Hongera Kocha Benchikha kwa kuikimbia fedheha hii. Tatizo la Simba ni wachezaji wa kiwango cha chini

Hongera Kocha Benchikha kwa kuikimbia fedheha hii. Tatizo la Simba ni wachezaji wa kiwango cha chini

Amani iwe nanyi.

Huwa nikiiangalia hii timu ya simba na aina ya wachezaji wake wa sasa hivi kisha nikiilinganisha na ile simba ya kampa kampa tena ya Kocha Patrick Aussem au Didier Da rosa huwa najiuliza ,Je hawa wachezaji wa sasa hivi wangepata kweli namba katika vikosi vya wakati ule.

Tatizo kubwa la Simba ni wachezaji wenye viwango duni.Leo hii tuna wachezaji wasio weza hata kutuliza mpira, kupiga pasi zilizonyooka, wasioweza kupiga mashuti na hata kukimbia.

Uongozi wa Simba unatakiwa ubadilishe timu yake ya maskauti wanaosaka wachezaji. Wachezaji wengi walioletwa katika hii miaka miwili ni magarasa ,tuambiane tu ukweli.

Simba inatakiwa iwape mkono wa kwaheri kina Jobe,freddy,Ngoma,Kennedy,Saido,Onana,Babacar Sarr n.k hawa wanatakiwa waachwe wakatafute changamoto mpya.

Mwisho nimpongeze kocha Abdelhaqq Benchikha kwa kuona kuwa Simba inampotezea muda tu na kuamua kuachana nayo. Huwezi ukawa na wachezaji kama kina Onana , beki Kennedy na washambuliaji kina Jobe na Freddy halafu utegemee timu ifanye vizuri.

YANGA BINGWA TENA.
Wachezaji wote shikamoo jazz band.
 
Kocha anatakiwa kuwafundisha wachezaji wabovu wacheze vizuri.
Kocha anatakiwa kugundua vipaji vya wachezaji.
Kocha anayetaka apewe wachezaji wazuri ili awe anashinda mechi sio kocha bali ni muwekezaji anayetaka sifa kwa juhudi na vipaji vya wengine.
Mkataba wa mwaka mmoja anaweza kufanya hayo?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kocha anatakiwa kuwafundisha wachezaji wabovu wacheze vizuri.
Kocha anatakiwa kugundua vipaji vya wachezaji.
Kocha anayetaka apewe wachezaji wazuri ili awe anashinda mechi sio kocha bali ni muwekezaji anayetaka sifa kwa juhudi na vipaji vya wengine.
Academy ndio sehemu ya kufundishwa kucheza, ukija timu kubwa kocha anafundisha mifumo tu na mbinu.

Mtu kama Saido na Kibu Denis leo unawafundisha nini?
 
Simba ife tu , alisikika mpiga debe fulani hiv
Sisi Wanayanga tunasema hapana. Yanga itkuwa dhaifu. Mpinzani wako Bora na Imara hukufanya ujiongeze kila wakati na kukufanya kuwa makini na imara zaidi yake.
 
Academy ndio sehemu ya kufundishwa kucheza, ukija timu kubwa kocha anafundisha mifumo tu na mbinu.

Mtu kama Saido na Kibu Denis leo unawafundisha nini?
Saidoo ni mzee, Kibu bado anafundishika.
Kuna vijana Simba kama Balua, Chasambi, Kabaraka, nk.
Kocha mzuri anauwezo kuwaongezea ujuzi na wakawa wachezaji wazuri.
Masoud Juma aliweza kumfundisha Rashidi juma hadi akawa anacheza machi za Kimataifa vizuri.
Masudi alipoondika Simba Kipaji cha Rashidi kikafa mazima.
Sio Kocha kama Maurinyo
 
Anamalizia kutayarisha kitabu chake cha MIEZI 6 YA UKOCHA WANGU KWENYE TIMU YA SIMBA!
 
Amani iwe nanyi.

Huwa nikiiangalia hii timu ya simba na aina ya wachezaji wake wa sasa hivi kisha nikiilinganisha na ile simba ya kampa kampa tena ya Kocha Patrick Aussem au Didier Da rosa huwa najiuliza ,Je hawa wachezaji wa sasa hivi wangepata kweli namba katika vikosi vya wakati ule.

Tatizo kubwa la Simba ni wachezaji wenye viwango duni.Leo hii tuna wachezaji wasio weza hata kutuliza mpira, kupiga pasi zilizonyooka, wasioweza kupiga mashuti na hata kukimbia.

Uongozi wa Simba unatakiwa ubadilishe timu yake ya maskauti wanaosaka wachezaji. Wachezaji wengi walioletwa katika hii miaka miwili ni magarasa ,tuambiane tu ukweli.

Simba inatakiwa iwape mkono wa kwaheri kina Jobe,freddy,Ngoma,Kennedy,Saido,Onana,Babacar Sarr n.k hawa wanatakiwa waachwe wakatafute changamoto mpya.

Mwisho nimpongeze kocha Abdelhaqq Benchikha kwa kuona kuwa Simba inampotezea muda tu na kuamua kuachana nayo. Huwezi ukawa na wachezaji kama kina Onana , beki Kennedy na washambuliaji skina Jobe na Freddy halafu utegemee timu ifanye vizuri.

YANGA BINGWA TENA.
5imba never had been kampa kampa tena.Oga.
 
Back
Top Bottom