Hongera Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa kuistukia Tume ya Uchaguzi (NEC)

Hongera Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa kuistukia Tume ya Uchaguzi (NEC)

Mbona wewe sio mbunge na hujafa.
Lumumba wanalifanya bunge kuwa ndiyo kimbilio la kujiingizia kipato, wakati pale ni sehemu ya kwenda kuwakilisha mahitaji ya wananchi na kutafuta utatuzi.
 
https://www.ippmedia.com/sw/habari/nec-viongozi vyama-vya-siasa-vyajadili-maadili-uchaguzi

Leo hii NEC iliandaa kikao maalum na wawakilishi wa vyama vyote vya siasa ili kujadili na kupokea baadhi ya marekebisho ya sheria mbali mbali.

Ktk kutekeleza hayo NEC walikwisha andaa documents tayari kwa kila mwakilishi wa chama azisome na kuzisaini hapo hapo. Mnyika akastukia mchezo wao kwani documents zilikuwa zinawahitaji wasome na kusaini.

Huu ni mchezo wa paka kumuandalia chakula panya, yaani walitakiwa wapewe muda angalau wa kuzisoma na kama kuna marekebisho basi wayapendekeze kwa NEC iyafanyie marekebisho.

Wakati wawakilishi wa vyama vingine walipiga kimya na kukubali tu kupitishwa.

Hongera sana katibu bora wa chama bora cdm.
 
Anatafuta pa kutokea ila ubunge ausahau maana hata pata hata kura moja
Hakuna alie zaliwa na ubunge wewe kila Sikh nasema mkitaka pelekeni mswada bungeni mfute vyama vyote vya upinzani mbaki nyie tu akidi yenu ni kubwa sana na cdm inatoa jasho sana
 
Yaani sijui hawa lumumba wanaogopa kitu gani kutoka kwa wapinzani wa kweli!

Yaani wakiona Lyatonga anavyo sinzia bungeni ndiyo wanamuona bonge la mbunge!
Hakuna alie zaliwa na ubunge wewe kila Sikh nasema mkitaka pelekeni mswada bungeni mfute vyama vyote vya upinzani mbaki nyie tu akidi yenu ni kubwa sana na cdm inatoa jasho sana
 
Leo hii NEC iliandaa kikao maalum na wawakilishi wa vyama vyote vya siasa ili kujadili na kupokea baadhi ya marekebisho ya sheria mbali mbali.

Ktk kutekeleza hayo NEC walikwisha andaa documents tayari kwa kila mwakilishi wa chama azisome na kuzisaini hapo hapo. Mnyika akastukia mchezo wao kwani documents zilikuwa zinawahitaji wasome na kusaini.

Huu ni mchezo wa paka kumuandalia chakula panya, yaani walitakiwa wapewe muda angalau wa kuzisoma na kama kuna marekebisho basi wayapendekeze kwa NEC iyafanyie marekebisho.

Wakati wawakilishi wa vyama vingine walipiga kimya na kukubali tu kupitishwa.

Hongera sana katibu bora wa chama bora cdm.

Watasema katumwa na MABEBERU .....!!!!
 
Hakuzaliwa mwana siasa mnyika wananchi ndio waamuzi sio nyie huku siasa ni ushindani sio uadui kama wenu
siasa sio uadui ndo maana wana ccm wa kibamba tukamnunulia jiko la mishkaki la kuanzia maisha mapya 2021
 
Back
Top Bottom