trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 3,668
- 8,745
I DONT CARE nimekuwa kama mobeto or who as long as am happy na watoto wangu keyboard warriors dont bother me at all. Siwezi lazimisha sehemu ambayo sina furaha na amani kisa kufurahisha watu. Na sio keyboard warriors tuu walimwengu wote koz hakuna hata mmoja atanisaidia kulea. Even huyo unayempigia chapuo amchukue mtoto wake kashindwa kumlea so msiwe na mihemuko ya mitandao wazazi tunajua na tuna uchungu kwa watoto wetu kuliko nyie.Aha! Sasa umekuwa sawa na Hamisa Mobeto ambaye ana watoto wawili toka kwa baba wawili tofauti. Mwachie mchagga mtoto nawe ubaki na kichanga chako na bebi mpya. Acha masharti wakati umeisha move on siku nyingi