Hongera JF member "Trudie" kwa kupata mtoto, kheri ikawe kwako na familia yako

Hongera JF member "Trudie" kwa kupata mtoto, kheri ikawe kwako na familia yako

Panga shingoni
Roho begani
Mwili mkononi

Unachangua nini ? Usisahau mi ndio yule yule miyeyusho mzee wa kuchomesha
AI na ML chatbots

Mapanga tuwaachie ma ancestors wetu

Saivi the most dangerous panga ni AI MKUU
 
1682442689548.jpg
 
Kama hii ni ID yako nyingine umekuja kunikera sorry NOT TODAY mkuu. Kwa furaha niliyo nayo hakuna nafasi ya kunikwaza. Kama ni wewe basi nikwambie tuu pole umalaya wako ndio umesababisha umekosa bara na pwani i can imagine na upweke ulio nao lazima uwe bitter.
Tunashukuru sana wote wana JF kwa maombi yenu Mtoto anaendelea vyema...nyie mnaofukua makaburi shwain
Mungu ni mwema tupo salama
Shwain ni nguruwe kwa Kijerumani ujue. Mahari rudisheni, usijitanye kusahau
 
Kuna watu humu sijui ni kukosa hela kunawafanya wanaropokwa?!
Tatizo kubwa ni wanaoropoka ropoka katika mitandao! Why expose yourself kama unatamani privacy! Najua unajisitukia! Mtu unajifunua katika mitandao, lazima wakuda tukukumbushe. Mfano mtu unadai una UTI sugu, siku tukikuuliza umepona, unakuja juu ati tunafukua! Msomi ni mtu anayetafuta references ujue! Fukunyufu
 
Back
Top Bottom