Hongera Iran kwa kushtukia huu mchezo, ilikuwa ifutwe tukiiona, haya meli ya Marekani imeondoka

Ni mjinga pekee yake anayewaza kufikiri Marekani na Israel wanaweza kuifuta iran.wale wanajiweza hata kisayansi.
 
Israel imechokozwa Kwa makusudi kabisa wote tumeona kilichofanywa October 7 na magaidi.

R.I.P Joshua Mollel.
Wewe punguani kweli kachokizwa vipi wakati anakalia ardhi ya Palestina kwa nguvu halafu, huyo Joshua kauliwa na Israel Baba yake mzazi kasema wazi yule kwenye mitandao siyo mwanae kaenda Israel kujua ukweli.
 
Uharo mtupu.

Iran anapigana vita na Israel kupitia vijana wake Hezbollah, Yemen, Syriq, soma hii wewe punguani.


View: https://x.com/marionawfal/status/1741821632354652488?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Watu wa Gaza wakiona unaaandika ushuzi kama huu wakati wao kila siku wanakufa Kwa dozens watakutia madole.
Wafuasi wa ala na mikobasi yao gaza wanangamia wao wako bize na fix netanyau anawawaisha tu mazombi pale gaza kifusi tu
 
Hata we tukikupa bunduki na lori kumi za risasi uende ukapige wanawake na watoto utashindwa kweli kuuwa watu 20000 tu ndugu. Tena kwa miezi mitatu
Mbona mlijiamulia pale israwl mliua wanawake na watoto 1400 kwanini hamkuua 200000
 
Ni mjinga pekee yake anayewaza kufikiri Marekani na Israel wanaweza kuifuta iran.wale wanajiweza hata kisayansi.

Ustadhi bado upo.....Ni pumbavu lililokubuhu pekee linalodhani Iran haipigiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…