mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ashindwe....wakati watz waoCorporate and brand communications ni professional job,Zina ethics zake , hongera zake haji, ila atahitaji orientation nzito, siyo kazi ya vijora ile
Karia anaingiaje hapoAibu kwa Karia
Kwa tz ya sasa hata mandonga angefaaCorporate and brand communications ni professional job,Zina ethics zake , hongera zake haji, ila atahitaji orientation nzito, siyo kazi ya vijora ile
Si walimfungia asijihusishe na mpiraKaria anaingiaje hapo
Lengo ni kutangaza biashara kwa Waswahili ki English cha nini?Kiingilishi kinapanda?...
Elimu ya Telecom ipo? Ok.
Exposure je?......
Anewei.. hongera kwake.
Usingejibu chochoteSi walimfungia asijihusishe na mpira
Haya warfare na huko
Ova
Mboni nasikiaga eti yeye mwenyewe ni mganga?Hongera sana Haji Manara kwa nafasi hiyo adhwimu.God bless!!!
Aliyepewa kapewa.
Itoshe kusema kwamba Mganga wa Haji sio tapeli.
---
Kupitia Ukurasa wake rasmi wa Instagram HajiManara anathibitisha kupata usemaji wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo. Katika kulieleza hili Haji Manara anaandika:
Alhamdulillah [emoji1317][emoji1317]
Unadhani mimi ni hodari sana kiasi cha kuendelea kupata hizi deals za Makampuni? Hapana ni Mungu tu anaeniangazia na pengine kuuvaa uhusika nnapokabidhiwa jukumu na wao au Taasisi nnazofanya nao kazi.
Kuisemea Kampuni kubwa kama hii hususan katika kipindi hiki cha Holiday na kwa namna walivyojipanga na hizi Zawadi kubwa kubwa ni zaidi ya Mipango ya Mungu, na ni heshma kwetu ndugu zangu.
Sisi tumetoka Uswahilini huko kuja kupewa fursa kama hizi ni ushindi kwa Mahaslers wote.
@tigo_tanzania mmepata Semaji, Mmepata Mwanamme hasa anaejua kazi yake, Mtaenjoy mwaka huu.
Aibu kubwa sana ....anabana rizki....mtoaji ni Mungu yeye anazibaaAibu kwa Karia
Kwanini limelaaniwa?Kama ni kweli...
Ndo maana jina la tigo limelaaniwa
Halafu karia anatumia line ya tigo Patamu hapo !Aibu kubwa sana ....anabana rizki....mtoaji ni Mungu yeye anazibaa
NI muda umefika sasa wabadili jina😀Kwanini limelaaniwa?
Nasikia sio msemaji ni semaji la tigoHongera sana Haji Manara kwa nafasi hiyo adhwimu.God bless!!!
Aliyepewa kapewa.
Itoshe kusema kwamba Mganga wa Haji sio tapeli.
---
Kupitia Ukurasa wake rasmi wa Instagram HajiManara anathibitisha kupata usemaji wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo. Katika kulieleza hili Haji Manara anaandika:
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻
Unadhani mimi ni hodari sana kiasi cha kuendelea kupata hizi deals za Makampuni? Hapana ni Mungu tu anaeniangazia na pengine kuuvaa uhusika nnapokabidhiwa jukumu na wao au Taasisi nnazofanya nao kazi.
Kuisemea Kampuni kubwa kama hii hususan katika kipindi hiki cha Holiday na kwa namna walivyojipanga na hizi Zawadi kubwa kubwa ni zaidi ya Mipango ya Mungu, na ni heshma kwetu ndugu zangu.
Sisi tumetoka Uswahilini huko kuja kupewa fursa kama hizi ni ushindi kwa Mahaslers wote.
@tigo_tanzania mmepata Semaji, Mmepata Mwanamme hasa anaejua kazi yake, Mtaenjoy mwaka huu.
Kwanza mi sielewagi huo mtandao umekaa kushoto sanaNI muda umefika sasa wabadili jina😀