Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
No. Urais sio biashara. Usemaji wa urais haihitaji promo. Aliemuona manara sasa kuwa promo wa kibiashara ameona mbali sana.100%
Akitoka Tigo anaenda kuwa msemaji wa Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No. Urais sio biashara. Usemaji wa urais haihitaji promo. Aliemuona manara sasa kuwa promo wa kibiashara ameona mbali sana.100%
Akitoka Tigo anaenda kuwa msemaji wa Rais
Maswali yako ni mazuri kabisa na wangetakiwa wajiulize hivyo. Ila kama tunavyojua ni kwa Tanzania, watu wenye porojo za kijinga ndiyo huonekana kama ni majembe. Haki ya nani tumekwama sehmu mbaya sana sana na aliyetufikisha hapa ametuweza. Yaani ili uwe kiongozi au mtaalam, ''elimu'' unayotakiwa kuwa nayo ni ujinga na porojo.Kiingilishi kinapanda?...
Elimu ya Telecom ipo? Ok.
Exposure je?......
Anewei.. hongera kwake.
Never!100%
Akitoka Tigo anaenda kuwa msemaji wa Rais Ikulu
VIPI, manara alikudinya bila ndomu nini 🤒🤒Kama ni kweli...
Ndo maana jina la tigo limelaaniwa
Siyo kuwa yuko nchi ya wajinga? Huyu jamaa kwa mtu uliyeenda shule na ukaelimika sidhani kama unaweza kuona kuwa ana karama zaidi ya ujinga uliopitiliza. Kwanza maisha yake mtaani yamejaa ujinga kiasi ambacho inashangaza kampuni kumpa kazi ya kuwa msemaji. Uliwahi kuona ile video alipoenda USA akanunua escot halafu akawajirekodi huku anampiga busu huku mwanamke anaonekana yuko un-comfortable kabisa?Pamoja na madhaifu yake yote, matusi na lugha chafu ila ukweli Manara ana karama ya umashuhuri.
Kila anachogusa na kufanya ni habari. Sijajua usemaji huo utakuwa wa aina gani hasa kwenye mtandao wa simu ila sina mashaka na utekelezaji wake.
Manara alizaliwa kufanya anachokifanya.
Kuongea siyo hoja. Hoja ni unaongea nini? Mtu unayejitambua sidhani kama unaweza kupata chochote kwenye porojo zake zaidi ya ujinga. Ni kama Makonda.Hongera kwake
Kama kuongea tu yule jamaa hata mimi mwanamke simkuti
Hilo ndo fungu lake alilopewa,
Tofautisha kazi na maisha binafsi nje ya kazi Mkuu.Siyo kuwa yuko nchi ya wajinga? Huyu jamaa kwa mtu uliyeenda shule na ukaelimika sidhani kama unaweza kuona kuwa ana karama zaidi ya ujinga uliopitiliza. Kwanza maisha yake mtaani yamejaa ujinga kiasi ambacho inashangaza kampuni kumpa kazi ya kuwa msemaji. Uliwahi kuona ile video alipoenda USA akanunua escot halafu akawajirekodi huku anampiga busu huku mwanamke anaonekana yuko un-comfortable kabisa?
Labda rais wa UNUNIO100%
Akitoka Tigo anaenda kuwa msemaji wa Rais Ikulu
Manara hafai kuwa kwenye mambo serious bana tuseme tu ukweli.
BIG NO. Maisha ya msemaji wa kampuni yana direct relation na maisha yake binafsi. He is an image of the company! Hivi unaona majuu watu wanavyolazimshwa kuachia ngazi au kufukuzwa kazi kwa mambo kijinga ya binafsi wanayofanya?Tofautisha kazi na maisha binafsi nje ya kazi Mkuu.
Basi sawaaa😅😅😅Tigo wameanza lini kuwa na mambo serious?
Mie naona wamechagua mtu sahihi kwao,wote wapuuzi
NdioVIPI, manara alikudinya bila ndomu nini 🤒🤒
Unajua kuitwa MSEMAJI ujue ni jina zito sana.
Lazima Biashara uijue haswa, ujue mambo ya kiteknolojia ujue taasisi mipango yake yaan Strategic plans..
Huyu jamaa kule kwenye Mpira palimfaa kwa kuwa anafaham Mpira maana amezaliwa na kukulia ktk Mpira.
Ila huku kwenye maswala ya 5G mara 4G na unaenda ktk midahalo ya kimataifa kuzungumzia kampuni yako. Una content..?
Do majority Tanzanians care about that quality you mention?Unajua kuitwa MSEMAJI ujue ni jina zito sana.
Lazima Biashara uijue haswa, ujue mambo ya kiteknolojia ujue taasisi mipango yake yaan Strategic plans..
Huyu jamaa kule kwenye Mpira palimfaa kwa kuwa anafaham Mpira maana amezaliwa na kukulia ktk Mpira.
Ila huku kwenye maswala ya 5G mara 4G na unaenda ktk midahalo ya kimataifa kuzungumzia kampuni yako. Una content..?