Hongera Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa kuistukia Tume ya Uchaguzi (NEC)

Kwanza mlipotosha kuwa mnyika kagoma kusaini badae anahojiwa na DW anasema tumesaini kwanini mmekuwa waongo hivi
 
Usikariri bwashee....... Mnyika amesaini kitambo!
 
Kwa hivo mtashiriki uchaguzi chini ya usimamizi wa tume ipi?
 
Weka video yote, kipande ulichoweka hakijakamilika kutosha kutetea ulichoandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…