Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Sio aina ya wanaume ninaowapenda. Hana vigezo vyangu.Siku akikudate utakuwa maarufu kama rushyna
Mwanaume ana mdomo mchafu, chakaramu wa nini mimi!
Hapana kwakweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio aina ya wanaume ninaowapenda. Hana vigezo vyangu.Siku akikudate utakuwa maarufu kama rushyna
🤣🤣Haaa! Hadi huku!Amekiuka maagizo ya kamati ya maadili TIEFEF....
we unazingatia maokoto, manara anahonga balaa, we hutaki kwenda shoping Dubai?Sio aina ya wanaume ninaowapenda. Hana vigezo vyangu.
Mwanaume ana mdomo mchafu, chakaramu wa nini mimi!
Hapana kwakweli.
Hapa Jamii Forum. Pamejaa Wabobezi wenye hulka ya HASADI na CHUKI na KUKATISHA TAMAA MAPEMA... Kila moja wetu anajifanya anamjua vizuri Bwana HAJI S. MANARA. Tunasahau msemo usemao "Lilopabgwa na mwenyezimgu hamna kiumbe wakulifikia na kulipangua."Hongera sana Haji Manara kwa nafasi hiyo adhwimu.God bless!!!
Aliyepewa kapewa.
Itoshe kusema kwamba Mganga wa Haji sio tapeli.
---
Kupitia Ukurasa wake rasmi wa Instagram HajiManara anathibitisha kupata usemaji wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo. Katika kulieleza hili Haji Manara anaandika:
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻
Unadhani mimi ni hodari sana kiasi cha kuendelea kupata hizi deals za Makampuni? Hapana ni Mungu tu anaeniangazia na pengine kuuvaa uhusika nnapokabidhiwa jukumu na wao au Taasisi nnazofanya nao kazi.
Kuisemea Kampuni kubwa kama hii hususan katika kipindi hiki cha Holiday na kwa namna walivyojipanga na hizi Zawadi kubwa kubwa ni zaidi ya Mipango ya Mungu, na ni heshma kwetu ndugu zangu.
Sisi tumetoka Uswahilini huko kuja kupewa fursa kama hizi ni ushindi kwa Mahaslers wote.
@tigo_tanzania mmepata Semaji, Mmepata Mwanamme hasa anaejua kazi yake, Mtaenjoy mwaka huu.
Safi sana.Unazungumzia English kupanda wakati primary alisoma IST,secondary
Alisoma mzumbe na o level alipata 1.7
Kuhusu exposure mwenzako alizaliwa Amsterdam Holland
Mi sio wa hivyo Laki, mi napenda mwanaume mtulivu na mwenye mapenzi sio pesa.we unazingatia maokoto, manara anahonga balaa, we hutaki kwenda shoping Dubai?
Kuna laana gani umefanyiwa kwenye tigo yako?Kama ni kweli...
Ndo maana jina la tigo limelaaniwa
Ana nyota haswaaPamoja na madhaifu yake yote, matusi na lugha chafu ila ukweli Manara ana karama ya umashuhuri.
Kila anachogusa na kufanya ni habari. Sijajua usemaji huo utakuwa wa aina gani hasa kwenye mtandao wa simu ila sina mashaka na utekelezaji wake.
Manara alizaliwa kufanya anachokifanya.
Subiri mpaka awatukane voda na Airtel ndio watajuwa kama Yule ni chizi.Manara hafai kuwa kwenye mambo serious bana tuseme tu ukweli.
Kweli hata shetani ana wafuasi.Ana nyota haswaa
Alihamia yanga na watu wengi sana tulimfata
Ngoja nikanunue line ya tigo
Posa kesho anakuleteaKama ni kweli...
Ndo maana jina la tigo limelaaniwa
Una roho mbaya sana.Kama ni kweli...
Ndo maana jina la tigo limelaaniwa
Basi angalau umkubali GentaSio aina ya wanaume ninaowapenda. Hana vigezo vyangu.
Mwanaume ana mdomo mchafu, chakaramu wa nini mimi!
Hapana kwakweli.
Kiingilishi anaongea Giggy...Kiingilishi kinapanda?...
Elimu ya Telecom ipo? Ok.
Exposure je?......
Anewei.. hongera kwake.
Ni kweliMaswali yako ni mazuri kabisa na wangetakiwa wajiulize hivyo. Ila kama tunavyojua ni kwa Tanzania, watu wenye porojo za kijinga ndiyo huonekana kama ni majembe. Haki ya nani tumekwama sehmu mbaya sana sana na aliyetufikisha hapa ametuweza. Yaani ili uwe kiongozi au mtaalam, ''elimu'' unayotakiwa kuwa nayo ni ujinga na porojo.
Hii shati yake sijui kama bado anayoMjomba ako Haji hanaga dogo😂😂😂
Zaramo tukuka
Ataoa tena soon...![emoji23]Hongera sana Haji Manara kwa nafasi hiyo adhwimu.God bless!!!
Aliyepewa kapewa.
Itoshe kusema kwamba Mganga wa Haji sio tapeli.
---
Kupitia Ukurasa wake rasmi wa Instagram HajiManara anathibitisha kupata usemaji wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo. Katika kulieleza hili Haji Manara anaandika:
Alhamdulillah [emoji1317][emoji1317]
Unadhani mimi ni hodari sana kiasi cha kuendelea kupata hizi deals za Makampuni? Hapana ni Mungu tu anaeniangazia na pengine kuuvaa uhusika nnapokabidhiwa jukumu na wao au Taasisi nnazofanya nao kazi.
Kuisemea Kampuni kubwa kama hii hususan katika kipindi hiki cha Holiday na kwa namna walivyojipanga na hizi Zawadi kubwa kubwa ni zaidi ya Mipango ya Mungu, na ni heshma kwetu ndugu zangu.
Sisi tumetoka Uswahilini huko kuja kupewa fursa kama hizi ni ushindi kwa Mahaslers wote.
@tigo_tanzania mmepata Semaji, Mmepata Mwanamme hasa anaejua kazi yake, Mtaenjoy mwaka huu.