Hongera Lema, ukweli hata kama mchungu shuruti usemwe

Hongera Lema, ukweli hata kama mchungu shuruti usemwe

Huu ndiyo ulio ukweli mchungu:

View attachment 2443641

Mkwamo wetu uko hapa. Uhai wetu utarejea kwa kujikwamua kutoka hapa.

Ukweli huu ni mwiba mchungu mno kwa ule upande mwingine uliojaa ulaghai na ubinafsi uliopitiliza.

Mimi nashangaa Mbowe anaamini CCM watafanya jambo la maana . Amuulize maalim pamoja na muafaka lakini walimwibia kura 2015 na 2020. CCM ni wabinafsi hawana wema.
 
Huu ndiyo ulio ukweli mchungu:

View attachment 2443641

Mkwamo wetu uko hapa. Uhai wetu utarejea kwa kujikwamua kutoka hapa.

Ukweli huu ni mwiba mchungu mno kwa ule upande mwingine uliojaa ulaghai na ubinafsi uliopitiliza.
Mwambieni arudi nyumbani, Lema mhuni tu hamna kitu pale. Anyeweza kusikiliza Lema naye hamnazo.
 
Wajinga hawaelewi kuwa katiba na sheria vinaruhusu mikutano ya siasa, hivyo ni swala la kufuata katiba na kutii sheria tu na si kukaa vikao kujadili jambo lililoruhusiwa kisheria na kikatiba na hii ndio hoja ya Lema.

Niliwahi sema humu na leo narudiia, "watu wenye akili za kawaida, sometimes ni vigumu kuwaelewa watu wenye akili nyingi au watu wenye akili za ziada ".
Kwa hiyo Mbowe ana akili za kawaida?
 
Toka mwanzo nilijuwa hivyo vikao vya maridhiano ni utapeli wa mchana kweupe. Na CDM waliamua kuzungumza maana wanajua hata wakisema wafanye mikutano kwa nguvu, wataishia kuumizwa na kubambikiwa kesi.

CCM hawako tayari kwa maridhiano maana wanajua hawana ushawishi kwa umma, hivyo wanatumia hivyo vikao kama sehemu ya kutuliza pressure ya wapinzani kwenye kutawala. Inshort vikao vya maridhiano ni kupotezeana muda.
Mwambie mungu wako aliemuondoa Magufuli bila kumwaga damu aiondoe ccm!
 
Huu ndiyo ulio ukweli mchungu:

View attachment 2443641

Mkwamo wetu uko hapa. Uhai wetu utarejea kwa kujikwamua kutoka hapa.

Ukweli huu ni mwiba mchungu mno kwa ule upande mwingine uliojaa ulaghai na ubinafsi uliopitiliza.
Kwanza watanzania inatakiwa tushukuru serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu kuhakikisha democrasia imerejea nchini hata hili suala la kukaa meza moja na kutafuta maridhiano ni hatua kubwa sana kisiasa
 
Mbowe amesema yuko tayari kumpigia Magoti mwenyekiti wa CCM

Lema anamuuliza Mbowe mnajadili nini kwa mambo yanayohitaji utii wa sheria kwa katiba hii hii ya 1977?

Hapo alizingua, hata mimi nilimsikia kama kumpigia magoti Mwenyekiti wa CCM atafanya hivyo ili maridhiano yapatikane. Akawaulize akina ismail jussa walihangaika kiasi gani mpaka kupata
Huu ndiyo ulio ukweli mchungu:

View attachment 2443641

Mkwamo wetu uko hapa. Uhai wetu utarejea kwa kujikwamua kutoka hapa.

Ukweli huu ni mwiba mchungu mno kwa ule upande mwingine uliojaa ulaghai na ubinafsi uliopitiliza.

Hakuna majadiliano na ccm ni kopotezeana muda tu
 
Upande uliojaa ulaghai ni ule wa Chadema kwenye Maridhiano kwa sababu Mbowe amesema hawezi kuwaambia wanachama wake kinachojadiliwa

Wakati Mwenyekiti wa CCM mh Samia ameueleza Mkutano mkuu wa Chana chake kuwa wao ndio Waamuzi kwenye Maridhiano kwa sababu ni Chana Tawala kilichopewa ridhaa ya kuongoza na Wananchi

Walaghai ni hao ccm. Mbowe sijui amepatwa na nini? Sijui ameona uzuri gani kwa ccm mpaka leo?. Hajajifunza bado sawa.
 
Ninavyokumbuka kilichomkimbiza Lema na Lisu ni kumuogopa Dkt Magufuli asije akawaua, hata Lisu baada ya kuangukia pua uchaguzi alijifanya kukimbilia ubalozi na kuleta taharuki, na Dkt Magufuli alipofariki Lema na Lisu waliungana na memba wa NGO yao kushagilia na kusherehekea kifo cha mpendwa wetu. So aache visingizio arudi haraka Tanzania, maana yeye ndiye alianzisha usemi wa kuupiga mwingi. Aacha kuhamisha gori huyu mwizi wa magari na jambazi na tapeli kubwa

Arudi Tanzania hii inayodaiwa trilioni 91?. Yani watoke majuu waje huku kwenye mgao wa umeme na maji. Bora waendelee kukaa huko huko.
 
NGO ile ni kikundi cha waharifu na Magaidi wakubwa. Walimshambulia Lisu, walishawahi muua chacha wangwe, Zitto mwenye mlamba asali mwenzao aliponea chupuchupu. Ni genge la wahuni kabisa

Una hasira sana. Kisaikolojia haupo vizuri unahitaji ushauri.
 
Rasmi CDM wajitoe kwenye vikao hivi:
View attachment 2443667

Mbowe anazingua sana. Amekubali kuchezewa na CCM. Mnajadiliana nini wakati vitu vidogo vimewashinda. Yani mnajadiliana kuhusu katiba mpya, wakati ni hao CCM waliharibu mchakato na huyo Mama Samiah ndio alikuwa mwenyekiti msaidizi wa bunge la katiba.
 
Walamba asali wapo ccm. Acheni kuleta ujinga wenunwa CCM huku CHADEMA. Lema kaongea ukweli, mnajadiliana nini mafichoni, wakati CCM wanasema wazi hakuna haja ya katiba mpya.

Kabisa, lakini watu wana taka kuhalalisha kuwa hakuna aliyesema tofauti...

Kama vikao vile ni batili basi hakuna haja ya mwenyekiti kwenda kila mara kupiga magoti...

Kipindi kile cha JPM walilamba asali wote, wakapanda ndege kwenda mwanza na kurudi ktk sherehe za kitaifa

Leo ana lamba mwenyekiti pekee imekuwa nongwa kila siku vijembe...

Lema ana wageuka wenzie kisa wana kutana ubelgiji na marekani yeye canada ni kama wamemsahau, asali ina mpita
 
Back
Top Bottom