Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Huyo jpm unaye muota tayari Mungu kesha mtwaa kitambo ndugu .

Geuza macho tazama aliyepo maana ndiyo katiba imetupatia .

Japokuwa JKN alishatangulia bado mtu anaweza kumu quote na asilazimishwe kutomtaja. Sijui umefikiria nini kuona shida kwangu kumtaja JPM, ni dhahiri he was a man, it is unfortunately that only sensible people will second this. Siwezi kulazimishwa hata siku moja kumkubali unayetaka kunilazimisha nimkubali na mimi pia simlazimishi mtu akubali kuwa JPM alikuwa a “Man”. Reasoning capacity ya mtu ndo itamfanya aamue, ila kama mtu akitanguliza mapenzi ya ukabila na Udini hapo ndo utaona watu wanatoa mapovu.
 
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.

Ukimzikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.

Tuwaombee moderators wetu, wanachangamoto nyingi sana kipindi hiki.

Suala la ushahidi nimekuwa nikijaribu kulihimiza humu kwa kuhoji ushahidi kuletwa hata takwimu kuwekwa kudhibitisha hoja. Wengi wamekuwa wanaingia mitini ukiuliza habari za ushahidi. Wachache wameweza kuleta ushahidi wakiongozwa na ndugu Chige ili kulinda hoja zao ama tuhumu wanazozileta.

Kwa maelezo hayo mafupi, naunga mkono hoja.

Paskali una angalizo zuri, lakini watu wanaona bora waweke hizo hearsay humu mitandaoni, maana taasisi za uchunguzi na kutoa haki nazo zinafanya kazi nje ya weledi kabisa. Mifano mirahisi kabisa, kuna nyumba ilikamatwa ikiwa imejiunganishia bomba la mafuta hapa Dar, waziri mkuu na IGP wakasema ndani ya siku 7 watatoa ripoti ya jambo lile, lakini mpaka leo kimya.

Hata watu wakiamua kwenda mahakamani, bado mahakamani kwa sasa sio sehemu ya uhakika ya kwenda kupata haki, mfano hii kesi ya Mbowe kama kuna documents zimewafikia mashahidi kinyume na utaratibu na bado jaji anakoroga unategemea nini? Kuna mashahidi unaona kabisa wanatoa ushahidi wenye kutia shaka lakini wanaachwa.

Kwa mifano hiyo ya wazi wa taasisi za kufanyia kazi tuhuma ziko chini ya weledi, unategemea watu waache kuja kuanika huku mitandaoni. Fuatilia vizuri hicho unachosema ni kuchafuana, utakuta zaidi ya nusu ni kweli kwani ni watu wanaojuana na machafu yao. Watu waliopo madarakani kwa uchaguzi wa kishenzi vile watakuwaje wasafi?
 
Sukuma Gang Mlishangilia Sana Ubaguzi
Qmme Zenu sasa Kibao kimewageukia, tulieni Dawa iwaingie
Pascal ameamua kumchoma mkanda mwenzake. Kaaumua ku-frame kabisa namna uchunguzi unatakiwa kufanywa dhidi ya Biteko.
 
Huyo ngungenge ni kama sio january basi ni chawa wa january post zake nyingi humj zinekaa kimajungu majungu sana
 
Kiukweli mtu anayemchafua mtu kama Prof. Mkenda, ni anajichumia tuu dhambi za bure. Kuna watu uadilifu wao, unaonekana wazi kabisa machoni, wala huhitaji microscope.
P
Ukiona hivyo jua vijana wako kazini kumuundia genge. Yaleyale ya Kalemahindi juu ya magenerator ya kigoma kisa tu wamwondoe mtu. Kumbukizi moja ya vita vya rost ya amu kununua magazeti yote ya rai ili apenyeze propoganda chafu kumwondoa PM Sumuye asigombee urais ili mzee wa msoga apite kilaini enzi za denjaman mkaapo akimaliza muda wake
 
Japokuwa JKN alishatangulia bado mtu anaweza kumu quote na asilazimishwe kutomtaja. Sijui umefikiria nini kuona shida kwangu kumtaja JPM, ni dhahiri he was a man, it is unfortunately that only sensible people will second this. Siwezi kulazimishwa hata siku moja kumkubali unayetaka kunilazimisha nimkubali na mimi pia simlazimishi mtu akubali kuwa JPM alikuwa a “Man”. Reasoning capacity ya mtu ndo itamfanya aamue, ila kama mtu akitanguliza mapenzi ya ukabila na Udini hapo ndo utaona watu wanatoa mapovu.
Umkubali usimkubali mama Samia ndiye mwenyekiti wenu wa ccm na hilo ni lazima wala hakuna kubembelezana.
 
Acheni hizo tuhuma zifangiwe uchunguzi na sio kumnanga aliyeleta habari, ni swala la mda ukweli utajulikana na huyo Doto tuhuma za kuhusu madini ziko tangu enzi za Magufuli na hata Uraia wake alipewa kinguvu na Magufuli.
So lisemwalo lipo ka halipo basi laja
 
Unathibitishaje wizi, hapa sio mahakamani tuhuma wana_whistleblow TAKUKURU watathibitisha.


Nani alijua kuwa Ole Sabaya ni jambazi, namuhujumu uchumi?


Acha watu WAPULIZE FILIMBI Mgambo watafanya kazi yao.

Ana conflict of interest madini maana tunasikia yeye pia anafanya biashara ya madini.
Nakuunga mkono huyo whistle blower kaanzisha hyo mada then kazi kwa Takukuru kuchunguza hizo tuhuma na sio kusema eti aweke yeye ushahidi hapa
 
Hii nchi kuna utofauti mdogo sana kati ya mtu fisadi na mtu safi...

Mimi nikisikia kuwa mtu fulani ni fisadi, jambo la kwanza huwa naamini hiyo taarifa hata kama haina ushahidi...
Kwa hiyo tukiambiwa Watu8 ni fisadi jambo la kwanza ni kuamini uambiwaji / maelezo huo/hayo bila hata ushahidi.

Kama msimamo ndiyo huo kama taifa, basi tufute dhana ya ushahidi.
 
Acheni hizo tuhuma zifangiwe uchunguzi na sio kumnanga aliyeleta habari, ni swala la mda ukweli utajulikana na huyo Doto tuhuma za kuhusu madini ziko tangu enzi za Magufuli na hata Uraia wake alipewa kinguvu na Magufuli.
So lisemwalo lipo ka halipo basi laja
Tunaomba ushahidi wa kupewa uraia kinguvu.
====
Ndugu Pascal Mayalla harakisha utekelezaji wa ombi langu la kutufundisha namna bora ya kuleta habari "as whistleblow".

Wateja tupo wengi.
 
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.

Ukimzikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.

Wanataka kumtoa kwa hiyo wanajaribu kutengeneza tuhuma feki. Kuna mtu wao wanataka kuwekwa pale.
 
Tunaomba ushahidi wa kupewa uraia kinguvu.
====
Ndugu Pascal Mayalla harakisha utekelezaji wa ombi langu la kutufundisha namna bora ya kuleta habari "as whistleblow".

Wateja tupo wengi.
Ndio Sasa kapewa unataka nitoe ushahidi mpaka niende migration huko na hyo kutoweka ushahidi haimaanishi jambo halipo na halijatendeka
 
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.

Ukimzikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.
Tumtetee msukuma mwenzetu kwa nguvu zote

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ndio Sasa kapewa unataka nitoe ushahidi mpaka niende migration huko na hyo kutoweka ushahidi haimaanishi jambo halipo na halijatendeka
Habari hizi ulizipataje? Yaani uliahack system ya immigration, uliambiwa na mtu, ulishiriki kuwasilisha maelekezo ya kinguvu idara ya uhamiaji ili mtu apewe uraia, yaani ni namna gani ulipata habari hizi?
 
Habari hizi ulizipataje? Yaani uliahack system ya immigration, uliambiwa na mtu, ulishiriki kuwasilisha maelekezo ya kinguvu idara ya uhamiaji ili mtu apewe uraia, yaani ni namna gani ulipata habari hizi?
Wewe huko dunia gani mbona hayo mambo yamezungumzika tangu enzi za jiwe inajulikana maana vetting yake ilionyesha sio raia wa nchi hii hata ya madini kuibiwa Iko tangu mwendazake hajaondoka duniani.
N. B haya yangu tu hayahusiki na sukuma gang au interest ya cheo chochote Mimi ni Raia wa kawaida tu, so msije sema na chuki yoyote.
 
Pascal Mayalla asante kwa bandiko zuri linalolenga na kusisitiza umuhimu wa kuwa waangalifu tunapoleta habari za watu, hasa tuhuma JF.

Naomba kuuliza, hua unatumia kigezo gani kuoima uzalendo wa mtu? Ni kwa maneno yake, matendo au una kifaa "uzalendometer"?
Naounga mkono hoja. Moyo wa mtu ni kichaka, hata siku moja usimsemehe mtu. Hivi Kuna kiongozi tz akikaa sehemu nyeti yenye mavumba asifanye ubadhilifu?? Tatizo bongo hakuna system inayowashughulikia wabadhirifu ipasavyo, watu wanaanza kwa kuteuliwa na wanaishia kutenguliwa

Yahani adhabu kubwa wanayopata ni kutumbuliwa
 
Back
Top Bottom