Mpaka migogoro[emoji1373][emoji23]Ila kisaikolojia hii hali ipo.. Unakuwa kabinafsi binafsi hiviii, hutaki kubanwa, hutaki kuombwa tumizi halafu miaka inaenda cha maana unachofanya hakuna, wenye ndoa wanakuzidi vyote mpaka migogoro...
Kwakweli hoja yako ina ukweli ndani yake.Hakuna lolote nyinyi ndio watu mbao mnateseka sana na maisha ya useja na mnatamani sana kuoa kuishi na mke
Ila changamoto mliyonayo inajulikana.
Na sio yenu pekeyenu hiyo changamoto ni common kwa maisha haya ya sasa kwa kila mwanaume anayetafuta mwenza wa maisha.
Maisha ya sasa kupata mwenza sahihi imekuwa mtihani mkubwa ila chakushangaza wanaume wanawalalamikia wanawake uwongo/kuzingua pindi unapomuonesha nia ya kutaka kumuoa.
Hali kadharika kwa wanawake pia kulalamika kuzinguliwa pindi tu aanapoonesha kukubali kuwa na mwanamme kwa hali yoyote ili kuingia nae ndoani Yaan imekuwa tabu tupu vululuvululu
Kilichopo nyinyi mmekata tamaa kwa kutompata sahihi kwenu
Msitake kutuaminisha uwongo wakt COMMENT na THREAD zenu za nyuma zinajielezea tabu kwenu ipo wapi
Na sema hakuna asiyependa KUOA KUOLEWA tabu ni kumpata mtu sahihi wa kuingia NDOANI shida inaanzia hapo na ukiangakia umri unazidi kwenda aisee tabu tupu
Mwanangu wewe ndio kama mimi, na umri wangu unaenda na sijaoa, hapa nawaza sana yaani, ila ukitaka hii hali itutoke tusitafute wanawake wa abmotuk tu, tutafute wanawake ambao ni marafiki zetu kabisa, mbali na wapenzi.
Ila kuna raha yake, asante kwa hongera, tumeshazoea mpaka siku akiwa hayupo unajiona kama umelala kwenye kiwanja cha mpira...
2)Akichepuka akapata ngoma ni kama 99% na wewe umepata.
Tuanze kwanza kwa kujua umri wako
Weka vitanda viwili chumbani kila mtu alale chake si hautaki bugudha.
Ila kisaikolojia hii hali ipo.. Unakuwa kabinafsi binafsi hiviii, hutaki kubanwa, hutaki kuombwa tumizi halafu miaka inaenda cha maana unachofanya hakuna, wenye ndoa wanakuzidi vyote mpaka migogoro...
Ukifika time ya kuoa you will know. Kwa sasa ww ni kijana mdogo sana. bado una mawazo ya kitoto
hii maana yake nini[emoji67]🦽[emoji67]🦽asikwambie mtu ukioa rafiki yako raha mpaka bhasi asipokuepo unatamani akuje hata kama mbali unatamani umpigie sim mama Samia amkodishie ndege akuje nyumban
Hakuna lolote nyinyi ndio watu mbao mnateseka sana na maisha ya useja na mnatamani sana kuoa kuishi na mke
Ila changamoto mliyonayo inajulikana.
Na sio yenu pekeyenu hiyo changamoto ni common kwa maisha haya ya sasa kwa kila mwanaume anayetafuta mwenza wa maisha.
Maisha ya sasa kupata mwenza sahihi imekuwa mtihani mkubwa ila chakushangaza wanaume wanawalalamikia wanawake uwongo/kuzingua pindi unapomuonesha nia ya kutaka kumuoa.
Hali kadharika kwa wanawake pia kulalamika kuzinguliwa pindi tu aanapoonesha kukubali kuwa na mwanamme kwa hali yoyote ili kuingia nae ndoani Yaan imekuwa tabu tupu vululuvululu
Kilichopo nyinyi mmekata tamaa kwa kutompata sahihi kwenu
Msitake kutuaminisha uwongo wakt COMMENT na THREAD zenu za nyuma zinajielezea tabu kwenu ipo wapi
Na sema hakuna asiyependa KUOA KUOLEWA tabu ni kumpata mtu sahihi wa kuingia NDOANI shida inaanzia hapo na ukiangakia umri unazidi kwenda aisee tabu tupu
ndio ukweli. tulikuwa malaya na viwembe hatare. tumeshafanya mambo machafu mpaka unajishtukia kuliko ww.Sio kweli mkuu
Ila kisaikolojia hii hali ipo.. Unakuwa kabinafsi binafsi hiviii, hutaki kubanwa, hutaki kuombwa tumizi halafu miaka inaenda cha maana unachofanya hakuna, wenye ndoa wanakuzidi vyote mpaka migogoro...
[emoji67]🦽[emoji67]🦽asikwambie mtu ukioa rafiki yako raha mpaka bhasi asipokuepo unatamani akuje hata kama mbali unatamani umpigie sim mama Samia amkodishie ndege akuje nyumban
Friji yako inagandisha?
Hata mi huwa nawaza hivihivi!!
Mpaka migogoro[emoji1373][emoji23]
Umechoka kulala nae tu je akianza kuongea kama cherehani hata ule muda ambao wewe unataka ulale yeye anakupa umbea wote wa mtaani wakati hata kutembea hatembei si utampiga bomu wewe ?Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Aisee kulala na mwanamke kitanda kimoja ndani ya wiki moja tu sio mchezo yaani kwangu mimi ni kero ya hali ya juu sana na inahitaji uvumilivu wa kiwango cha mwendo kasi!
Imagine kwa wanaoishi na wake kitanda kimoja miaka na miaka wanastahili tunzo aisee
Mwanamke akilala kwangu siku mbili tu naboreka! Napenda zaidi short time sipendi kulala tumebanana kama jela.