Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

BITEKO siyo mtu safi hata kidogo.

Nenda kafanye utafiti kwa kuongea na wafanyabiashara wakubwa wa migodi wakueleze namna Dotto anavyokusanya bongo bila aibu kutoka kwao.

Vilevile, upendeleo wa wazi na tuhuma zilizo bayana kuwa ana maslahi na kampuni ya usafirishaji mafuta ya mitambo katika mgodi wa GGM ni uchafu kwake na inamuondolea kabisa heshima yake kwa jamii.
[/QUOTE]
Wewe tuambie ni mfanyabiashara yupi na yupi kaombwa pesa ili tumface direct.otherwise haya uliyoandika bado ni majungu.
 
The Pascal Mayalla I know.

Thank you.
 
Hawa wanaleta kelele tu zisizo na mashiko. Hivi kable ya Dotto na Magu kuingia madarakani Tanzania ilisifika kwa uuzaji wa Tanzanite? Au tulibaki kusikia India, South Africa na Kenya ndio wauzaji wakubwa.

Magufuli na serikali waliwabana sana watorosha madini ndio maana wapo hapa kulalamika. Tanzanite one mlichukulia kinyemela na kujilia kiulaini, vipi hamtaki mbanwe ili kutoa fursa ya serikali kukusanya mapato halisi?
 
Msukuma mwenzako huyo, una njaa hivyo kumkingia kifua ili angalau akupooze hiyo njaa siyo mbaya!
Wasukuma mmeamka sasa baada ya kuamshwa na mwendazake....
Utatapika sana.
 
P nakuheshimu Sana humu

Lakn uwepo wako Arusha kuripoti ule mkutano na biteko alikuwepo pale Kama mtoa mada nahisi kuna kitu kinaendelea

Nakukumbusha TU ACHA MUDA UTAAMUA WENYEWE SI WAKATI WA KUTUMIA MADODOKI HUU

Kila mtu atalipa kwa muda wake
 

Baada ya kusoma uzi bora kabisa wa Pascal Mayalla hii comment imenitafakarisha sana na kuona wazi wazi right kama Tanzania kungekuwa na Chama Imara ya Upinzani basi 2025 tungeshuhudia mabadiliko makubwa sana ya kisiasa nchini. Ni bahati mbaya sana kwamba pamoja na vyama vya upinzani tulivyonavyo kuwa na wafuasi, bado hakuna chama chenye FALSAFA, DIRA WAZI, HEJEMONIA NA MFUMO WA NDANI ULIO IMARA.

Binafsi siyo mfuasi wa chama chochote cha kisiasa nchini japo kama Mtanzania na kama mwanadamu na zaidi kama masomi ni lazima niifahamu siasa kwani ndiyo inayoongoza mifumo yote ya kijamii, uchumi, utamaduni, maamuzi n.k.

Kwa sasa CCM haina uimara thabiti kama kipindi cha JPM na haina mtetezi mwenye ushawishi na nguvu kama BWM. Hii ni departing point nzuri kwa vyama vya upinzani kupenya na kujiimarisha hata kwa kuchota wanaCCM ambao unaona wazi wanahitalafiana ndani ya chama. Bunge likiwa na upinzani ndiyo njia pekee ya kufanya chama tawala kuwajibika na kujitahidi kuwa safi walau hata kidogo. Ni dhahiri kwamba mabadiliko makubwa ya kisiasa ambayo tumeyaona nchini Tanzania kati ya mwaka 2005-2015 yalisababishwa na vyama vya upinzani hasa CDM NA nccr. Ufisadi na wizi mwingi uliibuliwa na wapinzani na kama mtu ni mzuri wa fikra atakubaliana nami kuwa hii ndo ilikuwa point of departure hadi kupatikana kwa “JPM A MAN”.
 
Mkuu denooJ , thanks for this, ila sijapata bahati kumsikia waziri mkwe kasema nini!, please share links.
P
Kuna thread ipo huku ilizungumzia hiyo kauli yake, but simply alichosema ni kwamba; "kuna wizi wa madini ya Tanzanite unafanyika kwa kiasi kikubwa na sasa sio siri tena kila mtu anajua" akawaagiza TAKUKURU kushughulikia hilo suala.

Nikajiuliza kama waziri shemeji anayajua haya, kwanini asimwambie mwenzake coz Biteko nae inawezekana akawa anazungukwa na wajanja asijue, yeye sio malaika; lakini nilipokuja kukumbuka kauli ya mkuu siku ya hotuba yake fulani aliposema licha ya ukuta wa Mererani Tanzanite bado inaibwa, nikajua hapa kuna mkono mrefu kwenye hii issue.

Naona wote wanatuhumu tu, kwanini wasifanye uchunguzi kwa mamlaka waliyonayo waje na majibu kuliko kuendeleza maneno maneno kila siku bila kuchukua hatua zozote? hii ndio sababu inayonifanya nihisi kuna mpango wa chini inawezekana kuna mtu wao anatengenezewa njia wameshaona unyeti wa ile wizara wanataka kumuweka mtu wao.
 
Hili suala ni Bora kila member humu jf akakaa kimya kulinda heshima yake maana-
1.unaweza ukatuhumu kumbe ni uongo
AU
2. Unaweza ukatetea kumbe ni kweli.

Tujaribu kuwa wavumilivu muda utasema tuu,lakini waziri Dotto biteko naona kelele zimemuandama Sana nahisi Kuna kundi limeshadhamiria kushusha.
 
Kuna vitu vingine vinaleta ukakasi sema tu sisi walaji wa hizo huduma hatuna mamlaka za kuchagua.

Mtu kama Kalemani binafsi kwa kutumia macho ya kawaida sikuona umuhimu wa kumfanyia substitute kwa Makamba. Sikuona na bado siioni tu.
 
Ndugu yangu Pascal mbona kama umewatengenezea TAKUKURU ToR ya uchunguzi wao ulioagizwa juzijuzi na Mchengerwa? Umeua kabisa badala ya kumtetea Biteko.
 
Tuhuma sio lazima ziwe na ushahidi. Upo ushahidi wa kimazingira inakubalika. Nikisema Magufuli ndiye aliyeamuru lissu auawe, siwezi kutoa ushahidi ila ushahidi wa kimazingira unaonyesha hivyo. Wasukuma tulieni kidogo mmetuharibia nchi kiasi kikubwa
 
Huyo jpm unaye muota tayari Mungu kesha mtwaa kitambo ndugu .

Geuza macho tazama aliyepo maana ndiyo katiba imetupatia .
 
Ndugu yangu Pascal mbona kama umewatengenezea TAKUKURU ToR ya uchunguzi wao ulioagizwa juzijuzi na Mchengerwa? Umeua kabisa badala ya kumtetea Biteko.
Ni vema wakafanya uchunguzi kwa mtuhumiwa na kama watamkuta na dhambi ni vema akahukumiwa kwa matendo yake.
 
Mpenda haki asiyependa haki itendeke kwa chadema, hongera mkuu kwa kupenda haka biased
 
Sukuma Gang Mlishangilia Sana Ubaguzi
Qmme Zenu sasa Kibao kimewageukia, tulieni Dawa iwaingie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…