Ninapenda kutumia jukwaa hili kumpongeza waziri wa michezo Nape Nauye.
Hizi pongezi ni mahususi kwa Nape kwa sababu ni moja ya viongozi walioweza kusimamia haki na ukweli kwa kulipa gharama kubwa ya kupoteza nafasi yake ya Uwaziri.
Funzo: Viongozi mnaoteuliwa simamieni haki bila kujali kama nafasi zenu zitakuwa hatarini. Mungu pekee ndo mpaji.
Using'ang'ane kulinda nafasi yako kwa kuumizawengine. Haki itakuinua. Dhuluma itakushusha.
Nadhani unaweza kuona kuna aliepoteza nafasi na kuna aliepata nafasi. Wawili hawa tofauti yao mmoja alijaribu sana kulinda nafasi yake hata kama anayotenda ni chukizo kwa Mungu na kwa wanadamu.
Wa pili alilipa gharama na leo amelipwa. Tuwe watu wa haki.
Hizi pongezi ni mahususi kwa Nape kwa sababu ni moja ya viongozi walioweza kusimamia haki na ukweli kwa kulipa gharama kubwa ya kupoteza nafasi yake ya Uwaziri.
Funzo: Viongozi mnaoteuliwa simamieni haki bila kujali kama nafasi zenu zitakuwa hatarini. Mungu pekee ndo mpaji.
Using'ang'ane kulinda nafasi yako kwa kuumizawengine. Haki itakuinua. Dhuluma itakushusha.
Nadhani unaweza kuona kuna aliepoteza nafasi na kuna aliepata nafasi. Wawili hawa tofauti yao mmoja alijaribu sana kulinda nafasi yake hata kama anayotenda ni chukizo kwa Mungu na kwa wanadamu.
Wa pili alilipa gharama na leo amelipwa. Tuwe watu wa haki.