Msukuma mwenzako huyo, una njaa hivyo kumkingia kifua ili angalau akupooze hiyo njaa siyo mbaya!
Wasukuma mmeamka sasa baada ya kuamshwa na mwendazake....
Ni kawaida binadamu kuelimishana na kuamshana.Mwendazake alikuwa na haki ya kuamsha watu wake kwa sababu moja tu.Charity starts at home.Hata akina Mramba marehemu walihusika kuwaamsha wachaga
Lazma atoke, Kwani nani alisema hii nchi ni ya WASUKUMA tu, mjomba wenu keshaondoka washenzi ninyi, mlidhani atatawala milele kaweka wasukuma wenzake sehemu zote zenye upigaji ili ajigaie mfyuuu zenu
Matusi hayatakusaidia wasukuma watabaki juu mawinguni, sehemu kubwa ya uchumi wa madini uko usukumani hakuna mbadala inabidi ukubaliane na hali.Kwa taarifa yako jamaa wameamka na hawatalala so usitegemee mteremko.By the way sidhani kama una haki ya kumtukana wasukuma unajitakia shida bure
Ni dotto huyuhuyu alikuwa kajigeuza mungu mtu aliyelibia taifa aliyetesa upinzani wakati wa mwendazake au ni dotto mwingine?
kuna watu wa upinzani wanaunga hoja ya P humu inashangaza
Lisemwalo lipo kama halipo linakuja.....
Huyu mnayesema mzalendo si mzalendo tuwe wakweli. P anasafisha wa kwao
P anatisha msiandike tetesi humu eti whistle naniliii
Let people talk write usiwatishe watu vile upo kwenye utawala
Kama kasingiziwa afungue kesi
Wakiumizwa watu alikuwa miongoni mwao watesi
JF ni zamani sio siku hizi hakuna cha whistle blower wala blawa wanafuta meeeeengi na kunanilii pia
P acha watu waseme tuna wezi na watesi wengi ktk Taifa wewe endelea kula keki ya Taifa mmebahatika mweh... hizi zingine ni porojo tu
Taifa lina mark time lipo pale pale tangu miaka 36 iliyopita. Pale Mwl alipokabidhi nchi kwa majambazi...
Mbaguzi mbaguzi tu sasa umeshindwa kuthibitisha wizi wa Biteko umegeukia kabila lake.Mtateseka sana na wasukuma lakini wao wako buzzy wanasaka fursa.Sasa hivi wameingia Msumbiji na kule wameoa na kuzaa watoto wao mtasema siyo wasukuma.Mna shida nyie viumbe
Mkuu Mmawia , nakuelewa sana kuliko unavyodhani. Kwanza ni kweli awamu ya 5 hawakuwa malaika, na ni kweli kuna watu waliteuliwa kwasababu zile za kanda pendwa, ni kosa kufanya nepotism, kwa kuwateua watu wa kabila lako, lakini sio wateuliwa wote wa kabila hilo wameteuliwa kwa nepotism, walioteuliwa kwa kubebwa tuu, halafu can't perfom, can't deliver, ni right kutumbuliwa, lakini hii witch hunt kuwa target wote wa kanda pendwa , hata wale the clean ones who delivers, kwa kuwapikia majungu, kuwazushia tuhuma za uzushi, uongo, fitna na majungu, halafu wakasikilizwa, karma haitakubali, karma hainaga mswalie Mtume. Watu watuhumiwe kwa haki na waadhibiwe kwa haki na sio kimajungu majungu. Mimi ni muumini number 1, kuwa hakuna kitu kinachoitwa the "Sukuma Gang".
P
Kaka mkubwa upo sahihi lkn hizo tuhuma hazikuanza kwake km ckosei kuna wazir.wa mambo yandan wa fetha wa umeme upo kimya lkn umeshituka alipotajwa huyo wa madini na kutuaminisha kuwa msafi vip nawe unamaslai hapo.
Tuwaombee moderators wetu, wanachangamoto nyingi sana kipindi hiki.
Suala la ushahidi nimekuwa nikijaribu kulihimiza humu kwa kuhoji ushahidi kuletwa hata takwimu kuwekwa kudhibitisha hoja. Wengi wamekuwa wanaingia mitini ukiuliza habari za ushahidi. Wachache wameweza kuleta ushahidi wakiongozwa na ndugu Chige ili kulinda hoja zao ama tuhumu wanazozileta.
Jambo ambalo nimekuwa nikijiuliza, na hata wakati mwingine kuogopa, hivi ni kwa namna gani watu huwa wanapata ujasiri wa kutoa tuhuma dhidi ya mtu kwa kutumia hisia tu, au kwa kutumia vyanzo visivyo rasmi... God Forbid!
Na ujinga wa haya mambo, mtu ukiwa ni wa kushabikia haraka haraka unaweza kujikuta unatumika bila kujijua!! Yaani watu wana tofauti zao huko, ama za kisiasa au vinginevyo. Kutokana na hilo, mtu anaamua kutunga jambo kwa sababu anafahamu likishafika mitandaoni, fasta atapata watu wa kupigana vita yake bila wenyewe kufahamu kwamba wanatumika!!
Kama ni hearsay basi hazikubaliki hata kidogo. Maana tuhuma nzito za kutorosha madini zinatakiwa kuwa na uthibitisho na mtu awe ameona kwa macho yake na kushuhudia.
Hao waliokatwa Kigamboni suala halipo mahakamani?
Unamtuhumu Jaji anaendesha kesi ya Mbowe unadhani chain of custody haikufuatwa?
Simtetei kwasababu ni homeboy wangu, namtetea kwasababu namfahamu ni mtu muadilifu na mchapa kazi, asipigiwe majungu ya uongo, wivu, fitna na chuki binafsi.
Masheikh wa Uamsho, tuliwasemea sana, tena sio humu tuu kwenye social media, sisi wengine tuna access hadi kwenye mainstream media za TV, Redio na Magazeti, na huwezi jua, usikute labda DPP aliamua kuwaachia huru masheikh baada ya kusoma mfululizo wa makala hizi humu jf na kwenye magazeti.
Rejea za Mfululizo huu wa makala za DPP
Wanabodi, kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa nawaletea zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huandikwa kwa swali, na kukuachia wewe msomaji uhuru wa kuchangia na kutoa jibu lolote. Makala hizi zitakuwa zinatoka kwenye Gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Makala...
Wanabodi, Kila siku za Jumapili, huwa ninaandika makala za "Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya wiki hii ni kuhusu hoja ya "Haki sio hisani, ni stahiki". Japo hakuna binaadamu yoyote anayefurahi kifo cha mtu yoyote, kifo chochote kinapotokea, kinahesabika ni mpango wa Mungu, na kama kawaida watu...
Wanabodi, Jumatatu ya leo, naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zinachapishwa kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili, makala ya leo ni swali la ushauri wa Bure kwa DPP, kwa vile Rais Samia, ameishaonyesha nia njema ya kutaka Watanzania watendewe haki, Jee...
Hawa pia tuliwatetea, ila kwanza kile tuu kitendo cha mtu kupigwa risasi, japo ni ukatili na unyama, ila pia usikute tukio lile ni karma payback ya matendo ya mhusika, anaweza kuwa na yeye aliwapiga watu wengi sana risasi za maneno makali na tuhuma za uongo na uzushi, kwa kutoa risasi za maneno makali na hivyo karma ikamjibu kwa risasi za moto. Akina sisi tuliwapa angalizo kabla
Wanabodi, Baada ya Kisa, Mkasa, na Baada ya Chanzo Kitendo!, Sakata la Mbunge Machachari wa Chadema, Zitto Zuberi Kabwe na chama chake cha Chadema limekuwa na visa na mikasa, vyanzo na vitendo na hatimaye leo, limefikia mwisho, limekwisha rasmi, it's over!, the rest is now a history...
www.jamiiforums.com
Ila pia baada ya kupigwa risasi, kuna watu walidhani ni naniliu ndie anahusika, Mama akawaeleza wazi sio askari wetu, askari wetu akikosa kulenga target kwa risasi 3, ataandika Maelezo!. Hivyo ni uthibitisho wahusika ni watu wasiojulikana.
hili la wasiojulikana tumelipigia kelele sana humu na kwa vile serikali ilikosa pa kuanzia, akina sisi tulishauri
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu kuhusu watu watu, kwa kulisaidia jeshi letu la polisi na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuitumia mitandao ya kijamii positively as source of a security tip ya vital information kuhusu uchunguzi mbalimbali. Usisubiri hadi mtu akaripoti polisi kuhusu...
Wanabodi, Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu, kupotea kwa mwana jf maarufu Ben Saanane, kupotea kwa mwanahabari Azory Gwanda, kuibuliwa kwa miili yenye majeraha kwenye viroba, au vitendo vingine vyovyote vya...
Wanabodi, Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Mhe.Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezwa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya watu kutaka kuwabaini hawa watu wanaoitwa ni watu wasiojulikana, ni kina nani?, wanatumwa na nani? na lengo lao ni nini?, kunakopelekea kujengwa kwa...
Wanabodi, Naangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa na Star TV, ambapo mwandishi Mkongwe, Deo Masakilija, amealikwa. Dotto Bulendu ameanza kwa hoja 'Je media imetimiza wajibu wake ipasavyo katika kuwabaini hawa watu wasiojulikana wanaohusika na matukio ya utekaji, utesaji...
Wanabodi Tangu kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za kiuchunguzi Eric Kabendera, na kukamatwa kule kukahushishwa na makala zake, na kwa vile ni mimi niliyekuwa natafsiri makala za majarida ya nje na kuzileta humu jf, hivyo nikatuhumiwa kuwa ni makala za jf ndio zimemchongea Eric Kabendera...
Ukimsikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.
Kusema hata Jiwe alikuwa anasema lkn anaiba pesa za umma anajenga chato kwao, kwa upendeleo bila ruhusa ya bunge! Usiyakubali maneno ya mtu...... kila mmoja can pretend!
Ila nakubaliana na wewe tuhuma lazima ziwe na ushahidi..
Ni kawaida binadamu kuelimishana na kuamshana.Mwendazake alikuwa na haki ya kuamsha watu wake kwa sababu moja tu.Charity starts at home.Hata akina Mramba marehemu walihusika kuwaamsha wachaga
Kumtuhumu Waziri Biteko bila ushahidi si muelekeo mzuri,tunaelekea kwa Msiba.
Lakini hatusemi Waziri Biteko hawezi kufanya mambo yasio sahihi katika kutekeleza majukumu yake,lakini tusilete ushahidi wa kubumba.
Tumpime Waziri Biteko kwa matendo yake sio kwa kabila yake wala ukanda wake.
Mkuu sblandes , asante sana kwa mchango huu. Viongozi wetu wote ni binadamu, hakuna malaika, hata JPM hakuwa malaika, wala Mama sio malaika, they are all human beings and can make mistakes au kuwa mafisadi, ila kwenye tuhuma ziwe ni tuhuma za kweli sio uongo, uzushi, fitna na majungu.
P
Sio juu ya whistle blower kudhibitisha. Kwani ni hatua gani wamechukuliwa waliokutwa wamejiunganishia bomba la mafuta hata baada ya kudhibitika wizi huo?
Hiyo kesi ya Mbowe mpaka sasa jaji ameshaonyesha kaandikiwa hukumu, hivyo anajitahidi kutokuiangusha jamuhuri.
Sio juu ya whistle blower kudhibitisha. Kwani ni hatua gani wamechukuliwa waliokutwa wamejiunganishia bomba la mafuta hata baada ya kudhibitika wizi huo?
Hiyo kesi ya Mbowe mpaka sasa jaji ameshaonyesha kaandikiwa hukumu, hivyo anajitahidi kutokuiangusha jamuhuri.
Ukimsikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.
Umewahi kuwaona mahakama gani? Waziri mkuu na IGP walisema watatoa taarifa ndani ya siku 7. Umewasikia wakisema lolote? Sasa unataka whistle blower atoe ushahidi, wakati huo wa wako wazi mamlaka zimeufyata?
Hamna kesi yoyote ya Mbowe inayoendelea zaidi ya siasa chafu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.