Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hii imebaki historia, usijaribu kumvuta mtu nyuma kwa madhaifu yaliyopitaHii shati yake sijui kama bado anayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imebaki historia, usijaribu kumvuta mtu nyuma kwa madhaifu yaliyopitaHii shati yake sijui kama bado anayo
Mkuu, txt hii ikikufikia unirejeshee nikurejeshee...najua wajua
Mkuu, mbona ID yako na unavyosema haviendani?Kuna laana gani umefanyiwa kwenye tigo yako?
Huwezi amini huyo ni Ostadh kabisa.Mkuu, mbona ID yako na unavyosema haviendani?
Una hekima, japo Manara simpendi ila nilitaka kusema hivyohivyo kuwa hizo ni harakati ktk utafutaji ambazo kila mmoja anapitia kwa namna yake.Hii imebaki historia, usijaribu kumvuta mtu nyuma kwa madhaifu yaliyopita
Kuna watu wanapenda kumdhalilisha mtu kwa madhaifu ya nyuma.Una hekima, japo Manara simpendi ila nilitaka kusema hivyohivyo kuwa hizo ni harakati ktk utafutaji ambazo kila mmoja anapitia kwa namna yake.
Unajua maana ya title ya MSEMAJI wa kitu fulani?
Huyo Haji anajua hata basic za Sheria? Maana unaweza ulizwa swali la kisheria mbele ya watu wakubwa ukachomesha kampuni.
Ni tofauti na Mwanahabari regular.. Mwanahabari yeye atatuhabarisha tu na sio KUSEMEA taasisi.
Kusemea taasisi inamaana una Mamlaka makubwa mno mno..
uzuri ni kwamba roho yangu mbaya haimnyimi mtu rikizi yake.Una roho mbaya sana.
Ulitaka maanisha nini?
Exposure itakuwepo tu maana mtu kazaliwa huko exposure ilipozaliwaKiingilishi kinapanda?...
Elimu ya Telecom ipo? Ok.
Exposure je?......
Anewei.. hongera kwake.
Hayo unayajua wewe business company siku hizi wameshatoka hukoKiingilishi kinapanda?...
Elimu ya Telecom ipo? Ok.
Exposure je?......
Anewei.. hongera kwake.
MhKuongea siyo hoja. Hoja ni unaongea nini? Mtu unayejitambua sidhani kama unaweza kupata chochote kwenye porojo zake zaidi ya ujinga. Ni kama Makonda.
Siku hizi wanaangalia followers wa instagram na mtu anaekick sanaHayo unayajua wewe business company siku hizi wameshatoka huko
Kwaio hutumii Tigo?Kama ni kweli...
Ndo maana jina la tigo limelaaniwa
Situmii, we unatumia?Kwaio hutumii Tigo?
sidhan kama hajaiva nadhani kabla hajapewa deal alikua class, hawawezi mtangaza tu wakat hajaiva.Unajua kuitwa MSEMAJI ujue ni jina zito sana.
Lazima Biashara uijue haswa, ujue mambo ya kiteknolojia ujue taasisi mipango yake yaan Strategic plans..
Huyu jamaa kule kwenye Mpira palimfaa kwa kuwa anafaham Mpira maana amezaliwa na kukulia ktk Mpira.
Ila huku kwenye maswala ya 5G mara 4G na unaenda ktk midahalo ya kimataifa kuzungumzia kampuni yako. Una content..?
Na kupitia hao watu wanamake a lot of profit..mfano Pepsi TanzaniaSiku hizi wanaangalia followers wa instagram na mtu anaekick sana
Unaongelea exposure gani kwa Haji Manara?Kiingilishi kinapanda?...
Elimu ya Telecom ipo? Ok.
Exposure je?......
Anewei.. hongera kwake.