Hongera Haji Manara kwa kupewa kazi ya usemaji wa kampuni ya Tigo

Hongera Haji Manara kwa kupewa kazi ya usemaji wa kampuni ya Tigo

Hongera sana Haji Manara kwa nafasi hiyo adhwimu.God bless!!!

Aliyepewa kapewa.

Itoshe kusema kwamba Mganga wa Haji sio tapeli.
---
Kupitia Ukurasa wake rasmi wa Instagram HajiManara anathibitisha kupata usemaji wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo. Katika kulieleza hili Haji Manara anaandika:

Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻

Unadhani mimi ni hodari sana kiasi cha kuendelea kupata hizi deals za Makampuni? Hapana ni Mungu tu anaeniangazia na pengine kuuvaa uhusika nnapokabidhiwa jukumu na wao au Taasisi nnazofanya nao kazi.

Kuisemea Kampuni kubwa kama hii hususan katika kipindi hiki cha Holiday na kwa namna walivyojipanga na hizi Zawadi kubwa kubwa ni zaidi ya Mipango ya Mungu, na ni heshma kwetu ndugu zangu.

Sisi tumetoka Uswahilini huko kuja kupewa fursa kama hizi ni ushindi kwa Mahaslers wote.

@tigo_tanzania mmepata Semaji, Mmepata Mwanamme hasa anaejua kazi yake, Mtaenjoy mwaka huu.
Hapa Jamii Forum. Pamejaa Wabobezi wenye hulka ya HASADI na CHUKI na KUKATISHA TAMAA MAPEMA... Kila moja wetu anajifanya anamjua vizuri Bwana HAJI S. MANARA. Tunasahau msemo usemao "Lilopabgwa na mwenyezimgu hamna kiumbe wakulifikia na kulipangua."
Ni vyema na busara tukiwa miongoni mwa wale wanaomtakia mafanyikio mema mwenzetu. Kwa kua amepatia.
Kupata utukufu na ukubwa wa ukalimani wa kuyisemea Kampuni kubwa inaomiliki mitandao miwili kwa pamoja hapa Tanzania. (Tigo na Zantel) sio jambo rahisi kupewa mtoto wa "Mpate Mpatae) .mwenyewe atazidi kumshukuru muumba wake kwa hatua aliomfikisha.
Na mimi ntakua miongoni mwa wale wengi wanao muombea kwa mwenyezimgu amsahilishie na ampe ufanisi mzuri ktk majukumu mapyia....
 
Pamoja na madhaifu yake yote, matusi na lugha chafu ila ukweli Manara ana karama ya umashuhuri.

Kila anachogusa na kufanya ni habari. Sijajua usemaji huo utakuwa wa aina gani hasa kwenye mtandao wa simu ila sina mashaka na utekelezaji wake.

Manara alizaliwa kufanya anachokifanya.
Ana nyota haswaa
Alihamia yanga na watu wengi sana tulimfata
Ngoja nikanunue line ya tigo
 
Maswali yako ni mazuri kabisa na wangetakiwa wajiulize hivyo. Ila kama tunavyojua ni kwa Tanzania, watu wenye porojo za kijinga ndiyo huonekana kama ni majembe. Haki ya nani tumekwama sehmu mbaya sana sana na aliyetufikisha hapa ametuweza. Yaani ili uwe kiongozi au mtaalam, ''elimu'' unayotakiwa kuwa nayo ni ujinga na porojo.
Ni kweli

Na kuwa chawa mfano kina Mwijaku, Baba levo n.k
 

Attachments

  • Screenshot_20231123_033230_Photos.jpg
    Screenshot_20231123_033230_Photos.jpg
    34.5 KB · Views: 1
Hongera sana Haji Manara kwa nafasi hiyo adhwimu.God bless!!!

Aliyepewa kapewa.

Itoshe kusema kwamba Mganga wa Haji sio tapeli.
---
Kupitia Ukurasa wake rasmi wa Instagram HajiManara anathibitisha kupata usemaji wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo. Katika kulieleza hili Haji Manara anaandika:

Alhamdulillah [emoji1317][emoji1317]

Unadhani mimi ni hodari sana kiasi cha kuendelea kupata hizi deals za Makampuni? Hapana ni Mungu tu anaeniangazia na pengine kuuvaa uhusika nnapokabidhiwa jukumu na wao au Taasisi nnazofanya nao kazi.

Kuisemea Kampuni kubwa kama hii hususan katika kipindi hiki cha Holiday na kwa namna walivyojipanga na hizi Zawadi kubwa kubwa ni zaidi ya Mipango ya Mungu, na ni heshma kwetu ndugu zangu.

Sisi tumetoka Uswahilini huko kuja kupewa fursa kama hizi ni ushindi kwa Mahaslers wote.

@tigo_tanzania mmepata Semaji, Mmepata Mwanamme hasa anaejua kazi yake, Mtaenjoy mwaka huu.
Ataoa tena soon...![emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom