Bora mpush mwenzio anapigwa maneno tuu,
Simtetei kwasababu ni homeboy wangu, namtetea kwasababu namfahamu ni mtu muadilifu na mchapa kazi, asipigiwe majungu ya uongo, wivu, fitna na chuki binafsi.
ndugu mwandishi mkongwe nakukumbusha;
Wapo waloitwa magaidi wakawekwa na ndani muda mrefu kwa kusingiziwa!.
Masheikh wa Uamsho, tuliwasemea sana, tena sio humu tuu kwenye social media, sisi wengine tuna access hadi kwenye mainstream media za TV, Redio na Magazeti, na huwezi jua, usikute labda DPP aliamua kuwaachia huru masheikh baada ya kusoma mfululizo wa makala hizi humu jf na kwenye magazeti.
Rejea za Mfululizo huu wa makala za DPP
Wanabodi, kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa nawaletea zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huandikwa kwa swali, na kukuachia wewe msomaji uhuru wa kuchangia na kutoa jibu lolote. Makala hizi zitakuwa zinatoka kwenye Gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Makala...
Wanabodi, Kila siku za Jumapili, huwa ninaandika makala za "Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya wiki hii ni kuhusu hoja ya "Haki sio hisani, ni stahiki". Japo hakuna binaadamu yoyote anayefurahi kifo cha mtu yoyote, kifo chochote kinapotokea, kinahesabika ni mpango wa Mungu, na kama kawaida watu...
Wanabodi, Jumatatu ya leo, naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zinachapishwa kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili, makala ya leo ni swali la ushauri wa Bure kwa DPP, kwa vile Rais Samia, ameishaonyesha nia njema ya kutaka Watanzania watendewe haki, Jee...
View attachment 1825142
View attachment 1825139
View attachment 1825143
Wapo walopigwa risasi kisa kusingiziwa wanaihujumu nchi!!
Hawa pia tuliwatetea, ila kwanza kile tuu kitendo cha mtu kupigwa risasi, japo ni ukatili na unyama, ila pia usikute tukio lile ni karma payback ya matendo ya mhusika, anaweza kuwa na yeye aliwapiga watu wengi sana risasi za maneno makali na tuhuma za uongo na uzushi, kwa kutoa risasi za maneno makali na hivyo karma ikamjibu kwa risasi za moto. Akina sisi tuliwapa angalizo kabla
Wanabodi, Baada ya Kisa, Mkasa, na Baada ya Chanzo Kitendo!, Sakata la Mbunge Machachari wa Chadema, Zitto Zuberi Kabwe na chama chake cha Chadema limekuwa na visa na mikasa, vyanzo na vitendo na hatimaye leo, limefikia mwisho, limekwisha rasmi, it's over!, the rest is now a history...
Ila pia baada ya kupigwa risasi, kuna watu walidhani ni naniliu ndie anahusika, Mama akawaeleza wazi sio askari wetu, askari wetu akikosa kulenga target kwa risasi 3, ataandika Maelezo!. Hivyo ni uthibitisho wahusika ni watu wasiojulikana.
hili la wasiojulikana tumelipigia kelele sana humu na kwa vile serikali ilikosa pa kuanzia, akina sisi tulishauri
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu kuhusu watu watu, kwa kulisaidia jeshi letu la polisi na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuitumia mitandao ya kijamii positively as source of a security tip ya vital information kuhusu uchunguzi mbalimbali. Usisubiri hadi mtu akaripoti polisi kuhusu...
Wanabodi, Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu, kupotea kwa mwana jf maarufu Ben Saanane, kupotea kwa mwanahabari Azory Gwanda, kuibuliwa kwa miili yenye majeraha kwenye viroba, au vitendo vingine vyovyote vya...
Wanabodi, Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Mhe.Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezwa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya watu kutaka kuwabaini hawa watu wanaoitwa ni watu wasiojulikana, ni kina nani?, wanatumwa na nani? na lengo lao ni nini?, kunakopelekea kujengwa kwa...
Wanabodi, Naangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa na Star TV, ambapo mwandishi Mkongwe, Deo Masakilija, amealikwa. Dotto Bulendu ameanza kwa hoja 'Je media imetimiza wajibu wake ipasavyo katika kuwabaini hawa watu wasiojulikana wanaohusika na matukio ya utekaji, utesaji...
Wapo walosingiziwa mafisadi wakafungwa wakalipishwa mihela huku kiukweli hawajaiba
Hawa pia tuliwapigania sana, rejea zile makala za DPP.
Wapo walopoteza mamazao kwa mshtuko kufuatia kifungo chao kwakusingiziwa makosa hawakufanya....
Pia hawa tuliwapigania sana,
Wanabodi Tangu kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za kiuchunguzi Eric Kabendera, na kukamatwa kule kukahushishwa na makala zake, na kwa vile ni mimi niliyekuwa natafsiri makala za majarida ya nje na kuzileta humu jf, hivyo nikatuhumiwa kuwa ni makala za jf ndio zimemchongea Eric Kabendera...
Ajabu mwandishi mkongwe katika wooote wewe umeumizwa na mpush mwenzio mpaka umeona umsemee huku kwanguvuuu unahisi jinalake linastahili usafi wahali yajuu...
Naamini nimeeleweka vya kutosha. Mimi ni mtetezi huru wa haki na nimetetea wengi akiwemo huyu gaidi kwa kueleza sio gaidi ni mhalifu tuu wa kawaida.
P