Hongera JF member "Trudie" kwa kupata mtoto, kheri ikawe kwako na familia yako

Hongera JF member "Trudie" kwa kupata mtoto, kheri ikawe kwako na familia yako

trudie mbona mi hukunialika[emoji848][emoji848], au una ogopa ntakula Sana [emoji3][emoji23]. I mean no malice to nobody
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kula kujigalagaza kabisa. Rafiki yangu usijali i will make it up to you soon, hakukuwa na sherehe tulikuwa tunahalalisha kwanza kukimbia uzinzi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kula kujigalagaza kabisa. Rafiki yangu usijali i will make it up to you soon, hakukuwa na sherehe tulikuwa tunahalalisha kwanza kukimbia uzinzi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Mi na ki rafiki changu Cha kike, tume advance kidogo😂😆. Juzi alinipa hi😍😍
👉Akaniita jina la utani, nililompa akii😍😍
👉Wish you da best
 
Hi ni yako, rafiki yangu mpendwa trudie
Mwenyezi Mungu akubariki katika ulichopewa na umshukuru aliyekupa, na afike kuwa mkubwa, na uruzukiwe wema wake. Na aliyepongezwa atamuombea aliyempongeza kwa kumwambia:

''Mwenyezi Mungu akubariki na ateremshe baraka juu yako, na Mwenyezi Mungu akujaze kheri, na Mwenyezi Mungu akuruzuku mfano wake, na afanye nyingi thawabu zako.''View attachment 2603405
Mbona hukutupa taarifa alipokuwa mja mzito?
 
Back
Top Bottom