Hongera Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa kuistukia Tume ya Uchaguzi (NEC)

Hongera Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa kuistukia Tume ya Uchaguzi (NEC)

Leo hii NEC iliandaa kikao maalum na wawakilishi wa vyama vyote vya siasa ili kujadili na kupokea baadhi ya marekebisho ya sheria mbali mbali.

Ktk kutekeleza hayo NEC walikwisha andaa documents tayari kwa kila mwakilishi wa chama azisome na kuzisaini hapo hapo. Mnyika akastukia mchezo wao kwani documents zilikuwa zinawahitaji wasome na kusaini.

Huu ni mchezo wa paka kumuandalia chakula panya, yaani walitakiwa wapewe muda angalau wa kuzisoma na kama kuna marekebisho basi wayapendekeze kwa NEC iyafanyie marekebisho.

Wakati wawakilishi wa vyama vingine walipiga kimya na kukubali tu kupitishwa.

Hongera sana katibu bora wa chama bora cdm.
Hahahaa Mjanja kawashitukia wahuni
 
Hii thread in title nzuri sana , ila haina substance. Ni Vigumu kujua thread inasimamia kitu gani.
 
Halafu hao wahuni wangesema hata Chadema waliyakubali marekebisho na hawakuwa na nyongeza ya marekebisho na Katibu Mkuu wao ALISAINI na saini yake hii hapa. PUMBAVU wakubwa.
Walijuwa wanatapata Ruber stamping🤣🤣wamekwama
 
Leo hii NEC iliandaa kikao maalum na wawakilishi wa vyama vyote vya siasa ili kujadili na kupokea baadhi ya marekebisho ya sheria mbali mbali.

Ktk kutekeleza hayo NEC walikwisha andaa documents tayari kwa kila mwakilishi wa chama azisome na kuzisaini hapo hapo. Mnyika akastukia mchezo wao kwani documents zilikuwa zinawahitaji wasome na kusaini.

Huu ni mchezo wa paka kumuandalia chakula panya, yaani walitakiwa wapewe muda angalau wa kuzisoma na kama kuna marekebisho basi wayapendekeze kwa NEC iyafanyie marekebisho.

Wakati wawakilishi wa vyama vingine walipiga kimya na kukubali tu kupitishwa.

Hongera sana katibu bora wa chama bora cdm.
Wewe bwege kweli,kwahiyo itawasidia kubaki kuendelea kuwa chama kikuu cha upinzani?[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyika amefanya jambo zuri sana kuweka wazi hizo jambo. Na cdm wahakikishe hawakubali kuburuzwa kwa chochote. Tena ilitakiwa aongelee na tume huru ya uchaguzi humo ndani.
 
Wale wengine walisha saini kitambo
Mnyika amefanya jambo zuri sana kuweka wazi hizo jambo. Na cdm wahakikishe hawakubali kuburuzwa kwa chochote. Tena ilitakiwa aongelee na tume huru ya uchaguzi humo ndani.
 
Leo hii NEC iliandaa kikao maalum na wawakilishi wa vyama vyote vya siasa ili kujadili na kupokea baadhi ya marekebisho ya sheria mbali mbali.

Ktk kutekeleza hayo NEC walikwisha andaa documents tayari kwa kila mwakilishi wa chama azisome na kuzisaini hapo hapo. Mnyika akastukia mchezo wao kwani documents zilikuwa zinawahitaji wasome na kusaini.

Huu ni mchezo wa paka kumuandalia chakula panya, yaani walitakiwa wapewe muda angalau wa kuzisoma na kama kuna marekebisho basi wayapendekeze kwa NEC iyafanyie marekebisho.

Wakati wawakilishi wa vyama vingine walipiga kimya na kukubali tu kupitishwa.

Hongera sana katibu bora wa chama bora cdm.
Ubunge wenywe awamu ijayo kashaupoteza atarud kuendelea kuuza mkaa kama zamani
 
Hivi kwani kila mtanzania anaendesha maisha yake kupitia posho na mshahara wa bunge?
Ubunge wenywe awamu ijayo kashaupoteza atarud kuendelea kuuza mkaa kama zamani
 
Back
Top Bottom