Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wewe sio mbunge na hujafa.Anatafuta pa kutokea ila ubunge ausahau maana hata pata hata kura moja
Kawaumbueni
Mi
Mimi nimeelewa, sema wewe unataka aandike unachopenda kuelewa.
mnyika nimemnunulia jiko la mishkaki 2021 aanze maisha mapya.Mmestukiwa wanafiki wakubwa nyie !
Leo hii NEC iliandaa kikao maalum na wawakilishi wa vyama vyote vya siasa ili kujadili na kupokea baadhi ya marekebisho ya sheria mbali mbali.
Ktk kutekeleza hayo NEC walikwisha andaa documents tayari kwa kila mwakilishi wa chama azisome na kuzisaini hapo hapo. Mnyika akastukia mchezo wao kwani documents zilikuwa zinawahitaji wasome na kusaini.
Huu ni mchezo wa paka kumuandalia chakula panya, yaani walitakiwa wapewe muda angalau wa kuzisoma na kama kuna marekebisho basi wayapendekeze kwa NEC iyafanyie marekebisho.
Wakati wawakilishi wa vyama vingine walipiga kimya na kukubali tu kupitishwa.
Hongera sana katibu bora wa chama bora cdm.
Km siyo wa kuelewa huwezi elewa!!Hueleweki unasema nini.
Hakuna alie zaliwa na ubunge wewe kila Sikh nasema mkitaka pelekeni mswada bungeni mfute vyama vyote vya upinzani mbaki nyie tu akidi yenu ni kubwa sana na cdm inatoa jasho sanaAnatafuta pa kutokea ila ubunge ausahau maana hata pata hata kura moja
Hakuna alie zaliwa na ubunge wewe kila Sikh nasema mkitaka pelekeni mswada bungeni mfute vyama vyote vya upinzani mbaki nyie tu akidi yenu ni kubwa sana na cdm inatoa jasho sana
Hakuzaliwa mwana siasa mnyika wananchi ndio waamuzi sio nyie huku siasa ni ushindani sio uadui kama wenumnyika nimemnunulia jiko la mishkaki 2021 aanze maisha mapya.
shukran kwa kunielewa.
Leo hii NEC iliandaa kikao maalum na wawakilishi wa vyama vyote vya siasa ili kujadili na kupokea baadhi ya marekebisho ya sheria mbali mbali.
Ktk kutekeleza hayo NEC walikwisha andaa documents tayari kwa kila mwakilishi wa chama azisome na kuzisaini hapo hapo. Mnyika akastukia mchezo wao kwani documents zilikuwa zinawahitaji wasome na kusaini.
Huu ni mchezo wa paka kumuandalia chakula panya, yaani walitakiwa wapewe muda angalau wa kuzisoma na kama kuna marekebisho basi wayapendekeze kwa NEC iyafanyie marekebisho.
Wakati wawakilishi wa vyama vingine walipiga kimya na kukubali tu kupitishwa.
Hongera sana katibu bora wa chama bora cdm.
Labda Kama hizo kura utapiga wewe na Bibi yako lakini Kama ni watanzania jiandae kisaikolojia bwana Gamba.Anatafuta pa kutokea ila ubunge ausahau maana hata pata hata kura moja
siasa sio uadui ndo maana wana ccm wa kibamba tukamnunulia jiko la mishkaki la kuanzia maisha mapya 2021Hakuzaliwa mwana siasa mnyika wananchi ndio waamuzi sio nyie huku siasa ni ushindani sio uadui kama wenu