Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #301
Endelea kujichekesha, siku usiyoijua ndo itakufanya ulieSana. Business woman na Trudie ni mtu mmoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kujichekesha, siku usiyoijua ndo itakufanya ulieSana. Business woman na Trudie ni mtu mmoja.
Mi sipendi rafiki zangu watukanwe au kudhalilishwa, so fu.ck offHuyu ni mwanamke anatumia IDs mbili. Moja ndo hiyo ta Trudie. Ukimsoma vizuri utagundua. Ndo maana anapanic sana.
Nina I'd 1, na wanao nijua. Wana kushangaaUna IDs ngapi ? Maana naona unajibia kwa turud na hii pia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kula kujigalagaza kabisa. Rafiki yangu usijali i will make it up to you soon, hakukuwa na sherehe tulikuwa tunahalalisha kwanza kukimbia uzinzi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]trudie mbona mi hukunialika[emoji848][emoji848], au una ogopa ntakula Sana [emoji3][emoji23]. I mean no malice to nobody
Hata usibishane nae uyo anafanya makusudi ili ajibiwe. Ana kaugonjwa ka "attention seeking syndrome"Nina I'd 1, na wanao nijua. Wana kushangaa
Mi na ki rafiki changu Cha kike, tume advance kidogo😂😆. Juzi alinipa hi😍😍[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kula kujigalagaza kabisa. Rafiki yangu usijali i will make it up to you soon, hakukuwa na sherehe tulikuwa tunahalalisha kwanza kukimbia uzinzi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
We nyapu kweli kweli... Kuna mtu katukanwa? IDs zote zinakusaidia nini?Mi sipendi rafiki zangu watukanwe au kudhalilishwa, so fu.ck off
umekaa vibaya... Shauri yako....Endelea kujichekesha, siku usiyoijua ndo itakufanya ulie
Una uzoefu na husahau... Umekaa vibaya sogea huku nyuma kidogo....Chizi Maarifa kuwa makini, utakuja shikishwa ukutaaa😂😆
Lavu is byurifu thing aweeee......kama nakuona vile ulikuwa kwa cloud nine. Thank you alotMi na ki rafiki changu Cha kike, tume advance kidogo[emoji23][emoji38]. Juzi alinipa hi[emoji7][emoji7]
[emoji117]Akaniita jina la utani, nililompa akii[emoji7][emoji7]
[emoji117]Wish you da best
Mbona hukutupa taarifa alipokuwa mja mzito?Hi ni yako, rafiki yangu mpendwa trudie
Mwenyezi Mungu akubariki katika ulichopewa na umshukuru aliyekupa, na afike kuwa mkubwa, na uruzukiwe wema wake. Na aliyepongezwa atamuombea aliyempongeza kwa kumwambia:
''Mwenyezi Mungu akubariki na ateremshe baraka juu yako, na Mwenyezi Mungu akujaze kheri, na Mwenyezi Mungu akuruzuku mfano wake, na afanye nyingi thawabu zako.''View attachment 2603405
Mkuu, Kuna vitu ni vya kuficha. Ili kulinda usalamaMbona hukutupa taarifa alipokuwa mja mzito?
I mean no malice to nobody, I love that ego. A dog like you being so baggyWe nyapu kweli kweli... Kuna mtu katukanwa? IDs zote zinakusaidia nini?
Try it, in case u wish to be strippedumekaa vibaya... Shauri yako....
Umekaa vibaya.... Shauri yako.Try it, in case u wish to be stripped
Sweet nyapu. Using a lot of IDs to promote your devilish activities. I am here to make sure people like ya aint nuh gonna use this platform to advertise their devil work.I mean no malice to nobody, I love that ego. A dog like you being so baggy
nafikiri anaitafuta ada yake ya mweziHuyu ni mwanamke anatumia IDs mbili. Moja ndo hiyo ta Trudie. Ukimsoma vizuri utagundua. Ndo maana anapanic sana.
Nilimwambia mwenyewe jana kuna thread tulikutana nikamwambia nmekuletea anko.
Mkuu na wewe umemwamini huyo chizi kwamba mimi ni Intelligent businessman ni ID moja??nafikiri anaitafuta ada yake ya mwezi