Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Nimefurahi sana baada ya malalamiko yaliyotolewa hapa kuhusu Wanafunzi kutokufunga shule wakati wa Likizo.
Nimeona barua ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kitengo cha Udhibiti Ubora wakizataka shule hizo kutoa maelezo kwa nini hawakufunga shule.
Nikiwa kama Mwalimu kitaaluma naungana na wizara ya Elimu na niwapongeze sana kwa kutupia jicho na wawachukulie hatua
Wanafunzi sio empty Jars waliondaa mitaala wana akili na walijua kuwa mwanafunzi sio masomo tu.
Shukrani sana kwa JF na kwa Wizara ya Elimu. Naweka na barua hapa
Nimeona barua ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kitengo cha Udhibiti Ubora wakizataka shule hizo kutoa maelezo kwa nini hawakufunga shule.
Nikiwa kama Mwalimu kitaaluma naungana na wizara ya Elimu na niwapongeze sana kwa kutupia jicho na wawachukulie hatua
Wanafunzi sio empty Jars waliondaa mitaala wana akili na walijua kuwa mwanafunzi sio masomo tu.
Shukrani sana kwa JF na kwa Wizara ya Elimu. Naweka na barua hapa