia na pengine kuuvaa uhusika nnapokabidhiwa jukumu na wao au Taasisi nnazofanya nao kazi.
Kuisemea Kampuni kubwa kama hii hususan katika kipindi hiki cha Holiday na kwa namna walivyojipanga na hizi Zawadi kubwa kubwa ni zaidi ya Mipango ya Mungu, na ni heshma kwetu ndugu zangu.
Sisi tumetoka Uswahilini huko kuja kupewa fursa kama hizi ni ushindi kwa Mahaslers wote.
@tigo_tanzania mmepata Semaji, Mmepata Mwanamme hasa anaejua kazi yake, Mtaenjoy mwaka huu.