Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #121
I mean no malice to nobody,Naona Ukikaa bila kummisso sis ake huridhiki kabisaa haha!!
Watoto ni baraka kichaa akee Much congrats to her Mungu awajalie afya njema na uzima telee wote mama na mtoto na mama arikave na kukomaa haraka!!
Hahaa siku ikitokea basi ntakujulisha mkuu, na nnavopenda maua itakua so fine so good🤪Fanya Kampango ili na wewe tuje tukupongeze hapa jukwaani huku tukikumwagia maua kibao.
I mean no malice to nobody, you are my favorite too trudieAsanteni sana wanajukwaa wote nimepokea pongezi kwa furaha sana. Mungu mwema nimepata binti mrembo sana. Bro Intelligent businessman thank you alot i appriciate you kinomanoma know that....You mean no malice to nobody[emoji3526][emoji352
Nakutakia utekelezaji mwema financial services 🫂🫂🏇🤰🤱🧑🍼💐🌹💐🌹Hahaa siku ikitokea basi ntakujulisha mkuu, na nnavopenda maua itakua so fine so good🤪
Hongera yakeTeam jf usiku wa Manane, member mwenzenu huyo Bantu Lady, Dahan, National Anthem, Mzee wa kupambania, Analyse, Poor Brain, stow away
👉 We mean no malice to nobody
👉Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉 Roho begani
Ahsante mkuu😀😀 wewe part yako itakua maua tu?Nakutakia utekelezaji mwema financial services 🫂🫂🏇🤰🤱🧑🍼💐🌹💐🌹
Uzi unatembea fasta fasta.... hongera nyingi sana kwake....Hi ni yako, rafiki yangu mpendwa trudie
Mwenyezi Mungu akubariki katika ulichopewa na umshukuru aliyekupa, na afike kuwa mkubwa, na uruzukiwe wema wake. Na aliyepongezwa atamuombea aliyempongeza kwa kumwambia:
''Mwenyezi Mungu akubariki na ateremshe baraka juu yako, na Mwenyezi Mungu akujaze kheri, na Mwenyezi Mungu akuruzuku mfano wake, na afanye nyingi thawabu zako.''View attachment 2603405
Kwenye farasi hapo Fanya uhakikaAhsante mkuu😀😀 wewe part yako itakua maua tu?
Hongera kwa katoto kazuriAsanteni sana wanajukwaa wote nimepokea pongezi kwa furaha sana. Mungu mwema nimepata binti mrembo sana. Bro Intelligent businessman thank you alot i appriciate you kinomanoma know that....You mean no malice to nobody[emoji3526][emoji3526]
I mean no malice to nobody, 😆😂 eti uzi unatembea. Kwani ni huu tu 🤔Uzi unatembea fasta fasta.... hongera nyingi sana kwake....
Utaratibu wa kumpelekea zawadi ukoje Intelligent businessman
Nadhani pongezi, inatosha kwanzaUzi unatembea fasta fasta.... hongera nyingi sana kwake....
Utaratibu wa kumpelekea zawadi ukoje Intelligent businessman
trudie nadhani sasa umwachie jamaa aenda na mtoto wake maana sasa umepata wako Ref: Je, alichofanya ni sahihi kuondoka na mtoto bila kuniambia?Hi ni yako, rafiki yangu mpendwa trudie
Mwenyezi Mungu akubariki katika ulichopewa na umshukuru aliyekupa, na afike kuwa mkubwa, na uruzukiwe wema wake. Na aliyepongezwa atamuombea aliyempongeza kwa kumwambia:
''Mwenyezi Mungu akubariki na ateremshe baraka juu yako, na Mwenyezi Mungu akujaze kheri, na Mwenyezi Mungu akuruzuku mfano wake, na afanye nyingi thawabu zako.''View attachment 2603405
Amina asante sana best, nakutamania nijue kupika fasta kama wewe mimi bado nipo kujifunza kupikahuko kwenye kupamba sio leo wala kesho.Hongera sana best.
Sasa nimeelewa kwanini ulisafiri.
Hongera sana,Mungu awatunze.
Mimi najikongoja mdogo mdogo kupamba.
Msamehe bure rafiki jinamizi la kulelewa na single mother bila kumjua baba yake linamtafuna so anaattack kila single mother akidhani anapunguza maumivu. Inabidi ajifunze sio kila mahusiano kuvunjika basi mama alikuwa na makosa kiasi cha kumnyima mtoto malezi ya baba yake sometimes inakuwa kwa faida ya wote even huyo mtoto.Ficha upuuzi wako, damn sculando.
[emoji117]Mbona man negative minds Sana[emoji117]huu uzi hauja alikwa, so unge mind business zako.
Heri na baraka ziwe nanyi daima
Amina asante sana[emoji120][emoji120][emoji120]
Asante sana, lindo linaibua mengi sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe wakati Yuko Lindo ndo akatafuta na katoto,hongera yake
Amen wakati wa Mungu ndio wakati sahihi. Soon Mungu atakupa kicheko kutoka katika tumbo lako.Yes i don't, wakati sahihi ukifika basi itakua heri