johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ameshasaini ndio anatoka nje na kulia lia!kutapatapa ndio nini , hivi ccm imeanza kuwa na vijana duni kiasi hiki ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshasaini ndio anatoka nje na kulia lia!kutapatapa ndio nini , hivi ccm imeanza kuwa na vijana duni kiasi hiki ?
Asubuhi wameleta hii habari wakajisifu hawajasaini saa Saba mchana nasikia anahojiwa na DW anakiri wamesaini Sasa mtoa mada habari yake iko kizushizushiAmeshasaini ndio anatoka nje na kulia lia!
nitajaribu kufanya hivyo mkuuWeka video yote kama unayo
Usikariri bwashee....... Mnyika amesaini kitambo!Chadema habari nyingine, jamaa wanaweka kanuni za hovyo kujidanganya, hizo kanuni hazisainiwi na uchaguzi watashiriki, muda wa kutishana ulishapita.
CCM wamefanya siasa za bombardier na flyover miaka mitano, bado wanawaogopa ambao hawakuwahi kupanda jukwaani hata mara moja, ajabu sana.
Kwa hivo mtashiriki uchaguzi chini ya usimamizi wa tume ipi?Chadema habari nyingine, jamaa wanaweka kanuni za hovyo kujidanganya, hizo kanuni hazisainiwi na uchaguzi watashiriki, muda wa kutishana ulishapita.
CCM wamefanya siasa za bombardier na flyover miaka mitano, bado wanawaogopa ambao hawakuwahi kupanda jukwaani hata mara moja, ajabu sana.
Weka video yote, kipande ulichoweka hakijakamilika kutosha kutetea ulichoandika.Kiukweli kuna kila sababu ya kuamini kwamba CCM inaogopa uchaguzi baada ya NEC kuanza kulazimisha mambo ya hovyo yanayoitia aibu nchi.
Miaka mitano siasa zimefanywa na CCM tu vyama vingine vimezuiliwa na kupigwa mabomu lakini bado ccm haijiamini !
Msikilizeni Mh. Mnyika mjionee uchafu.
Madogo polepole kawaongezea poshoAnatafuta pa kutokea tangu vijana wa msigani watake kumchapa kwa kujipeleka mbelembele kwenye tamasha lao akaokolewa na DC wa ubungo hana lolote
Uduni wa akili za vijana wao ni wa muda mrefu sana. Si unajua ukiingia ccm inabidi ubongo uuache mlangoni?kutapatapa ndio nini , hivi ccm imeanza kuwa na vijana duni kiasi hiki ?
Uduni wa akili za vijana wao ni wa muda mrefu sana. Si unajua ukiingia ccm inabidi ubongo uuache mlangoni?
Unataka are kikondoo? Iwapo Kuna Jambo la kukosoa n haki yake , mpira uanzie Kati so nusu uwanjaJ J Mnyika ameanza kutapatapa!