Puuzi weweUTO NI UTO TU
Usipokubali kushindwa huwezi kujifunza Wala kubadilika na utaendelea kupigwa tu kama Ngoma maana hakuna namna, ndio ukikaidi utapigwa tu!UTO NI UTO TU
Kombe la looser ambalo simba lilimshinda na jitihada zote za kutaka kuchoma uwanjaMimi ni gempongeza Ya ga kama Angekuwa Club BINGWA CAFCL.
ANACHEZA NA WANAUME AKINA .
RAJA CASABLANCA.
WYDAD CASABLANCA.
ALHALY.
ZAMALECK.
MAMELOD.
KAIZER CHEEF.
OLANDO PAIRATES.
Hakika Hilo ni kombe la looser Na Mwaka una ma looser kibao.
Timu ya kushuka Daraja PSL IMETUSUMBUA sana Jana.
Mwenye akili afikiri.
Kombe la looser ambalo simba lilimshinda na jitihada zote za kutaka kuchoma uwanja
Imefikaje nusu fainal ambayo nyie hamjawah kufikaIlicheza na OLANDO sio timu inayojipapatua kushuka Daraja.
Kwa timu inayoshiriki kombe la losers simba akajifunze nini? Kama ni mwanaume kilichomtoa klabu bingwa hadi kwa ma loser wenzake ni nini? Simba iheshimiwe.Usipokubali kushindwa huwezi kujifunza Wala kubadilika na utaendelea kupigwa tu kama Ngoma maana hakuna namna, ndio ukikaidi utapigwa tu!
Kolo lipo champions league ya JKT Ruvu kesho. Nadhani huko watakufa au watashinda kiume.Walianzia kombe lipi na sasa wako kombe lipi?
Je , kipi kiliwatoa CAFCL hadi CAFcc ?
Tukipata majibu ya maswali hayo basi tuna haki ya kuwapongeza. Vinginevyo hizo ni porojo
Hilo ni kombe la losers, kombe la waliofeli. Mnataka kulipa ukuuuuuuubwa ambao halistahili. Huo ndiyo ukweli . Kama ulikuwa hujui hilo kamuulize Manara atakwambia ukweli wa hilo jamboKolo lipo champions league ya JKT Ruvu kesho. Nadhani huko watakufa au watashinda kiume.
Hii ni aibu sanaaa.
Unatimia nguvu mno kujitetea kama shoga likanavyo kuwa si lishoga!Hilo ni kombe la losers, kombe la waliofeli. Mnataka kulipa ukuuuuuuubwa ambao halistahili. Huo ndiyo ukweli . Kama ulikuwa hujui hilo kamuulize Manara atakwambia ukweli wa hilo jambo
Pia herufu h/H! nayo inasahaulika sana siku hizi. Utakuta mtu anaandika ajui/hajui, maitaji/mahitaji, akuna/hakuna, nk.R na L ni janga la kitaifa
Teh, wazee wa kufa kiumeKolo lipo champions league ya JKT Ruvu kesho. Nadhani huko watakufa au watashinda kiume.
Hii ni aibu sanaaa.
Teh.....alafu/halafu, aya/haya, asubui/asubuhiPia herufu h/H! nayo inasahaulika sana siku hizi. Utakuta mtu anaandika ajui/hajui, maitaji/mahitaji, akuna/hakuna, nk.
Ukweli unauma eehei? Hilo ni kombe la waliofeli hata ikuume namna gani ukweli utasemwa tu.Unatimia nguvu mno kujitetea kama shoga likanavyo kuwa si lishoga!