Mwaka huo mkipata hata mbunge mmoja mkatambike!Hapo ndiyo nilikuwa nataka uangukie na kwakuwa huna akili basi umeangukia hapo hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huo mkipata hata mbunge mmoja mkatambike!Hapo ndiyo nilikuwa nataka uangukie na kwakuwa huna akili basi umeangukia hapo hapo.
Hujui maana ya mabeberu siyo kila mzungu ni beberu bali ni wale wazungu wanaoshirikiana na wasaliti kutuvuruga ndiyo mabeberu. Amka kijana kutoka usingiziniMabeberu wapi wale mnao wapigia magoti kila siku na bakuli mkononi?
Unaona unavyowaabudu mabeberu kwani USA ni mbinguni? Au asipoenda hatakula?Kweli naamini cdm isipo pata mbunge hata mmoja ndiyo itakuwa green light ya Bashite kwenda usa
Hujui maana ya mabeberu siyo kila mzungu ni beberu bali ni wale wazungu wanaoshirikiana na wasaliti kutuvuruga ndiyo mabeberu. Amka kijana kutoka usingizini
Wao ndiyo wanaleta lazima tuchukue pia kumbuka tunarudisha mali zetu walizotuibia siku nyingi wakati wa kikoloni.Mlio wapigia magoti juzi kuwaomba msaada, leo hii tena unaanza kuwatukana?
kutapatapa ndio nini , hivi ccm imeanza kuwa na vijana duni kiasi hiki ?J J Mnyika ameanza kutapatapa!
Anatafuta pa kutokea tangu vijana wa msigani watake kumchapa kwa kujipeleka mbelembele kwenye tamasha lao akaokolewa na DC wa ubungo hana lolotekutapatapa ndio nini , hivi ccm imeanza kuwa na vijana duni kiasi hiki ?
Weka video yote kama unayoKiukweli kuna kila sababu ya kuamini kwamba CCM inaogopa uchaguzi baada ya NEC kuanza kulazimisha mambo ya hovyo yanayoitia aibu nchi.
Miaka mitano siasa zimefanywa na CCM tu vyama vingine vimezuiliwa na kupigwa mabomu lakini bado ccm haijiamini !
Msikilizeni Mh. Mnyika mjionee uchafu.