Hongera Jacob kwa kupambana kwa jasho na damu na kufanikiwa kujenga kasri lako; watu kama ninyi ni vigumu kununulika na watawala

Hongera Jacob kwa kupambana kwa jasho na damu na kufanikiwa kujenga kasri lako; watu kama ninyi ni vigumu kununulika na watawala

Kuna mwizi serikalini ameishia kumiliki mademu wengi kwa sababu anajua akijenga au kuwekeza ipo siku atakamatwa kwa wizi.

Wapo viongozi wa kisiasa wamefanya nchi kama shamba na wanawekeza fedha nje ya nchi

Kijana BoN Yai alipokoseshwa ubunge aliamua kwa dhati kuingia kwenye ufugaji. Amefanya business yake kwa moyo mmoja na akitoa ajira kwa watanzania wengi. Leo hii anasherekea mafanikio yakujituma kwake.

Wakati Bon Yai akiendelea kushamiri kiuchumi bila kuiba cha mtu , Kitila Mkumbo anazidi kutegemea salary na posho kuendesha maisha yake. Kitila Mkumbo hana ajira anayotoa kwa Watanzania badala yake anaweza akazima ndoto za Watanzania wengi akifeli kuweka mipango mizuri ya kiuchumi.

Bony Yai anatarajiwa kuchukua Ubunge wa Ubunge mwakani akiwa anajiweza kiuchumi na siyo tegemezi. Hii ni wake-up call kwa vijana wengi kujikita katika kujitegemea kuepukana na uchawa.

Kama ambavyo Bony amefanya , namwona kijana mwingine Ally Hapi akifuata nyayo za wajasiriamali na kuungana wakulima

Aina hii ya viongozi wanaweza wakatafakari sawasawa tofauti na wale wanaotegemea kulishwa na kupachikwa kwenye miradi ya ufisadi.

Bony Yai hii nyumba yako inapaswa kuwekwa kwenye makumbusho ya Taifa kama Ishara ya kuwakumbusha CCM kuwa kuiba kura siyo mwisho wa maisha, ni mwanzo wa harakati mpya.......big up Savimbi
Wakati Bon Yai akiendelea kushamiri kiuchumi bila kuiba cha mtu , Kitila Mkumbo anazidi kutegemea salary na posho kuendesha maisha yake.[emoji419][emoji375]
 
Unasema?
Bony Yai anatarajiwa kuchukua Ubunge wa Ubunge mwakani.
Embu sokapo apa.
 
Kuna mwizi serikalini ameishia kumiliki mademu wengi kwa sababu anajua akijenga au kuwekeza ipo siku atakamatwa kwa wizi.

Wapo viongozi wa kisiasa wamefanya nchi kama shamba na wanawekeza fedha nje ya nchi

Kijana BoN Yai alipokoseshwa ubunge aliamua kwa dhati kuingia kwenye ufugaji. Amefanya business yake kwa moyo mmoja na akitoa ajira kwa watanzania wengi. Leo hii anasherekea mafanikio yakujituma kwake.

Wakati Bon Yai akiendelea kushamiri kiuchumi bila kuiba cha mtu , Kitila Mkumbo anazidi kutegemea salary na posho kuendesha maisha yake. Kitila Mkumbo hana ajira anayotoa kwa Watanzania badala yake anaweza akazima ndoto za Watanzania wengi akifeli kuweka mipango mizuri ya kiuchumi.

Bony Yai anatarajiwa kuchukua Ubunge wa Ubunge mwakani akiwa anajiweza kiuchumi na siyo tegemezi. Hii ni wake-up call kwa vijana wengi kujikita katika kujitegemea kuepukana na uchawa.

Kama ambavyo Bony amefanya , namwona kijana mwingine Ally Hapi akifuata nyayo za wajasiriamali na kuungana wakulima

Aina hii ya viongozi wanaweza wakatafakari sawasawa tofauti na wale wanaotegemea kulishwa na kupachikwa kwenye miradi ya ufisadi.

Bony Yai hii nyumba yako inapaswa kuwekwa kwenye makumbusho ya Taifa kama Ishara ya kuwakumbusha CCM kuwa kuiba kura siyo mwisho wa maisha, ni mwanzo wa harakati mpya.......big up Savimbi
Nchi hii kuna maghorofa mangapi. Nayo si yamejengwa na watu? Cha ajabu kwa uliowataja?
 
Kuna mwizi serikalini ameishia kumiliki mademu wengi kwa sababu anajua akijenga au kuwekeza ipo siku atakamatwa kwa wizi.

Wapo viongozi wa kisiasa wamefanya nchi kama shamba na wanawekeza fedha nje ya nchi

Kijana BoN Yai alipokoseshwa ubunge aliamua kwa dhati kuingia kwenye ufugaji. Amefanya business yake kwa moyo mmoja na akitoa ajira kwa watanzania wengi. Leo hii anasherekea mafanikio yakujituma kwake.

Wakati Bon Yai akiendelea kushamiri kiuchumi bila kuiba cha mtu , Kitila Mkumbo anazidi kutegemea salary na posho kuendesha maisha yake. Kitila Mkumbo hana ajira anayotoa kwa Watanzania badala yake anaweza akazima ndoto za Watanzania wengi akifeli kuweka mipango mizuri ya kiuchumi.

Bony Yai anatarajiwa kuchukua Ubunge wa Ubunge mwakani akiwa anajiweza kiuchumi na siyo tegemezi. Hii ni wake-up call kwa vijana wengi kujikita katika kujitegemea kuepukana na uchawa.

Kama ambavyo Bony amefanya , namwona kijana mwingine Ally Hapi akifuata nyayo za wajasiriamali na kuungana wakulima

Aina hii ya viongozi wanaweza wakatafakari sawasawa tofauti na wale wanaotegemea kulishwa na kupachikwa kwenye miradi ya ufisadi.

Bony Yai hii nyumba yako inapaswa kuwekwa kwenye makumbusho ya Taifa kama Ishara ya kuwakumbusha CCM kuwa kuiba kura siyo mwisho wa maisha, ni mwanzo wa harakati mpya.......big up Savimbi
Nyumba iko wapi? Weka picha tuione.
 
Jacob hajasubiri Katiba mpya wala Tume huru ya uchaguzi kuboresha maisha yake

Jacob hakusbiri CCM itoke madarakani kuimarisha uchumi wake

Vijana muigeni Jacob
Lakini alikuwa mayor na maisha yake yameboreka vya kutosha unafikiri kwanini hakujenga kabla hajawa Mayor?
 
Chawa bhana.

Ungemsifia tu jamaa yako bila kukandia wengine kwa vile pengine harakati zao hawaweki tu mitandaoni hivyo huzijui.

Kabla ya umeya huyo jamaa alikuwa na nini?
Well said.
 
Jumba hili hapa ila kumbuka huyu bon yai alishapata kuwa mayor na diwani so as a. Moyar anakuwa na madili makubwa mno

Hvyo yai pekee halitoshi kukupa ghorofa Kama Hilo bill back up ya maana nyuma yake

View attachment 2930656
Watu wajinga yaani mtu mweny miaka zaidi ya 40 na alikuwa kweny madili ya uongozi miaka kibao ,kujenga nyumba kama hiyo wanashangaa wakati ni kawaida.

Iyo nyumba ina thamani kama akimiliki kijana wa chini ya miaka 35 ,30.
 
Back
Top Bottom